Rais Samia aiingiza Tanzania kwenye orodha ya nchi 10 tajiri Afrika 2021

Rais Samia aiingiza Tanzania kwenye orodha ya nchi 10 tajiri Afrika 2021

" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP

Rekodi Nzuri sana hii,
 
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP

Jamani is this a true assertion!?Sidhani,yaani kwa mwaka mmoja tu!Aliye contribute kwenye hiyo performance kama ni kweli sio kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa, ni Magufuli,sio Samia.So ili kutenda haki mpeni Hayati Magufuli his dues.Chuki haitawasaidia sana.Magufuli is simply the best President we have ever had.
 
Jamani is this a true assertion!?Sidhani,yaani kwa mwaka mmoja tu!Aliye contribute kwenye hiyo performance kama ni kweli sio kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa, ni Magufuli,sio Samia.So ili kutenda haki mpeni Hayati Magufuli his dues.Chuki haitawasaidia sana.Magufuli is simply the best President we have ever had.
Sio kweli lakini,
 
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP

Huu ndiyo ujinga, Watanzania siyo wajinga...tunakopa Kila siku Hadi kujenga vyoo tunatafuta wafadhili halafu watu wanashabikia huu ujinga.......toeni sifa Kwa Rais anapofanya vizuri ila siyo huu undezi
 
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP

😂😂😂😂
 
Huu ndiyo ujinga, Watanzania siyo wajinga...tunakopa Kila siku Hadi kujenga vyoo tunatafuta wafadhili halafu watu wanashabikia huu ujinga.......toeni sifa Kwa Rais anapofanya vizuri ila siyo huu undezi
Mkuu huwa mimi siwaelewi WaTz.Anyway,labda nisi-generalize sana,ila simuelewi mtu anayeshabikia mikopo.Halafu imagine nyumbani kwako unaishi kwa kukopa kopa,hivi si aibu kwa mkeo na watoto.To me and any sensible person,kukopa ni aibu,however you put it.Sijui nini kimetutokea,mpaka tunaamini kwamba kukopa is fine,it is not,it is a shame.
 
Mkuu huwa mimi siwaelewi WaTz.Anyway,labda nisi-generalize sana,ila simuelewi mtu anayeshabikia mikopo.Halafu imagine nyumbani kwako unaishi kwa kukopa kopa,hivi si aibu kwa mkeo na watoto.To me and any sensible person,kukopa ni aibu,however you put it.Sijui nini kimetutokea,mpaka tunaamini kwamba kukopa is fine,it is not,it is a shame.
Halafu mtu na akili timamu anakuja na Uzi eti Rais ZSa100 ameipeleka Tanzania imekuwa tajiri
 
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP

Apo kuna nini cha kujivunia? ivi kweli kwenye 400 uko 69, umepitwa ni hadi angola bado unakuja hapa kusema ni mafanikio wakati muna miaka 53 ya utawala?
 
Back
Top Bottom