Rais Samia afanya ziara ya kushtukiza Kariakoo, Mbagala na Mwananyamala Jijini Dar

Rais Samia afanya ziara ya kushtukiza Kariakoo, Mbagala na Mwananyamala Jijini Dar

Leo Hata mimi kaniziba mdomo, hivi ndo inavyotakiwa, asiishie Kariakoo tu, ajitahidi kuiga mazuri ya magufuli aliyokua anayafanya kwa wananchi maskini.

Magufuli alikua ni raisi Lakini akiwa na wananchi wanyonge alijishusha na kuwafanya waamini kuwa wote ni binadamu tu tofauti Cheo.

Mama nae akiwa mjanja siku ajichanganye tu avae dela aingie uswahilin ajichanganye na wananchi kama mwenzie, magufuli aliwaheshimu sana watu wa hali ya chini


Ameenda ndiyo, lakini hajasolve kitu. She is more of a problem that the real problem itself. Ukiona na kusikiliza anavyohoji na kubabaika, kwa mbali unamsikia JPM kule Dodoma akisema, ^Brigedia, hapa tumepigwa!^
 
Huwa najiuliza post ya mkuu wa nchii ni nyeti sana kulikoni ana by pass majukum ya mkurugenzi wa jiji,rc ,waziri
Kwenye minor issues kama hizi au to ndio siasa
Katiba
Katiba
Katiba

Bila katiba mpya movements zitakuwa ni hizi hadi mwisho, mama yupo determined kutukomboa ila anakwamishwa na watendaji wake .
Its like soccer game in grammar school , where everyone is running after the ball ,and nobody is holding his position.
 
Piga kazi mama tumecheleweshwa mno kama taifa
 
Sawa mama tuna imani nawe ila achia hera mitaani, bado mzunguko mdogo, maisha ni haya haya hatuitaji propaganda za flyover Barabara za njia 10 hayo yaje badaye Mama.
Njia ya uhakika ya pesa kuwa na mzunguko wa kicheko nipale serikali itakapokuwa inawalipa wafanyabiashara pesa zao kwa wakati tuliambiwa wanahakiki madeni ni lugha rahisi sana ya kununua muda
 
Katiba
Katiba
Katiba

Bila katiba mpya movements zitakuwa ni hizi hadi mwisho, mama yupo determined kutukomboa ila anakwamishwa na watendaji wake .
Its like soccer game in grammar school , where everyone is running after the ball ,and nobody is holding his position.


Siyo Katiba

Ila

Kiongozi
Kiongozi
Kiongozi

Hakuna kitu hapo!
 
Angeshitukiza kwenye wizara moja wapo na kuomba matumizi ya miezi 2 au 3 hasa posho ingekuwa poa sana, sasa kariakoo kuna nini ?

Wapigaji wanamwelekeza aende South ili wao waendelee kuguguna huko North. Bi Mkubwa kazi anayo. Kama si miongoni mwa manyang'au hao, lazima before November abadili msimamo wake rojorojo huu. President asiyeng'ata hata kwa bahati mbaya has no use if anything -- complete wastage of every good resource!!! Hata Joe Biden kwa upole na uzee wake alikuwa akishikwa kigugumizi, akaishiwa maneno basi anatukana makusudi tu ili akili ziwakae wafukunyuku wake.
 
Ameenda ndiyo, lakini hajasolve kitu. She is more of a problem that the real problem itself. Ukiona na kusikiliza anavyohoji na kubabaika, kwa mbali unamsikia JPM kule Dodoma akisema, ^Brigedia, hapa tumepigwa!^
She is weak!

Lakini angalia usije kuitwa "sukuma gang"...

Teh....teh...
 
Siyo Katiba

Ila

Kiongozi
Kiongozi
Kiongozi

Hakuna kitu hapo!
Katiba ipo poa ?

Tungekua na katiba bora , watu kama ole sabaya , and the likes wangekuwa phased out na systems , sio kusubiri tamko la kiongozi ,
Ni vile tu mama ni mcha mungu na ana hofu ya dini, kupitia hihi hii katiba akiamua anaweza kuwa dikteta na tusimfanye lolote.
 
Back
Top Bottom