Rais Samia afanya uteuzi mpya na mabadiliko ya viongozi, MwanaFA ateuliwa kuwa Naibu Waziri

Rais Samia afanya uteuzi mpya na mabadiliko ya viongozi, MwanaFA ateuliwa kuwa Naibu Waziri

Bangi itaanza kuvutwa wizarani sasa
Bado babu tale.
Mama amepuyanga
Kweli mwanamke nimmwanamke tu
hili jambo nalisema hapa kila siku watu wananiona The unpaid Seller siwapendi wanawake ila ukweli uko wazi uwezo wa mwanamke katika kuchanganua na kupambanua na kufanya logical decision mwanamke ni mdogo zaidi ya robo kwa mwanaume. Mama yenu hisia zikimtuma kulia unaweza kushangaa akamteua Shilole kuwa waziri mkuu au akamteua Masanja kua Speaker wa Bunge la Jamuhuri ndio wanawake hao. Mkiambiwa jukumu la wanawake ni kulea mnavuja povu

Yani ama yenu akisikia tu unamsifia anaupigwa mwingi anaweza hapo hapo akakupa teuzi ndio wanamake hao hupenda kusifiwa na hakuna logic nyuma ya maamuzi yao ni hisia tu, akikuangalia akakufananisha na ex wake tabu unayo.
 
Back
Top Bottom