Rais Samia aingia amependeza Kikaoni kuwahi kutokea, wengi watamani Ushonaji wake wa Nguo uigwe kwenye vazi la Taifa

Mkoloni alikosea sana kuondoka mapema africa....
 
Mwanaume mzima kukaa unasifia uvaji wa mke wa mtu, ni aibu.
 

Bado kidogo utaanza kumsifia mumewe!
 

Huku sasa ndio utapiga Ela
Sio kile kwenye mambo ya chadema
 
Mwanaume kutamani nguo za kike ni ujinga.sema huyu jamaa aliwahi kupelekwa hospitali ya mirembe kutibiwa mental disorder.Huenda itakuwa Bado hajapona.
 
Nitakununulia kama hilo ili na wewe upendeze.
 
Mwanaume kutamani nguo za kike ni ujinga.sema huyu jamaa aliwahi kupelekwa hospitali ya mirembe kutibiwa mental disorder.Huenda itakuwa Bado hajapona.
Wewe ulishapuuzwa humu jukwaani. Mungu akusamehe sana ndugu yangu mtanzania uliyejaa msongo wa Mawazo
 
Huu ni upuuzi wa kiwango cha lami hivi hata hujaona aibu kuandika hii pumba🚮🚮🚮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…