Rais Samia aiingiza Tanzania kwenye orodha ya nchi 10 tajiri Afrika 2021

Rais Samia aiingiza Tanzania kwenye orodha ya nchi 10 tajiri Afrika 2021

Hizi nguvu za kutafuta na kupika data tungezitumia kupika maendeleo wala tusingehitaji kupika data sababu zingejipika tu na uchumi / utajiri usingehitaji kuambiwa sababu ungeonekana mifukoni na kwenye maisha ya jamii..
 
Hahahahaha
IMG_0843.png
 
Hizi nguvu za kutafuta na kupika data tungezitumia kupika maendeleo wala tusingehitaji kupika data sababu zingejipika tu na uchumi / utajiri usingehitaji kuambiwa sababu ungeonekana mifukoni na kwenye maisha ya jamii..
Zipi zimepikwa mkuu?
 
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP

😍😍
 
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP

Safi sana Rais Samia wetu,
 
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP

Awesome Tanzania
 
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP

Mungu bado ni wetu hata Sasa
 
Mungu bado ni wetu hata Sasa
Sisi tunataka Gross National Product ikue(GNP) sio GDP(Gross Domestic Product), msidanganye watu.Kukua kwa GNP kuna maana kwamba wazawa ndio wanaotawala uchumi wa nchi.Kwa upande mwingine GDP kukua kuna maana moja tu,nayo Ni kwamba tumeruhusu watu wa nje watawale uchumi wetu au tumeshaiuza nchi.This is bad news for our country.
 
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP

Acheni kudanganya watu kipimo kizuzi Cha kukua kwa uchumi ni GNP,sio GDP.
 
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP

Kipimo kizuri cha uchumi kukua ni GNP mkuu sio GDP! Sisi tunataka Gross National Product ikue(GNP) na sio GDP(Gross Domestic Product) ikue, msidanganye watu.Kukua kwa GNP kuna maana kwamba wazawa ndio wanaotawala uchumi wa nchi.Kwa upande mwingine GDP kukua kuna maana moja tu,nayo ni kwamba tumeruhusu watu wa nje watawale uchumi wetu au tumeshaiuza nchi.This is bad news for our country.Sasa mali ya MTU amekuja kuiwekeza Tanzania,hii haisaidii sana mzawa.Tunataka mzawa akue ndiye awekeze nchini mwake.Vikokodi Kodi hivyo na ajira so chochote,mzawa anabaki kuwa mtumwa tu.Nadhani wewe unatumiwa na maadui zetu kuwapa Watanzania a fake sense of security,kumbe wanakaangwa.
 
Kipimo kizuri cha uchumi kukua ni GNP mkuu sio GDP! Sisi tunataka Gross National Product ikue(GNP) na sio GDP(Gross Domestic Product) ikue, msidanganye watu.Kukua kwa GNP kuna maana kwamba wazawa ndio wanaotawala uchumi wa nchi.Kwa upande mwingine GDP kukua kuna maana moja tu,nayo ni kwamba tumeruhusu watu wa nje watawale uchumi wetu au tumeshaiuza nchi.This is bad news for our country.Sasa mali ya MTU amekuja kuiwekeza Tanzania,hii haisaidii sana mzawa.Tunataka mzawa akue ndiye awekeze nchini mwake.Vikokodi Kodi hivyo na ajira so chochote,mzawa anabaki kuwa mtumwa tu.Nadhani wewe unatumiwa na maadui zetu kuwapa Watanzania a fake sense of security,kumbe wanakaangwa.
Unamawazo mazuri Ila basics za uchumi hazitambui unachosema hapo, Ndio maana kipimo cha Utajiri ni GDP na sio GNP
 
Back
Top Bottom