Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Juzi nasikia alikuwa Dodoma, jana akaenda Dar leo nasikia yupo Dodoma tena.Hivi hatuwezi kupata ratiba ya raisi kwa ujumla wake, mfano weekly!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi nasikia alikuwa Dodoma, jana akaenda Dar leo nasikia yupo Dodoma tena.Hivi hatuwezi kupata ratiba ya raisi kwa ujumla wake, mfano weekly!
mwendazake alishasema Tanzania siku ina masaa 48 upo hapo!Aise Mama yetu yuko mbele ya muda kumbe, leo tar 28 ila keshahudhuria kikao cha tar 29 yuko vizuri.
Hivi hatuwezi kupata ratiba ya raisi kwa ujumla wake, mfano weekly!
Kwasababu za kiusalama haiwezekani
Fanya kazi Dada,ratiba ya rais ndio itakuletea fungu la dagaa kauzu!!"
Sio kweli, ratiba za Rais zinapangwa hata mwezi kabla na wakuu wa mikoa na wilaya anapoenda wanakuwa wamejulishwaHakuna ratiba actually kwa huko kwenu, rais akitamburikiwa tu leo naenda bandarini ataenda, leo naenda bwawa la nyerere ataenda tu ni atakavyojisikia tu akiamka, au leo sitoki basi hatoki analea wana
tusiwe tunapenda kila wanachofanya Wamarekani basi lazima na sisi tuige, ratiba zake zipo na wahusika wakuu wanazijua hata unapoona anakwenda tembelea sehemu iwe ni miradi,kongamano au jambo lolote ambalo siyo la dharula jua ipo ndani ya ya ratiba na wahusika wakuu wanazijua.Marais wengi ikiwemo Rais wa Marekani ratiba zao za week nzima zipo on. Nenda katafute WhiteHouse utaona ratiba ya rais. Sasa huyu wa Tanzania eti haitoki kwa sababu za usalama, usalama gani?
Huo ni Ushamba wa Usalama.
Anakaribishwa saaana CHADEMA.Rais Samia Suluhu Hassani leo Aprili 28, 2021 amehudhuria Kikao Cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichofanyika Dodoma....
Lete wewe hiyo ratiba hapa tuoneSio kweli, ratiba za Rais zinapangwa hata mwezi kabla na wakuu wa mikoa na wilaya anapoenda wanakuwa wamejulishwa
duh...hii nchi raha sana yaan akitoa hizo gwanda tayari kawa raisiRais Samia Suluhu Hassani leo Aprili 28, 2021 amehudhuria Kikao Cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichofanyika Dodoma....
unataka umuue auHivi hatuwezi kupata ratiba ya raisi kwa ujumla wake, mfano weekly!
Jakaya na mzee mwinyi wamo?Rais Samia Suluhu Hassani leo Aprili 28, 2021 amehudhuria Kikao Cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichofanyika Dodoma.
Kikao kinaendelea katika Ukumbi unaomilikiwa na Chama wa Jakaya Kikwete Convention Center Dodoma.
Makamo wa Rais Dkt Philip Mpango na Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi pia wanahudhuria kikao hicho hicho muhimu kuelekea Mkutano Mkuu April 30, 2021.
Pia huko Marekani status ya ulinzi ni bora kabisa .Marais wengi ikiwemo Rais wa Marekani ratiba zao za week nzima zipo on. Nenda katafute WhiteHouse utaona ratiba ya rais. Sasa huyu wa Tanzania eti haitoki kwa sababu za usalama, usalama gani?
Huo ni Ushamba wa Usalama.