Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Unamaanisha mzee Magufuli, huyo ndiye mtu pekee anayejulikana kwamba PhD yake alifanyiwa.Degree cha mtoto wapo waliofanyiwa PhD hapohapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha mzee Magufuli, huyo ndiye mtu pekee anayejulikana kwamba PhD yake alifanyiwa.Degree cha mtoto wapo waliofanyiwa PhD hapohapo
Umenifurahisha sana. Umemaliza!Very interesting!
Hivi mteuzi anayo 'background' gani ya kutaka kumtegemea awe tofauti na anayofanya?
Mbona tunajisahaulisha haraka kiasi hiki? Mara hii tunamwona na kumtegemea mteuzi awe ni tofauti sana na hao anaowateua?
Kwamba wao ni miungu?Mwigulu yule ni profession finance minister, yuko pale hadi 2040,,.
Biteco nae madini hatoki,
Bashungwa sasa ndo usiseme, hadi 2050.
January, nape,bashe,, yaani hao hata msiumize mioyo bure,,
Hakuna sababu ya kutoa hao kwasasa.
Wacha fikra hasi na za kimila kuhusu gender maana naamini huna biological evidence! Vinginevyo kuwa scientific kwa kuleta evidences. Uwezo wa uongozi hautokani na uanamke na uanaume. #Jadili leadership siyo mwanamke na mwanamme. 🙏🙏🙏hili jambo nalisema hapa kila siku watu wananiona The unpaid Seller siwapendi wanawake ila ukweli uko wazi uwezo wa mwanamke katika kuchanganua na kupambanua na kufanya logical decision mwanamke ni mdogo zaidi ya robo kwa mwanaume. Mama yenu hisia zikimtuma kulia unaweza kushangaa akamteua Shilole kuwa waziri mkuu.
Naibu anawekwa tu ila hana msaada wowote, maamuzi yanatoka kwa WaziriKuongoza watumishi wote,usalama,pccb ni kula kiporo mkuu
Waombe sana wateule maza haeleweki juma3 kabla jogoo hajawika utasikia wengine uteuzi umetenguliwa
Muhimu uhai walah!Hii nchi watu, wanaona wao bora wapumue tu
Anakupotezea muda, muignore.Wala sitaki imani yako kaa nayo kwa matumizi binafsi
Uhai bila basic needs mateso sana we mwanadamu..Muhimu uhai walah!
This is worth a bin, sir!Ili uelewe vizuri, kama huwezi kuona mbali, uteuzi huu ni kama kuweza choo cha kuchutama katika hoteli ya kitalii.
Mwana FA msomi aliyepata shahada ya uzamili Uingereza na shahada ya kwanza IFM na Mbunge wa Muheza kwa nini asiwe naibu waziri. Acheni dharau pengine huna cv kama yake bado unamdharauWacha fikra hasi na za kimila kuhusu gender maana naamini huna biological evidence! Vinginevyo kuwa scientific kwa kuleta evidences. Uwezo wa uongozi hautokani na uanamke na uanaume. #Jadili leadership siyo mwanamke na mwanamme. [emoji120][emoji120][emoji120]
Hii nchi ukipambana unaonekana mkudaMkuu wa Mkoa wa Tanga katenguliwa??
What happened kwa huyu jamaa, mbona alikua anaonekana ni mpambanaji sana
Ka reply kwa comment husika. Hapa kwangu umeenda Opp# Asante sana kuwasaidia wasiomjua Mwana FA na wanaobeza mamlaka ya uteuzi.🙏🙏🙏Mwana FA msomi aliyepata shahada ya uzamili Uingereza na shahada ya kwanza IFM na Mbunge wa Muheza kwa nini asiwe naibu waziri. Acheni dharau pengine huna cv kama yake bado unamdharau
Ungekuwa na nguvu ungemnyosha naona.NYOOOOO