computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,480
- 6,029
Ila hauna cha kumfanya ni Rais wako nenda Rwanda [emoji1206]kakae hukoBi Mkubwa wako anaficha udhaifu wake chini ya kapeti la FAKE upole, ubinadamu, na the so-called upendo. No way!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila hauna cha kumfanya ni Rais wako nenda Rwanda [emoji1206]kakae hukoBi Mkubwa wako anaficha udhaifu wake chini ya kapeti la FAKE upole, ubinadamu, na the so-called upendo. No way!!!
Anasema hiyo mimba aliyokuachia usijali ukijifungua utamsahau tuKwani Jiwe laanatullah anasemaje huko kuzimu aliko?
Ulinielewa niliposema katiba?Bi Mkubwa yupi!??? Huyu hana hofu hiyo uisemayo, hata chembe. Ila ni mwogaaaa na mnafiki na yuko kwenye kundi lileeeeeeeeeee. Umenipata!???
Nonsense😎Tulicheleweshwa sana huku tunadanganywa na SGR na flyover ambazo hazitakaa ziishe.
SGR Ni Gbadolite Kama chattle.
Sasa umeandika nini wewee? Unataka aanze kuiba rambirambi na matrilion hazina na kufokafoka ndo umkubali anafanya kazi vizuri ya urais?
Haha........Anachoweza ni kutumia ile kalamu nyekundu tu pale mezani kwa JPM, labda na kuwafyekelea mbali wazalendo wa kweli. Nothing more, nothing less!!!
Tulicheleweshwa sana, au nasema uongo ndugu yangu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] Ila wewe
Nasikia sasa hivi Bavicha ndio wanamuunga mkono mama na 2025 wataenda na mama na ccm huku Lisu akisubiri kwanza kwa amsterdamKwani Mataga mnasema je kuhusu mama Samia?
Au mshafanya marekebisho ya msimamo wenu kinyemela?
Nani alikuambia simkubali kamanda?mkubali tu Mama
Unataka kuwa mke mwenza wewe mamaa?Una ghubu kali kwa mwanamke mwenzio! Tuliza makalio wacha afanye kazi. Usiwe mbovu.
Ulinielewa niliposema katiba?
Huyonna upole wake akiamua kuwa dikteta anaweza kwa kutumia katiba hii hii,
Halafu we need strong institutions na sio strong people .
Magu na ukali wake ameingizwa chaka mara kadhaa ,
Vipi bavicha umeacha kudemka?Poor sound
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya ziara ya kustukiza katika soko la Kariakoo Dar es Salaam na kuongea na wafanyabisahara wa maeneo hayo
Alikuwa anatambua fika kwamba watu wote wanaomzunguka ni GOIGOI.Don't forget kwamba anapoteza muda na rasilimali za nchi. JPM was a kind of nabii. Alisema tena na tena: ^Hakuna mtu mwingine wa kutekeleza miradi hii ya maendeleo.^ He was PERFECTLY right!!!
Usiwe malaya mbovu. Tuliza kitenesi una ghubu.Unataka kuwa mke mwenza wewe mamaa?
Mbona vitendo vyako na vya wenzio vinadhihirisha haya? Kuna haja kweli ya kuhitaji mtu aniambie??Nani alikuambia simkubali kamanda?
...then shut upYule ni size yako mkuu tunajua