Rais Samia afanya ziara ya kushtukiza Kariakoo, Mbagala na Mwananyamala Jijini Dar

Rais Samia afanya ziara ya kushtukiza Kariakoo, Mbagala na Mwananyamala Jijini Dar

Chanzo cha uchumi wa Taifa tuache exageration. Stand ya Magufuli inakuaje chanzo kikuu cha uchumi wa Taifa. Au huelewi uchumi wetu unategemea nini?
Mkuu usinishane na Chizi maana utaonekana chizi pia 😄
 
tunamuomba pia afanye ziara stendi kuu ya mabasi ya Magufuli, maaana hapo pia ndio chanzo cha uchumi wa JiJi na Tz kwa ujumla.

Stendi ya kimataifa ya mabasi ya magufuli ni chanzo kikubwa cha uchumi wa Tanzania endapo tu, kutakuwa na uongozi imara.
tusisubiri watu waibe weee kisha badae aje CAG achunguze halafu ndipo tuchukue hatua, hii sio sawa kwa viongozi tuliowapa dhamana ya kusimamia.
, kwa nn mnasubiri wizi utokee halafu badae ndio tunachukua hatua! kwa nn tusichukue hatua mapema?
waswahili wanasema usipo ziba ufa utajenga ukuta mzima.
Ule ushuru wa magari madogo ni wizi mtupu. kuna vijana wamechapisha risiti zao wanajikusanyia pesa watakavyo. Naamini wanaungwa mkono na vigogo wa pale.
 
Baadaye lini sasa flyover zinahitajika sana, kuliko unavyofikiria wewe
Msamehee bure,huyo anawaza kwa kutumia tumbo, ndiyo maana alivyosikia Mama yuko soko la Kariakoo basi tumbo tayari lishamcheza,anajua bei zitashuka sokoni, ndiyo maana hawaza hata flyover!! Yeye ni Misosi tu!!
 
Leo majira ya saa nne asubuhi, mama alitembelea soko kuu la kariakoo.
Hajaridhika na hali aliyoikuta huko.
 

Attachments

  • mama.mp4
    18.2 MB
Haya mambo ndo ninayoyataka sasa, hata wananchi wanafarijika kutembelewa na raisi wao na kusikilizwa kero zao , ajitahidi kukaa Karibu na wananchi wanyonge kama magufuli mbona 2025 tutampa ila akijifanya kama kikwete wakishua itakula kwake
 
Kawaziba midomo MATAGA kuwa hatoki ofisini hahahahaa shenzi kabisa

Leo Hata mimi kaniziba mdomo, hivi ndo inavyotakiwa, asiishie Kariakoo tu, ajitahidi kuiga mazuri ya magufuli aliyokua anayafanya kwa wananchi maskini.

Magufuli alikua ni raisi Lakini akiwa na wananchi wanyonge alijishusha na kuwafanya waamini kuwa wote ni binadamu tu tofauti Cheo.

Mama nae akiwa mjanja siku ajichanganye tu avae dela aingie uswahilin ajichanganye na wananchi kama mwenzie, magufuli aliwaheshimu sana watu wa hali ya chini
 
Leo Hata mimi kaniziba mdomo, hivi ndo inavyotakiwa, asiishie Kariakoo tu, ajitahidi kuiga mazuri ya magufuli aliyokua anayafanya kwa wananchi maskini.

Magufuli alikua ni raisi Lakini akiwa na wananchi wanyonge alijishusha na kuwafanya waamini kuwa wote ni binadamu tu tofauti Cheo.

Mama nae akiwa mjanja siku ajichanganye tu avae dela aingie uswahilin ajichanganye na wananchi kama mwenzie, magufuli aliwaheshimu sana watu wa hali ya chini
Watu wa chini ni nini?
 
Kama unataka pesa za haraka c ukauze makalio yako mxieew kupenda vya bure baada ya kufanya kazi , eti uachiwe pesa mxieew mbwa hizi kupenda mteremko
Kama unavyouza?
 
Back
Top Bottom