Rais Samia aiingiza Tanzania kwenye orodha ya nchi 10 tajiri Afrika 2021

Rais Samia aiingiza Tanzania kwenye orodha ya nchi 10 tajiri Afrika 2021

Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP


Wapi yaliyofanyika mbali na marehemu magufuru hayoyahasii ni kusifia sifa zisizozake hata yeye akisoma huu uzi nanajua sifa za kijipendekeza
Kama mmepewa kazi basi iwe ya kutangaza mambo halisi
 
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP

Tuko vizuri Sana
 
Amazingly mfumoko wa bei? mpuuzi kweli
soaring price fluctuation imeanza lini?, jambo na sifa hizi za wakati gani? ....
mf,magu alidai tuko uchumi wa kati covid-19 ikatushusha.
Uchumi wowote within hours unaweza kubadilika kutoka hatua Fulani mpaka hatua nyingine kutegemeana na upepo wa kidunia,Elewa....
 
soaring price fluctuation imeanza lini?, jambo na sifa hizi za wakati gani? ....
mf,magu alidai tuko uchumi wa kati covid-19 ikatushusha.
Uchumi wowote within hours unaweza kubadilika kutoka hatua Fulani mpaka hatua nyingine kutegemeana na upepo wa kidunia,Elewa....
Vitu vimeanza kupanda kabla ya vita ya Ukraine wewe dada, acheni maigizo kama ni kiongozi mzuri arudi kwenu Zanzibar aongoze au kwenu hamtaki kiongozi mzuri?
 
IMG_6423.jpg
 
If you cook up figures and cheat, know that, the only person you are cheating in this wide world is yourself.
 
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP

Hahahaaaa nchi kumi tajiri za kiafrika wakati huku mtaani watu wengi hawawezi hata kula mlo mmoja kwa siku nzima kwa kweli Hali ni mbaya mbaya mbaya sana nafikiri asilimia ya watanzania wanaorudi kwenye ufukara wa kutisha ni kubwa sana lakini hilo hakuna hata anayelizungumzia,
 
Back
Top Bottom