Gross Domestic Product.Kwani GDP maana yake ni nini mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gross Domestic Product.Kwani GDP maana yake ni nini mkuu?
😀😀😀 MTAPATA TABU SANAMaigizo tupu
No, Hauko sahihiYapi makubwa kafanya,kuendelea kuifanya TZ kuwa shamba la Bibi??
Rekodi Nzuri sana hii,Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,
Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,
Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa
Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP
Jamani is this a true assertion!?Sidhani,yaani kwa mwaka mmoja tu!Aliye contribute kwenye hiyo performance kama ni kweli sio kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa, ni Magufuli,sio Samia.So ili kutenda haki mpeni Hayati Magufuli his dues.Chuki haitawasaidia sana.Magufuli is simply the best President we have ever had.Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,
Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,
Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa
Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP
Sio kweli lakini,Jamani is this a true assertion!?Sidhani,yaani kwa mwaka mmoja tu!Aliye contribute kwenye hiyo performance kama ni kweli sio kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa, ni Magufuli,sio Samia.So ili kutenda haki mpeni Hayati Magufuli his dues.Chuki haitawasaidia sana.Magufuli is simply the best President we have ever had.
Ni kweli,right inside your heart,you know this is true,na hii ndio maana mabeberu walimuua.Sio kweli lakini,
Wanamuua wapate nini ambacho aliwanyima?Ni kweli,right inside your heart,you know this is true,na hii ndio maana mabeberu walimuua.
Mkuu hivi unauliza hili swali hujui alichowanyima au you are pretending?Wanamuua wapate nini ambacho aliwanyima?
Huu ndiyo ujinga, Watanzania siyo wajinga...tunakopa Kila siku Hadi kujenga vyoo tunatafuta wafadhili halafu watu wanashabikia huu ujinga.......toeni sifa Kwa Rais anapofanya vizuri ila siyo huu undeziKwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,
Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,
Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa
Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP
😂😂😂😂Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,
Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,
Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa
Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP
eleza na sisi tueleweMkuu hivi unauliza hili swali hujui alichowanyima au you are pretending?
Mkuu huwa mimi siwaelewi WaTz.Anyway,labda nisi-generalize sana,ila simuelewi mtu anayeshabikia mikopo.Halafu imagine nyumbani kwako unaishi kwa kukopa kopa,hivi si aibu kwa mkeo na watoto.To me and any sensible person,kukopa ni aibu,however you put it.Sijui nini kimetutokea,mpaka tunaamini kwamba kukopa is fine,it is not,it is a shame.Huu ndiyo ujinga, Watanzania siyo wajinga...tunakopa Kila siku Hadi kujenga vyoo tunatafuta wafadhili halafu watu wanashabikia huu ujinga.......toeni sifa Kwa Rais anapofanya vizuri ila siyo huu undezi
Halafu mtu na akili timamu anakuja na Uzi eti Rais ZSa100 ameipeleka Tanzania imekuwa tajiriMkuu huwa mimi siwaelewi WaTz.Anyway,labda nisi-generalize sana,ila simuelewi mtu anayeshabikia mikopo.Halafu imagine nyumbani kwako unaishi kwa kukopa kopa,hivi si aibu kwa mkeo na watoto.To me and any sensible person,kukopa ni aibu,however you put it.Sijui nini kimetutokea,mpaka tunaamini kwamba kukopa is fine,it is not,it is a shame.
Imekuwa tajiri huku inatembeza bakuli!Watu wa namna hii wana shida ya kufikiri.Kimawazo they are bankrupt mkuu.Halafu mtu na akili timamu anakuja na Uzi eti Rais ZSa100 ameipeleka Tanzania imekuwa tajiri
Apo kuna nini cha kujivunia? ivi kweli kwenye 400 uko 69, umepitwa ni hadi angola bado unakuja hapa kusema ni mafanikio wakati muna miaka 53 ya utawala?Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,
Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,
Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa
Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP