Rais Samia afungua Shule ya wasichana Tanga, apendekeza iitwe Beatrice Shellukindo
Ziara ya Rais Samia Tanga, Makubwa yamefanyika
Tanga inajivunia kujengwa kwa Shule ya Sekondari ya wasichana ya Mkoa iliyopo katika eneo la Mabalanga wilayani Kilindi

Ni shule maalam ya bweni ya mchepuo kwa sayansi, yenye jumla ya madarasa 12, mabweni nane, jengo la utawala, maabara tatu, nyumba za walimu , chumba cha wagonjwa, na bwalo la chakula. Shilingi bilioni 4.45 zimetumika kukamilisha ujezi wa shule hii ni moja kati ya shule 26 za mikoa za sayansi za wasichana zilizojengwa kila mkoa Tanzania bara.
 

Attachments

  • FB_IMG_1740542909690.jpg
    FB_IMG_1740542909690.jpg
    91 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1740542911981.jpg
    FB_IMG_1740542911981.jpg
    75.3 KB · Views: 1
Ziara ya Rais Samia Tanga, Makubwa yamefanyika
Tanga inajivunia kujengwa kwa Shule ya Sekondari ya wasichana ya Mkoa iliyopo katika eneo la Mabalanga wilayani Kilindi

Ni shule maalam ya bweni ya mchepuo kwa sayansi, yenye jumla ya madarasa 12, mabweni nane, jengo la utawala, maabara tatu, nyumba za walimu , chumba cha wagonjwa, na bwalo la chakula. Shilingi bilioni 4.45 zimetumika kukamilisha ujezi wa shule hii ni moja kati ya shule 26 za mikoa za sayansi za wasichana zilizojengwa kila mkoa Tanzania bara.
Gharama za ziara yake zinajenga shule 20 kama hizo
 
February ma rope katangaziwa msamaha na kuhani mkuu bila wanakaya kuambiwa kosa wala kuambiwa kama alikuwa kanuniwa..🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿
 
Ziara ya Rais Samia Tanga, Makubwa yamefanyika
Tanga inajivunia kujengwa kwa Shule ya Sekondari ya wasichana ya Mkoa iliyopo katika eneo la Mabalanga wilayani Kilindi

Ni shule maalam ya bweni ya mchepuo kwa sayansi, yenye jumla ya madarasa 12, mabweni nane, jengo la utawala, maabara tatu, nyumba za walimu , chumba cha wagonjwa, na bwalo la chakula. Shilingi bilioni 4.45 zimetumika kukamilisha ujezi wa shule hii ni moja kati ya shule 26 za mikoa za sayansi za wasichana zilizojengwa kila mkoa Tanzania bara.
Moaka rais aje ndio shule ijengwe? Yaan viongoz wa huo mkoa huwa wanakuwa wapi?
 
Ziara ya Rais Samia Tanga, Makubwa yamefanyika
Tanga inajivunia kujengwa kwa Shule ya Sekondari ya wasichana ya Mkoa iliyopo katika eneo la Mabalanga wilayani Kilindi

Ni shule maalam ya bweni ya mchepuo kwa sayansi, yenye jumla ya madarasa 12, mabweni nane, jengo la utawala, maabara tatu, nyumba za walimu , chumba cha wagonjwa, na bwalo la chakula. Shilingi bilioni 4.45 zimetumika kukamilisha ujezi wa shule hii ni moja kati ya shule 26 za mikoa za sayansi za wasichana zilizojengwa kila mkoa Tanzania bara.
Kodi za wananchi hizo, hakuna hisani hapo ni wajibu
 
Ila katika watu wnaoishi kwa shida kipindi au awami hii ni hawa haters wa mama Kwakweli.......mama anawatesa sana sana, spidi yake si ya nchi hii.
 
Miradi ya Saa100, huko Mkoa wa Kilimanjaro.
Mkuu wa Mkoa huo, alitembelea shule hii, na kuikagua,ila akapiga kimya.
 

Attachments

  • millardayo_87586b7fde804f1793b45dcc73d99f50.jpg
    millardayo_87586b7fde804f1793b45dcc73d99f50.jpg
    180.4 KB · Views: 1
  • millardayo_a60d2b2aa8534d76a0ad5fc7153ab0cd.jpg
    millardayo_a60d2b2aa8534d76a0ad5fc7153ab0cd.jpg
    148.8 KB · Views: 1
Binafsi nampongeza Mana kumkumbuka Mh Beatrice, yule mbunge alipinga sana ufisadi, alikuwa team Slaa na Mwakyembe, nimeshangaa na nimefurahi sana kukumbukwa na mama
 
Back
Top Bottom