masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Tuna set very low standards kwa calibre ya uongozi wa juu karne hii.Nina hakika 100% Samia hamjui Mwana FA .
Yaan jina akiletewa, siku anamuapisha ndio atamjua, alaaah kumbe nmemchagua Mwana FA🤣🤣