Rais Samia Suluhu Hassani leo Aprili 28, 2021 amehudhuria Kikao Cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichofanyika Dodoma.
Kikao kinaendelea katika Ukumbi unaomilikiwa na Chama wa Jakaya Kikwete Convention Center Dodoma.
Makamo wa Rais Dkt Philip Mpango na Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi pia wanahudhuria kikao hicho hicho muhimu kuelekea Mkutano Mkuu April 30, 2021.
Imeichukua Marekani miaka takribani 240 kuweza kutangaza ratiba ya Rais weekly! Sasa unataka na Tanzania (miaka 60) waweze! Akili zako wewe! Unazijua mwenyewe!Marais wengi ikiwemo Rais wa Marekani ratiba zao za week nzima zipo on. Nenda katafute WhiteHouse utaona ratiba ya rais. Sasa huyu wa Tanzania eti haitoki kwa sababu za usalama, usalama gani?
Huo ni Ushamba wa Usalama.
Unamfananisha Rais na Mama yako alioko Mbarizi huko, Ratiba ya Rais haiwezi kuwa PublishedMarais wengi ikiwemo Rais wa Marekani ratiba zao za week nzima zipo on. Nenda katafute WhiteHouse utaona ratiba ya rais. Sasa huyu wa Tanzania eti haitoki kwa sababu za usalama, usalama gani?
Huo ni Ushamba wa Usalama.
Mrudisheni Bashiru banaRais Samia Suluhu Hassani leo Aprili 28, 2021 amehudhuria Kikao Cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichofanyika Dodoma.
Kikao kinaendelea katika Ukumbi unaomilikiwa na Chama wa Jakaya Kikwete Convention Center Dodoma.
Makamo wa Rais Dkt Philip Mpango na Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi pia wanahudhuria kikao hicho hicho muhimu kuelekea Mkutano Mkuu April 30, 2021.
Nafasi yake ni kama nani kwenye hiyo kamati kuu?Rais Samia Suluhu Hassani leo Aprili 28, 2021 amehudhuria Kikao Cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichofanyika Dodoma.
Kikao kinaendelea katika Ukumbi unaomilikiwa na Chama wa Jakaya Kikwete Convention Center Dodoma.
Makamo wa Rais Dkt Philip Mpango na Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi pia wanahudhuria kikao hicho hicho muhimu kuelekea Mkutano Mkuu April 30, 2021.
Hapo yupo kwenye kikao cha chama amekalia kiti cha Rais hapo ndio ujue CCM hawawezi kutenganisha viti hivi viwiliRais Samia Suluhu Hassani leo Aprili 28, 2021 amehudhuria Kikao Cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichofanyika Dodoma.
Kikao kinaendelea katika Ukumbi unaomilikiwa na Chama wa Jakaya Kikwete Convention Center Dodoma.
Makamo wa Rais Dkt Philip Mpango na Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi pia wanahudhuria kikao hicho hicho muhimu kuelekea Mkutano Mkuu April 30, 2021.
Wamekula konaMbona simuoni KATIBU Mkuu wala Mwenezi?
Hilo halikwepeki.Mrudisheni Bashiru bana
Huu usalama mnaujua Tz tu!!??Kwasababu za kiusalama haiwezekani.
Au wako wanaongea na clouds wakiwa na baby kabaye [emoji23][emoji23][emoji23]Wamekula kona