Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

Pigania Katiba Mpya na utawala wa majimbo uchague mkuu wa mkoa unayemtaka. Kwa sasa kaa kwa kutulia tu mpaka atakapojisikia kumuondoa mwenyewe.
Kiukweli mwanza katukosea sana. Katuletea ule upara wa mbeya?
 
Kabla ya kuhamishiwa Manyara na Arusha...Makongoro na kafulila walikua wapi?!
 
hongera mama na wateuliwa wote.

simiyu itamumisi mtaka.
sijui ufaulu utaendelea?
shule za msingi na sekondari zitaendelea na makambi kama zamani?

john mongella atapaweza simiyu?
 
Nipate tabu ya nini, kubadilisha badilisha watu kunaondoa consistency.

Chukulia mtu kama Jokate ana plan zake kibao Kisarawe kesho umtoe umpleke sijui Rukwa si anaenda kuanza upya tena, huyo atakaenda huko ataendeleza legacy zake?

Kubadilisha badilisha watu vituo vya kazi ni mambo ya kishamba tu.
Unataka akae miaka mingapi kwenye kituo kimoja ili akamilishe mipango yake?
Maana ndiyo kwanza mama ameanza kufanya mabadiliko na wengi wao wamekaa muda mrefu mkoa mmoja.
Wengine wamemaliza changamoto kwenye mikoa yao wanapelekwa maeneo mengine wakamalize changamoto kwenye maeneo mapya.
Natarajia Bw Martin Shigella atamaliza changamoto nyingi mkoani Morogoro, hususani uharibifu wa mazingira unaofanywa na idadi kubwa ya mifugo iliyoingizwa mkoani humo.
 
Raisi Samia tuletee makonda hapa Kilimanjaro amnyooshe mnywa konyagi na genge lake.
Jana mamio alikunywa gongo akaangusha gari wahuni wakafanya yao,ulimuona? Au wewe macho na matakle yote umemkabidhi mbowe?
 
Salaam Wakuu, Huu ndo uteuzi rais kafanya.

Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Bw. Mwakitalu kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP), Hamduni Mkuu wa TAKUKURU, Amos Makala kawa mkuu wa Mkoa wa Dar, Kafulila kawa mkuu wa Mkoa Arusha, Chalamila kawa mkuu wa Mkoa Mwanza, Queen Sendiga kawa mkuu wa Mkoa Iringa(Queen alikuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) Uchaguzi wa Oktoba 2020), Makongoro Nyerere kawa mkuu wa Mkoa Manyara.

Chalamila kawa mkuu wa Mkoa Mwanza(Albert Chalamila alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya), Kunenge kawa mkuu wa Mkoa wa Pwani( Aboubakar Kunenge alikuwa Mmkuu wa Mkoa wa Dar), Kagaigai kawa mkuu wa Mkoa KIlimanjaro(Stephen Kagaigai alikuwa Katibu wa Bunge), Ali Hapi kawa mkuu wa Mkoa Tabora(Hapi alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa). Anna Mngwira amesitaafu alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Brigedia Jenerali John Mbungo atapangiwa kazi nyingine.

View attachment 1785850
View attachment 1785846
View attachment 1785849
Pale TAKUKURU HIVI HAKUNA WA KUFAA KUWA DG? mpaka watoke polisi Au jwtz? OK lakini HONGERA MAMA, WEWE NDIYE UWAJUAE WATU WAKO...

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Hujui utawala wa nchi hii.
Miondombinu ni kazi ya waziri, halmashauri na DED sio mkuu wa mkoa na wilaya.Hao ni wanasiasa tu kuhakikisha dola iliyopo inadumu.
Nenda kawaulize wakuu wa mikoa mingine ni namna gani Mtaka aliweza kuwekeza kwenye miundombinu Simiyu mpaka wakawa wanaenda kuomba ushauri kwake.

Tazama Kisarawe inavyoanza kupata attention siku hizi ambazo azikuwepo, kawaulize wafugaji sikuhizi kupeleka mifugo Ruaha mbugani upande wa Mbeya chini ya Chalamila kama ni jambo la busara.
 
Amesolve matatizo gani makubwa yaliyoacha alama kwa wananchi?
moja ya best RC ever. antony mtaka. tofauti na wengine he was smart, ana solve matatizo bila kelele mingi.
kupelekwa dodoma ni upgrade
 
Back
Top Bottom