Mbogo nyeusi
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 233
- 541
Mtaka aliyekuwa mkuu wa mkoa wa simiyu na Anna mkuu wa mko wa Kilimanjaro siwaoni wameachwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!Mmm...Kuteuliwa kwa Makongoro Nyerere na Sokoine hizi ni dalili za mtu kupewa UWAZIRI soon!!
Mtaka DODOMAAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Kuwa nan??Anakuja Dar
Kwa mala ya kwanza mama angetukanwa matusi mapya[emoji38]Imagine unasoma barua hiyo unakuta.
11. Amemteua Bw. Lengai Ole Sabaya kuwa mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, kabla ya hapo alikuwa mkuu wa wilaya ya Hai.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Makongoro nilimuona sana pale May fair kawe miaka ya nyuma.Huyu Mlevi wa Pombe kali ana misimamo ipi ya kukiyumbisha Chama cha ccm ndani?
Mtaka dodomaAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Kwa hiyo nao wanapenda kuwa CCM B?Safiii, mbona jina la Mbowe na zitto sijaona? Na makada wengine wa cdm? Huhuhu
Amos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Bavicha hawana hamuWatu vicheko huko walipo
Bavicha ni fungu ka kukosa mkuuMwaka huu mtajinyonga.
Ukiwauliza watu Chalamila kosa lake ni nini hawana majibu ila wanataka tu atoke, chuki binafsi.
Wala changamoto sio kupambana na upinzani kama unavyofikiria wewe.Changamoto changamoto zenyewe ni upinzani au sio?
Jibu swali umeulizwa "umeukalia ukiwa wapi" badala kujibu unalialia tuu kwanza cheo cha mkuu mkoa/wilaya havina maana yeyote ni kupeana ulaji tuuNipate tabu ya nini, kubadilisha badilisha watu kunaondoa consistency.
Chukulia mtu kama Jokate ana plan zake kibao Kisarawe kesho umtoe umpleke sijui Rukwa si anaenda kuanza upya tena, huyo atakaenda huko ataendeleza legacy zake?
Kubadilisha badilisha watu vituo vya kazi ni mambo ya kishamba tu.
Tumbili naye kaukwaaaaaaAmos Makala amerudi tena