Rais Samia aiingiza Tanzania kwenye orodha ya nchi 10 tajiri Afrika 2021

Rais Samia aiingiza Tanzania kwenye orodha ya nchi 10 tajiri Afrika 2021

Na kuna nchi 53, imagine nchi 30 za mwisho zina hali gani.
 
Praise team katika ubora wenu. Tunawatakia kila la kheri. Posho mnazopata mzitumie vyema.
 
Rubbish, hakuna anayezungumzia mfumuko wa bei zaidi ya kusifia ujinga
Argument yako ni ya kitoto, hata USA, nchi tajiri zaidi duniani, kuna mfumuko wa bei sasa hivi. Angaza macho oune kinachoendelea duniani usijichimbie bongo tu bwashee.
 
Peleka huko ujinga wako na ww
Kati ya wewe na yeye nani mjinga? Hali iko hivi Duniani,je Tzn tunaishi mbinguni?

Screenshot_20211218-160317.png


Screenshot_20211217-232058.png


Screenshot_20211217-232143.png


Screenshot_20211217-082816.png


Screenshot_20211217-083223.png


Screenshot_20211217-063204.png


Screenshot_20211217-062828.png


Screenshot_20211216-143808.png


Screenshot_20211216-062627.png


Screenshot_20211216-062244.png


Screenshot_20211215-081733.png


Screenshot_20211213-065227.png


Screenshot_20211212-222910.png


Screenshot_20211212-222430.png


Screenshot_20211212-222515.png


Screenshot_20211212-223321.png


Screenshot_20211212-223341.png


Screenshot_20211214-063622.png


Screenshot_20211213-065533.png
 
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP

🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🙄🙄🙄🙄🙄😝😝😝😝😝
 
Kuna watu wanapandisha bei za bidhaa kiholela kumchafua Rais Samia,

Waziri Mkuu pambana na hawa watu nia yao si njema kabisa,
Wana take advantage ya shida ya Dunia.

Pili nashangaa PM na mawaziri hawatoki kueleza ukweli kwamba inflation ni global issue na Tzn kama net importer tunaingia kwenye shida hiyo..

Majitu yamekaa ofisini as if ni Samia kasababisha mfumuko wa bei,huku ni kumhujumu Rais..

Ukame pia umeongeza mfumuko wa bei hasa vyakula but hakuna anaeleza umma,mbona kipindi cha Mwendazake walikuwa hawalali wanatetea Serikali?
 
Wametupachika,,tujitutumue. .ili watunyonye vizurigh
 
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP

Rubbish
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,

Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa na Pato Ghafi kwa bei za sasa linalofikia US$ 69.238BL au TZS 152.234 Trilioni ikiwa ni sawa na ongezeko la TZS 3.8Trilioni,

Kwalugha rahisi kwa kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Pato Ghafi ( GDP ) limeongezeka hadi kufikia US$ 69BL kutoka US$66BL na hii ndio inaifanya Tanzania inaingia kwenye orodha ya kumi bora za nchi tajiri zaidi Africa baada ya kuikosa nafasi hii kwa miaka kadhaa sasa

Zaidi soma > What is the richest country in Africa 2021? Top 20 by GDP

Tanzania tunakwenda vizuri Sana
 
Back
Top Bottom