Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
Kunatofauti yakusifu na kueleza kazi ya mtu, Kuwa makiniAchen praising! Tujikite kweny reality itawasaidia zaid watawala kuliko kuwasifu for nothing!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunatofauti yakusifu na kueleza kazi ya mtu, Kuwa makiniAchen praising! Tujikite kweny reality itawasaidia zaid watawala kuliko kuwasifu for nothing!!!
Hakuna cha kua makini! Watanzania unafiki umejaa sana kipind cha Mwendazake hivohivo kusifu na kuabudu hata kwa vitu ambavyo haikua saw. Mwisho wa cku katangulia watu wamegeuka!!! Achen achen hizi mambo!!!Kunatofauti yakusifu na kueleza kazi ya mtu, Kuwa makini
Ndio kaziiendeleeAnaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
Ndiyo zipande kwa 300%?Argument yako ni ya kitoto, hata USA, nchi tajiri zaidi duniani, kuna mfumuko wa bei sasa hivi. Angaza macho oune kinachoendelea duniani usijichimbie bongo tu bwashee.
Sifa za kijinga kabisa hizi,mtu hata hana mwaka ,dah!Exactly what is wrong with Tanzanians,kama mazezeta hivii.....Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,
Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,
Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa
Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP
Zezeta ni wewe,Sifa za kijinga kabisa hizi,mtu hata hana mwaka ,dah!Exactly what is wrong with Tanzanians,kama mazezeta hivii.....
Niambie uzezeta wangu,au limekuja tu umebwata?Zezeta ni wewe,
Mkuu KaziindeleeNiambie uzezeta wangu,au limekuja tu umebwata?
Kazi ipi iendelee,kuiuza nchi kwa mabeberu,na hivyo kuifanya iwe shamba la Bibi?Aibu tupu.Mkuu Kaziindelee
Unaoushahidi wowote au ndio bussiness as usualKazi ipi iendelee,kuiuza nchi kwa mabeberu,na hivyo kuifanya iwe shamba la Bibi?Aibu tupu.
Kazi nzuri sanaaaKwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,
Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,
Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa
Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP
Kazii nzuri Tanzania,Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,
Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,
Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa
Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP
kazi nzuri sanaaaKwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,
Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,
Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa
Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP
Na nan?Si tulishaambiwa tuko kwenye Uchumi wa Kimachinga wa Kati.
duuuhRubbish, hakuna anayezungumzia mfumuko wa bei zaidi ya kusifia ujinga
Seenduuuh