Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Rais Samia akifungua shule ya wasichana Tanga Februari 25, 2025.
Rais Samia amependekeza Shule mpya ya Sekondari ya Wasichana Kilindi iitwe jina la aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kilindi kupitia CCM Beatrice Shellukindo aliyefariki Julai, 2016.
Rais Samia amwagiza Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Deogratius Ndejembi kupeleka Kliniki ya masuala ya Ardhi Kilindi ili kushughulikia migogoro ambayo pia inasababishwa na viongozi wa sehemu husika.
Rais Samia ameahidi kutoa Genereta na Gari katika shule ya Sekondari ya Wasichana Kilindi (Beatrice Shellukindo) na amesisitiza Wanafunzi kuacha ya dunia na kuwekeza nguvu kwenye masomo zaidi.
Rais Samia amependekeza Shule mpya ya Sekondari ya Wasichana Kilindi iitwe jina la aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kilindi kupitia CCM Beatrice Shellukindo aliyefariki Julai, 2016.
Rais Samia amwagiza Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Deogratius Ndejembi kupeleka Kliniki ya masuala ya Ardhi Kilindi ili kushughulikia migogoro ambayo pia inasababishwa na viongozi wa sehemu husika.
Rais Samia ameahidi kutoa Genereta na Gari katika shule ya Sekondari ya Wasichana Kilindi (Beatrice Shellukindo) na amesisitiza Wanafunzi kuacha ya dunia na kuwekeza nguvu kwenye masomo zaidi.