Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

Naona Kafulila na Makongoro wamekumbukwa!

Ally Hapi bado anakumbukwa!

Kulikoni Bosi wa TAKUKURU kupangiwa kazi nyingine!
Amepandishwa Cheo Hivi Karibuni Ni Major General
Tungoje Tuone.
 
Chadema wameangukia pua tena.

Chama hiki kina laana
Waliwaombea njaa Hapi na Chalamila wakidhani mama atawafurahisha kama alivyowafurahisha kwa Ole Sabaya wakajisahau zile shangwe kuwa zitamshtua mama,ukiona mbaya wako anashangilia maamuzi unayoyafanya jua kuna kasoro na hayo maamuzi.
 
Wanajeshi huko wameanza kupelekwa hata kabla ya mwendazake mkuu....Toka enzi za kina Kanali Massawe pamoja na wilaya za Kigoma kule alikoenda kuharibikiwa Mkisi

Sio mambo ya JK na JPM ni hali ya mipaka yenyewe ilivyokua
 
Dar es salaam tupo na Pedeshee Amos Makalla na baba Gabriel.
 
Naendelea kujifunza Jambo tokea teuzi za nyuma hadi za huyu mama, ukoo ni uleule na system ni ile ile. Sio rahisi kuondoa mfumo fulani na watu wake wote na nchi ikaendelea. Nafikiri wapiga kelele mitandaoni mtaendelea kujifunza jambo
 
Magufuli hakuwa perfect busara ni kuondoa yasiyofaa na kuiga yenye faida.

Uongozi mpya aina basi raisi anaanza upya admin ya serikali ni going concern majukumu yake yapo pale pale ata raisi angekuwa anatokea upinzani.

Kama mtu wa aina fulani alihitajika kwa sababu ya changamoto husika katika eneo fulani basi mwenye weledi ule ule anahitajika katika ilo eneo raisi awe Samia, Magufuli, Mbowe, January, Mtaka au hata ingekuwa wewe.

Ndio alichofanya Magufuli katika baadhi ya maeneo na kuacha watu kwa muda mrefu kwa sababu walishapata uelewa wa maeneo yao.
 
Uteuzi wa Dar na Dodoma nimeupenda.
Kweli kama ipo ipo tu Makala tulishaanza kumsahau,ila jamaa kama ni mganga kweli kampata ,akikosa huku anapelekwa kule akikosa kule anarudishwa huku. Kweli mtoto wa mujini ni wa mujini tu.
 
Makonda alikuwa na skills gani akawekwa Dar? Hakuna watu walikuwa wanaufahamu mkoa wa Dar zaidi yake?
 
Amos Makala alikuwa bench sio,
kitabo alikuwa Rukwa.
safi sana sasa apige kazi kweli kweli.

Mkoa wa Dar unataka mtu makini sana na mfuatiliaji, bila kusahau ukali ni muhimu inapo bidi.
nginja ngija......
Hajawahi kuwa Rukwa. Alikua mbeya akapelekwa Katavi akashindwa kuuza vitambulisho vya wamachinga ndo kaenda Bench naona kakumbukwa

Alivyotoka Katavi ndo Kamuachia huyo kijana Homera aliyekua makao makuu CCM then DC wilaya moja huko mkoa wa Ruvuma sikumbuki vizur

Mbeya na Katavi naona kama Zinabadilishana RCs😂😂

Anarudi mjini Pedeshee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…