Kwanini Tabora iwe yellow kadi? Unaichukulisje Tabora?!Hapi kupelekwa Tabora hiyo yellow card ana mdomo mchafu mabega yalianza kidogo kupanda ila bado mdogo ana nafasi ya kujifunza maana hujui kesho ikoje hasa katika nafasi za uteuzi na siasa kwa ujumla.
Huyu aendelee kuwatukana wastaafu. Samia nimeanza kuwa na mashaka naye. Huyu kumbe bure, tumeliwa kabisaAlly Hapi bado anakumbukwa!
Pole!Mtaka aliyekuwa mkuu wa mkoa wa simiyu na Anna mkuu wa mko wa Kilimanjaro siwaoni wameachwa
Chalamila na Hapi wako ulingoni tena? huyu mama vipi? Khaaaaaah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Vipi wapinzani kina Mbowe mbona siwaoni kwenye teuzi?Ana mgwilla Ameachwa.
amestaafu
Subra yavuta kheri...Duh noma. Pasco hajapata hata moja?
Mtaka ndani ya Dodoma.Anakuja Dar
Mkuu wewe ni Muhenga!! Kumbe tunatukanana na baba zetu humu bila kujua, kuanzia leo nitakuheshimu sana.Zile mechi za kila ijumaa siku hizi bado zipo?.
Miaka ile ya 1980 kulikuwa na timu kali sana pale, wenyewe tulikuwa tunasema timu ya wazungu, mabalozi na wataalam wa kigeni waliunda booonge la team ikawa inacheza na timu za ilala, temeke na kinondoni.
Maveterani wa kinondoni kina Isihaka Hassan, Moshi Majungu, Dennis Mdoe, Adolph Rishard walikuwa na timu yao basi ni burudani ya maana tulikuwa tunaipata kila ijumaa.
Siku moja Pazi Ally alipigana na beki wa gymkhana mechi ikaisha muda huo huo.
Marehemu Mussa Kihwelo kaka yake Jamhuri alikuja siku moja pia.
Those were good days.
everything anafanya rais ni kupinga. kama angekuwa mtu wa kufanya ili apate sifa..angesha teua safu ya mpya muda mrefu sana.Mama ilimradi tu afanye lolote aongolewe kwa miaka watu walikuwa wanalalama kubadilisha badilisha wakuu wa mikoa na wilaya kunaondoa consistencies ndio maana Magufuli aliwaacha.
Hao watu kwa muda waliokaa wanafahamu changamoto za maeneo yao, plan zilizokuwepo na changamoto za watendaji wao.
Kingine Magufuli for once alijitahidi kuweka wakuu wa mikoa kutokana na maeneo wanayoyafahamu au skills zao ili watatue changamoto kutokana priority wanazozifahamu wao.
Ilianza lini hiyoVipi wapinzani kina Mbowe mbona siwaoni kwenye teuzi?
Jaman naomba kuuliza ivi katibu wa bunge kuteuliwa mkuu wa mkoa Kilimanjaro ni promotion au demotion?
JAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Mtaka DodomaAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Mmmh duhAnakuja Dar
🤣🤣🤣🤣 Nakuacha weee nsikukere shostito ha ha ha[emoji23][emoji23][emoji23] hebu niache huko na wee khaaah, usinipandishe presha ujue.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app