Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
AmekumissKwani Jiwe laanatullah anasemaje huko kuzimu aliko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmekumissKwani Jiwe laanatullah anasemaje huko kuzimu aliko?
Mbona unagoma kuwa mke mwenza, mamaa yupo busy, utapewa dose ya kutosha mamaa.Usiwe malaya mbovu. Tuliza kitenesi una ghubu.
Mtu anaongea huku anasubili kugongea kwa shemeji yake wala asikusumbue kichwaWahi huko unakoona hudanganywi sasa uachane na SGR na flyover
Njoo nikupindue pindue labda ghubu lako litapungua.Mbona unagoma kuwa mke mwenza, mamaa yupo busy, utapewa dose ya kutosha mamaa.
Bora wewe umeliona hilo...wengine tunasifu.Hizi nchi zilizolaaniwa zina vituko sana.
Vitendo gani hivyo? Hebu vitaje.Mbona vitendo vyako na vya wenzio vinadhihirisha haya?...
She has power but she seems very powerless!
Sijui ni uzenji ulio ndani yake unaomfanya kuwa dhaifu?
Anyway, ngoja tuone!
Naogopa kuitwa sukuma gang... teh...
Hii itakua ni thread mpyaVitendo gani hivyo? Hebu vitaje.
Usianze kujibaraguza sasa.Hii itakua ni thread mpya
Hapana, twende tu taratibu mdogo mdogo, leo niko na mood ya kukujibuUsianze kujibaraguza sasa.
Kwani bado umekwamia awamu yako pendwa.SSH ni bure, uwezo mdogo, akae mbali na mikusanyiko ambayo atahitaji kujibu maswali moja kwa moja, maana majibu yake yanaweza kukutapisha.
Hakuna cha kwenda taratibu wala nini kamanda, hebu eleza hivyo vitendo.Hapana, twende tu taratibu mdogo mdogo, leo niko na mood ya kukujibu
Aisee Dogo ukienda Trondeim mpe hi 'qomber'. Pia nilipata maumbea yule mdada kwenye wizara ya mafuta alipataga scandal akasimamishwa ila wamemrudisha.Nani alikuambia simkubali kamanda?
Ok, good angalia aina ya thread mnazopost wewe na MATAGA wenzako za kumkashifu Mama Samia, angalia hata kwenye thread hii, kuna Mouuzi anasema kwa Namna Mama Samia alivyomjibu Mkandarasi wa Ujenzi Mbagala inathibitisha kuwa hakuna Rais pale....je hii ni sahihi??Hakuna cha kwenda taratibu wala nini kamanda, hebu eleza hivyo vitendo.
Ndio wapi huko?Aisee Dogo ukienda Trondeim mpe hi 'qomber'. Pia nilipata maumbea yule mdada kwenye wizara ya mafuta alipataga scandal akasimamishwa ila wamemrudisha.
Hebu nionyeshe nilipopost nione? Kamanda wewe unga tu juhudi, usiogope hakuna atakayekudhuru.Ok, good angalia aina ya thread mnazopost wewe na MATAGA wenzako za kumkashifu Mama Samia, angalia hata kwenye thread hii, kuna Mouuzi anasema kwa Namna Mama Samia alivyomjibu Mkandarasi wa Ujenzi Mbagala inathibitisha kuwa hakuna Rais pale....je hii ni sahihi??
Mjerumani alitumia miaka 9 (1905-1914) kujenga reli ya kati (Dsm -Kigoma) wala siyo miaka mitano.Watu Wana macho lkn hawaoni.
Mjerumani alijenga reli Dar mpk Kigoma 1400km kwa miaka mitano kwa tecnolojia ya zaidi ya miaka Mia.
Leo hii kwa teknolojia ya Sasa reli Dar to Moro chini ya km 200 inachukua miaka zaidi mitano.
Zakuambiwa changanya na zako.
Hahhaaha nikuonyeshe nini tena? Suala la Kumsapoti Mama Samia ni la kwetu sote na akikosea tutamkosoa tu, wala hili liko wazi. Kwa sasa Mama Samia ana upinzani mkubwa sana ndani ya CCM kwakuwa mmegoma kumkubali. Hii ni factHebu nionyeshe nilipopost nione? Kamanda wewe unga tu juhudi, usiogope hakuna atakayekudhuru.