Rais Samia afanya ziara ya kushtukiza Kariakoo, Mbagala na Mwananyamala Jijini Dar

Rais Samia afanya ziara ya kushtukiza Kariakoo, Mbagala na Mwananyamala Jijini Dar

Aimarishe mifumo ifanye kazi kisawa sawa .....tofauti kufanya mtu mmoja kila kitu kama mwendazake
 
Katiba ipo poa ?

Tungekua na katiba bora , watu kama ole sabaya , and the likes wangekuwa phased out na systems , sio kusubiri tamko la kiongozi ,
Ni vile tu mama ni mcha mungu na ana hofu ya dini, kupitia hihi hii katiba akiamua anaweza kuwa dikteta na tusimfanye lolote.


Bi Mkubwa yupi!??? Huyu hana hofu hiyo uisemayo, hata chembe. Ila ni mwogaaaa na mnafiki na yuko kwenye kundi lileeeeeeeeeee. Umenipata!???
 
Aisee mpaka MAJIZI na WAUZA NGADA wanamsifu... wanasema eti kwa sasa wana furaha kuliko wakati wa Magufuli....

Hiiiiiii....... Bhagosha!!!

Basi, tungojee kuvuna mabua tu. Ni suala la muda tu. Utulivu wao huo kwa upande wa wapinzani na wapigaji unanikumbusha ile slogan sifishi, ^Never disturb your enemies when they are committing mistakes and blunders^
 
Leo Hata mimi kaniziba mdomo, hivi ndo inavyotakiwa, asiishie Kariakoo tu, ajitahidi kuiga mazuri ya magufuli aliyokua anayafanya kwa wananchi maskini.

Magufuli alikua ni raisi Lakini akiwa na wananchi wanyonge alijishusha na kuwafanya waamini kuwa wote ni binadamu tu tofauti Cheo.

Mama nae akiwa mjanja siku ajichanganye tu avae dela aingie uswahilin ajichanganye na wananchi kama mwenzie, magufuli aliwaheshimu sana watu wa hali ya chini
Aliwaheshimu watu wa hali ya chini? Aagh wapi, hili nakataa miaka 100, pili ukitaka kumtawala mtu mwambie wewe ni mnyonge, hivi sisi tuna unyonge gani? Kama mtu una miguu na mikono na unasimamisha vizuri tu unaweza kunywa pombe na unaweza kulisha familia yako kwa kilima ekari kwa kutumia jembe, huo unyonge ni upi? Hii mentality ni mbaya sana sana, Mimi sio Mnyonge
 
Niko tayari kuvaa nguo diziani hiyo iliyokolezwa jina hilo kila sehemu, if that is the price I mist pay for letting people know how these five years will be ^presidentless^
She has power but she seems very powerless!

Sijui ni uzenji ulio ndani yake unaomfanya kuwa dhaifu?

Anyway, ngoja tuone!

Naogopa kuitwa sukuma gang... teh...
 
tunamuomba pia afanye ziara stendi kuu ya mabasi ya Magufuli, maaana hapo pia ndio chanzo cha uchumi wa JiJi na Tz kwa ujumla.

Stendi ya kimataifa ya mabasi ya magufuli ni chanzo kikubwa cha uchumi wa Tanzania endapo tu, kutakuwa na uongozi imara.
tusisubiri watu waibe weee kisha badae aje CAG achunguze halafu ndipo tuchukue hatua, hii sio sawa kwa viongozi tuliowapa dhamana ya kusimamia.

, kwa nn mnasubiri wizi utokee halafu badae ndio tunachukua hatua! kwa nn tusichukue hatua mapema?
waswahili wanasema usipo ziba ufa utajenga ukuta mzima.
Inaitwa stend ya mbezi sii stendi ya magufuli
 
Basi, tungojee kuvuna mabua tu. Ni suala la muda tu. Utulivu wao huo kwa upande wa wapinzani na wapigaji unanikumbusha ile slogan sifishi, ^Never disturb your enemies when they are committing mistakes and blunders^
Very very weak!

She likes to be a MAMA than a commander in chief!

Vile anavyojilegeza mbele ya MAJIZI na WAKWEPA KODI inanipa mashaka sana kama anaiweza kazi yake!
 
Kwa hali hii CCM itaendelea kutawala kwa muda mrefu sana. Wananchi wana matumaini makubwa sana na uongozi wa mwenyekiti wa CCM Mama Samia.
 
Raha ya ziara ya kushtukiza iondoke na mtu.

Kama mtu hajatumbuliwa basi kapoteza muda na fedha. Arudi ofisini.


Watu watasema ni ukatili. But Bi Mkubwa mwenyewe kasema ilitakiwa project iwe imefikia over 60% by now. Lakini iko less than 16%!!! And there is no good reason for that. Can you imagine!??? Halafu anamwambia kirahisi, ^Okay! Sawa!^ Kwa kweli tumepigwa!!! Sasa naanza kuielewa ile kauli: ^ Nafungulia nchi^ Haiko mbali na ^Ruksa^ ya Mzee Ruksa.
 
Bi Mkubwa angekuwa wakili, watetewaji wake wote wangeishia kufungwa jela bila kujali status yao ya innocence au nini. She is more of a caring mother than a president. She cannot even ask penetrating questions zinazomfanya mtu, hasa hawa wakandarasi wasikudanganye ila waseme ukweli hata kama hawapendi kufanya hivyo kwa hiari.
Sasa umeandika nini wewee? Unataka aanze kuiba rambirambi na matrilion hazina na kufokafoka ndo umkubali anafanya kazi vizuri ya urais?
 
Mpaka sasa namkubali mama ila stail ya kusimama ndani ya magari huko njiani inanikumbusha mtu mmoja alikuwa anasimama kwenye gari akiongea na wananchi huku akila mahindi ya kuchoma kwa dharau au wakati mwingine akipokea majogoo. Kumbukumbu hiyo ya mtu mwenye majivuno na kutafuta sifa inanifanya nisipende mambo ya kukwea kwenye magari na kuzingumza na watu.
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya ziara ya kustukiza katika soko la Kariakoo Dar es Salaam na kuongea na wafanyabisahara wa maeneo hayo


Safi sana mama wa taifa

Ni jambo jema mama amefanya tunataka Nchi isonge mbele, kwan tulicheleweshwa mno,au nasema uongo ndugu zangu

Yeye haendi bandarini kama mwendazake?

Tulicheleweshwa sana huku tunadanganywa na SGR na flyover ambazo hazitakaa ziishe.
SGR Ni Gbadolite Kama chattle.

Kwahiyo kutokwenda bandarini wewe unaona ni ujanja...?

Raha ya ziara ya kushtukiza iondoke na mtu.

Kama mtu hajatumbuliwa basi kapoteza muda na fedha. Arudi ofisini.

Safi sana Mama Samia. Piga kazi!
We love youuuu madam President.
 
Back
Top Bottom