Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Ya nn?!Hivi hatuwezi kupata ratiba ya raisi kwa ujumla wake, mfano weekly!
Kwasababu za kiusalama haiwezekani.Hivi hatuwezi kupata ratiba ya raisi kwa ujumla wake, mfano weekly!
Vipi umeshachoshwa na hizi ratiba? Na muda si mrefu utaambiwa ameenda Zanzibar kwa mapumziko!!Hivi hatuwezi kupata ratiba ya raisi kwa ujumla wake, mfano weekly!
Marais wengi ikiwemo Rais wa Marekani ratiba zao za week nzima zipo on. Nenda katafute WhiteHouse utaona ratiba ya rais. Sasa huyu wa Tanzania eti haitoki kwa sababu za usalama, usalama gani?Kwasababu za kiusalama haiwezekani
AMEN AMENMungu amjalie kheri, afya njema NA BUSARA iliyo kuu kiongozi wetu mh mama SSH
Ili ufanye nayo nini??Hivi hatuwezi kupata ratiba ya raisi kwa ujumla wake, mfano weekly!
Mimi mwananchi napaswa kujua ratiba ya rais wangu, leo atakuwa wapi kesho wapi n.k! Ni haki yangu ya msingi ya kupata taarifa.Ili ufanye nayo nini?
... leo Aprili 29? Uko fasta sana kijana!Rais Samia Suluhu Hassani leo Aprili 29, 2021 amehudhuria Kikao Cha Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichofanyika Dodoma
Kikao kinaendelea katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center Dodoma
Hahahaha.Vipi umeshachoshwa na hizi ratiba? Na muda si mrefu utaambiwa ameenda Zanzibar kwa mapumziko!
... huyu angalau ana uso wa haya!Siku hizi vikao havifanyiwi Ikulu kama enzi za Magu?