Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Acha kujidanganya kamanda.Hahhaaha nikuonyeshe nini tena? Suala la Kumsapoti Mama Samia ni la kwetu sote na akikosea tutamkosoa tu, wala hili liko wazi. Kwa sasa Mama Samia ana upinzani mkubwa sana ndani ya CCM kwakua mmegoma kumkubali. Hii ni fact
Kenge ww,, magufuli mara kibao alikuwa anatembelea hadi kuzindua vyoo vya jijiShubaamit, Badala ya kutembelea miradi ya kimkakati anatembelea Nyanya na Pilipili hoho
Kwahiyo 2025 CHADEMA mtampigia Samia na CCM kisha CCM watampigia kura CHADEMAHahhaaha nikuonyeshe nini tena? Suala la Kumsapoti Mama Samia ni la kwetu sote na akikosea tutamkosoa tu, wala hili liko wazi. Kwa sasa Mama Samia ana upinzani mkubwa sana ndani ya CCM kwakua mmegoma kumkubali. Hii ni fact
Ana upinzani CCM alafu anapata kura 100% za kuwa mwenyekiti wa CCM?Hahhaaha nikuonyeshe nini tena? Suala la Kumsapoti Mama Samia ni la kwetu sote na akikosea tutamkosoa tu, wala hili liko wazi. Kwa sasa Mama Samia ana upinzani mkubwa sana ndani ya CCM kwakua mmegoma kumkubali. Hii ni fact
Kamanda unga tu mkono juhudi usione aibu.Ok, good angalia aina ya thread mnazopost wewe na MATAGA wenzako za kumkashifu Mama Samia, angalia hata kwenye thread hii, kuna Mouuzi anasema kwa Namna Mama Samia alivyomjibu Mkandarasi wa Ujenzi Mbagala inathibitisha kuwa hakuna Rais pale....je hii ni sahihi??
Wakwamia awamu,yenu mnaitawengine goigoi kumbe wenyewe ndio mlijigeuza goigoi kwa kujua ,kuwa mnaye wakuwasemea na kuwafanyia yote,huku mkiwa mmejiachia na kulala usingizi kabisa,amkeni kazi iendelee.Alikuwa anatambua fika kwamba watu wote wanaomzunguka ni GOIGOI.
Akaona ni bora awe jeshi la mtu mmoja!
Sasa tunaona!
Hao tunawaita wakwamia awamu yao pendwa.Hahhaaha nikuonyeshe nini tena? Suala la Kumsapoti Mama Samia ni la kwetu sote na akikosea tutamkosoa tu, wala hili liko wazi. Kwa sasa Mama Samia ana upinzani mkubwa sana ndani ya CCM kwakua mmegoma kumkubali. Hii ni fact
Hiyo si baada ya kutishana kuadabisha watakao enda kinyume na maamuzi ya kikao,unafiki mlizoea kuutanguliza kwa maslahi ya matumbo ya wachache.Ana upinzani ccm alafu anapata kura 100% za kuwa mwenyekiti wa ccm?
Nyumbu bwana
Hahahahaa wanafiki kiwango cha lami CCM ni wanafiki acha kufuata mkumboAna upinzani CCM alafu anapata kura 100% za kuwa mwenyekiti wa CCM?
Nyumbu bwana
Basi sawaAcha kujidanganya kamanda.
Hizi nchi zilizolaaniwa zina vituko sana.
Daaaahhh, unahangaika sana baada ya mungu wenu kuwatokaAnasema hiyo mimba aliyokuachia usijali ukijifungua utamsahau tu
Daaaahhh, unahangaika sana baada ya mungu wenu kuwatokaAnasema hiyo mimba aliyokuachia usijali ukijifungua utamsahau tu
Sheria,taratibu,na kanuni.Kivingine twaweza sema vigezo na masharti kuzingatiwa.Rais hana strategic plan eti anashtukiza, hii maana yake nini? kila rais ajaye anakuja na mambo yake mapya vile vibanda vimekosa kuwa controled earlier sasa watu vimeshakuwa ndio maisha yao leo uje uwambie hameni sijui mwende wapi na wapi., hakuna mfumo mzur wa kiutawala.,
Mwendazake aliwambia ata katika baraza ya mkuu wa mkoa kama mtu anahisi biashara yake inakwenda mtu apange biashara zake sasa leo eti watafutiwe maeneo wakati pale kariakoo ndio business place.,
Ajira wameshindwa kutoa lakini wanajifanya wajanja ku-control waliojiajiri, walimu elfu 6 ambao watatoa ajira kwenye yenye populatiaon milioni 60 karibu it is good for nothing.
Mkuu. Naitwa Deceiver a.k.a MnikuluNi kama umesema ukweli mchungu na mtupu, lakini hilo jina lako la Deceiver linanifanya niamini vinginevyo
Habari zinaonyesha,kuanzia mwezi wa Saba hali itakuwa mbaya mara tano ya hali ulivyo,muda Ni Mali.Sawa mama tuna imani nawe ila achia hera mitaani, bado mzunguko mdogo, maisha ni haya haya hatuitaji propaganda za flyover Barabara za njia 10 hayo yaje badaye Mama.
Nimejaribu kujiuliza wewe ni mtu wa aina gani mara mbili mbili sijapata jibu itoshe tu kusema hata kam mitandaoni tuonesha kuwa tunaelimu,tumefunzwa na tuna maadili.SSH ni bure, uwezo mdogo, akae mbali na mikusanyiko ambayo atahitaji kujibu maswali moja kwa moja, maana majibu yake yanaweza kukutapisha.
Wewe utakua MPUSH ambaye anaona SGR, BOMBARDIER na flyover ukijumlisha mataa ya barabarani ndio maendeleo. I am sorry for you.Nonsense😎
Unadanganywa na nani? unafuatilia kwanza kujua hiyo miradi imefikia wapi? unatambua manufaa ya hiyo miradi au ndio unalopoka tu kama mwendawazimu😅.
Kumalizika kwa hiyo miradi kutategemea na selikali ya sasa ilivyojipanga kama ambavyo awamu ya 5 ilivyoikuta miradi ya iliyoanzishwa awamu ya nne na kuimaliza.
Stratege yako ni kufanyia biashara mbele ya walipa kodi,kwa kuwa hiyo fursa imekuwepo sio.Rais hana strategic plan eti anashtukiza, hii maana yake nini? kila rais ajaye anakuja na mambo yake mapya vile vibanda vimekosa kuwa controled earlier sasa watu vimeshakuwa ndio maisha yao leo uje uwambie hameni sijui mwende wapi na wapi., hakuna mfumo mzur wa kiutawala.,
Mwendazake aliwambia ata katika baraza ya mkuu wa mkoa kamea mtu anahisi biashara yake inakwenda mtu apange biashara zake sasa leo eti watafutiwe maeneo wakati pale kariakoo ndio business place.,
Ajira wameshindwa kutoa lakini wanajifanya wajanja ku-control waliojiajiri, walimu elfu 6 ambao watatoa ajira kwenye yenye populatiaon milioni 60 karibu it is good for nothing.