Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ziara za kushtukiza ndiyo zinafanya nchi isonge mbele?Ni jambo jema mama amefanya tunataka Nchi isonge mbele,kwan tulicheleweshwa mno,au nasema uongo ndugu zangu
Walifanya security inspection kwenye maghorofa pembezoni hapo?
mkuu stand ya Magufuli huwezi kuifananisha na stendi ya Ipogolo/Ndiuka Iringa au nyingine yoyote ktk mikoa mingine.Mkuu
Yani stand imekuwa chanzo kikuu cha mapato ya nchi !!!!!!
Hahahahah kashimbeNi jambo jema mama amefanya tunataka Nchi isonge mbele,kwan tulicheleweshwa mno,au nasema uongo ndugu zangu
Utaendaje kama haujaweka vichwa vya treni vya kuokota.Yeye haendi bandarini kama mwendazake?
Una mimba ya Mbowe?Mbowe atapinga
Unaijua tofauti ya buguruni na kariakoo?Shubaamit, Badala ya kutembelea miradi ya kimkakati anatembelea Nyanya na Pilipili hoho