TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,465
- 3,459
Fanya kazi Dada,ratiba ya rais ndio itakuletea fungu la dagaa kauzu!!"Hivi hatuwezi kupata ratiba ya raisi kwa ujumla wake, mfano weekly!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya kazi Dada,ratiba ya rais ndio itakuletea fungu la dagaa kauzu!!"Hivi hatuwezi kupata ratiba ya raisi kwa ujumla wake, mfano weekly!
Sawa mremboFanya kazi Dada,ratiba ya rais ndio itakuletea fungu la dagaa kauzu!!"
Fanya kazi Dada,ratiba ya rais ndio itakuletea fungu la dagaa kauzu!!"
tunawahofia wasukuma,hatuwezi kuweka ratiba ya rais adharani, maana wasukuma wamechefukwa rohoo kwa urais wa Madam samiaMarais wengi ikiwemo Rais wa Marekani ratiba zao za week nzima zipo on. Nenda katafute WhiteHouse utaona ratiba ya rais. Sasa huyu wa Tanzania eti haitoki kwa sababu za usalama, usalama gani?
Huo ni Ushamba wa Usalama
Bashiru sio mjumbe wa kamati kuu, ni puppet mmoja tuMbona bashiru simwoni hapo
Hakuna ratiba actually kwa huko kwenu, rais akitamburikiwa tu leo naenda bandarini ataenda, leo naenda bwawa la nyerere ataenda tu ni atakavyojisikia tu akiamka, au leo sitoki basi hatoki analea wanaMarais wengi ikiwemo Rais wa Marekani ratiba zao za week nzima zipo on. Nenda katafute WhiteHouse utaona ratiba ya rais. Sasa huyu wa Tanzania eti haitoki kwa sababu za usalama, usalama gani?
Huo ni Ushamba wa Usalama
Ni kama kuzuia kupiga picha daraja la kigamboni au kwenye pantoni eti ni sababu za kiusalamaMarais wengi ikiwemo Rais wa Marekani ratiba zao za week nzima zipo on. Nenda katafute WhiteHouse utaona ratiba ya rais. Sasa huyu wa Tanzania eti haitoki kwa sababu za usalama, usalama gani?
Huo ni Ushamba wa Usalama
Yule mzee alituchezea sana akili... huyu angalau ana uso wa haya!
🗣️ Tupooooo!! Tunakufa tu njaa hapa Lumumba! Hakuna tena zile buku 7! Mama anakaba mpaka penati!Mataga mupoo?
rais wako yupo chato, wai ukamuhamshe, gwajima ashatangulia anawasubiriMimi mwananchi napaswa kujua ratiba ya rais wangu, leo atakuwa wapi kesho wapi n.k! Ni haki yangu ya msingi ya kupata taarifa
.... ha ha ha! Au pale Salender eti usipige picha wakati Google Map uki-zoom unaona hadi magari yanakatiza in real time!Ni kama kuzuia kupiga picha daraja la kigamboni au kwenye pantoni eti ni sababu za kiusalama
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Unaijua ratiba ya Mbowe?Marais wengi ikiwemo Rais wa Marekani ratiba zao za week nzima zipo on. Nenda katafute WhiteHouse utaona ratiba ya rais. Sasa huyu wa Tanzania eti haitoki kwa sababu za usalama, usalama gani?
Huo ni Ushamba wa Usalama
Na ikimpendeza yeye na viongozi wengine wa serikali, wajitahidi kuwa wanavaa nguo ambazo si za kichama kwenye ziara na shughuli za kiserikali... maana nafikiri viongozi kuvaa mavazi au regalia za chama hata kwenye shughuli / ziara za kiserikali, zinawanyima wananchi wengine wasio na vyama au vyama vingine, kujihisi shughuli hizo si wahusika, wa kujadili au kuchangia maendeleo yao ...yaani wewe fikiria watu wa vyama vingine kila mmoja akiudhuria na regalia ya chama chake kwenye shughuli hizo, si itakuwa ni fujo tu...tutafakari na hilo....kazi iendelee.Akitoka huko ndio anakuwa rais wetu.
Hasa akishavua hayo mavazi ya kijani na njano.
Akiwa huko ni wa CCM tu.
Ili ukatege uchawi?Hivi hatuwezi kupata ratiba ya raisi kwa ujumla wake, mfano weekly!
Hivi huo upumbavu upo? Nimecheka sana aisee. Ilipigwa picha ya mtu ndani ya coffin sembuse hilo daraja?Ni kama kuzuia kupiga picha daraja la kigamboni au kwenye pantoni eti ni sababu za kiusalama
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Upo sana Mr Q ni ushamba tu.Hivi huo upumbavu upo? Nimecheka sana aisee. Ilipigwa picha ya mtu ndani ya coffin sembuse hilo daraja?
Badala ya kukataza wangeruhusu nyakati fulani tena watu wanapanda boti au chombo chochote kuchukua picha kwa ukaribu na kwa kulipia huo ni uzembe wa kufikiria na nimatumizi mabaya ya akili.