Rais Samia afanya ziara ya kushtukiza Kariakoo, Mbagala na Mwananyamala Jijini Dar

Rais Samia afanya ziara ya kushtukiza Kariakoo, Mbagala na Mwananyamala Jijini Dar

Maskini kama wewe, kuanzia kula hadi kuishi ni kwa kubahatisha tu , yani maisha yenu hayaeleweki, mpo mpo tu
Wewe itakuwa umeadhiriwa na Double penetration in your..
 
SSH ni bure, uwezo mdogo, akae mbali na mikusanyiko ambayo atahitaji kujibu maswali moja kwa moja, maana majibu yake yanaweza kukutapisha.
Kwanini Ajibu maswali na asiulize yeye maswali?.

Rais ndio boss wa nchi nzima, ni muulizaji wa maswali wakati wa matukio sio muulizwaji.
 
Huwa najiuliza post ya mkuu wa nchii ni nyeti sana kulikoni ana by pass majukum ya mkurugenzi wa jiji,rc ,waziri
Kwenye minor issues kama hizi au to ndio siasa
 
Chanzo cha uchumi wa Taifa tuache exageration. Stand ya Magufuli inakuaje chanzo kikuu cha uchumi wa Taifa. Au huelewi uchumi wetu unategemea nini?
kwa hiyo wewe unadhani chanzo cha uchumi wa nchi hii ni badari peke yake? au madini peke yake? au gesi peke yake? au kilimo peke yake?
elewe vyanzo vya uchumi vya taifa letu ni vingi na kila kimoja kina umuhimu wake ktk kuchangia pato la taifa.
standi ya Magufuli ni moja kati ya vyanzo vikuu vya pato la taifa letu. hivyo ni lazima uongozi utupie macho kwa karibu, wajanja wachache wasituibie.
 
Watu Wana macho lkn hawaoni.

Mjerumani alijenga reli Dar mpk Kigoma 1400km kwa miaka mitano kwa tecnolojia ya zaidi ya miaka Mia.

Leo hii kwa teknolojia ya Sasa reli Dar to Moro chini ya km 200 inachukua miaka zaidi mitano.

Zakuambiwa changanya na zako.

Halafu same time wanapita kwenye route ua mjerumani which sio survey mpya ni mwendo wa kudesa, mixer na urahisi wa kubeba mizigo maana barabara ipo na reli pembeni ipo. Sijui tunakwama wapi
 
Watu Wana macho lkn hawaoni.

Mjerumani alijenga reli Dar mpk Kigoma 1400km kwa miaka mitano kwa tecnolojia ya zaidi ya miaka Mia.

Leo hii kwa teknolojia ya Sasa reli Dar to Moro chini ya km 200 inachukua miaka zaidi mitano.

Zakuambiwa changanya na zako.
Tazara pia ilitumia miaka mitano kujengwa 1860 kms from Dar to kapiri mposhi
 
SSH ni bure, uwezo mdogo, akae mbali na mikusanyiko ambayo atahitaji kujibu maswali moja kwa moja, maana majibu yake yanaweza kukutapisha.
Sasa wewe unataka kujimix kwenye mikusanyiko na unajijua una mimba changa lazima kutapika kukuhusu! Pole lini unategemea kujifungua?
 
Watu Wana macho lkn hawaoni.

Mjerumani alijenga reli Dar mpk Kigoma 1400km kwa miaka mitano kwa tecnolojia ya zaidi ya miaka Mia.

Leo hii kwa teknolojia ya Sasa reli Dar to Moro chini ya km 200 inachukua miaka zaidi mitano.

Zakuambiwa changanya na zako.
shangaa wakati tukiamini Polisi ndio serikali, kule marekani ni kampuni binafsi.
 
Back
Top Bottom