Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Kama lilivyotolewa gari kule Arusha kwa sheikh 'akafanyie shughuli zake', sasa ni zimetoka kwa stars, sasa hivi kura zinanunuliwa kwa hela tu, hakuna purukushani za kukamatwa wakikimbia na mabox!
Pia soma: Siasa kuingia kwenye michezo na wanamichezo kutumika kisiasa hatujali kuibomoa sekta hii?
====
Baada ya Tanzania kufuzu AFCON 2025 zitakazo chezwa Morocco, Rais Samia ametangaza kuwapatia zawadi ya Milioni 700 kama pongezi.
Mapema jana Rais Samia alitangaza mchezo wa leo utakuwa bure kwa kuwanunuliwa watazamaji wote viingilio.
Rais Samia pia alitoa ndege ya kupeleka timu ya Taifa CONGO DRC ambapo Taifa Stars ilicheza na Ethiopia na kushinda mchezo huo.
PIA SOMA
- Msigwa: Tutafanya kila kitu kinachohitajika kufuzu AFCON. Watanzania wasiikatie tamaa Taifa Stars
- News Alert: - Full Time Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
Kama lilivyotolewa gari kule Arusha kwa sheikh 'akafanyie shughuli zake', sasa ni zimetoka kwa stars, sasa hivi kura zinanunuliwa kwa hela tu, hakuna purukushani za kukamatwa wakikimbia na mabox!
Pia soma: Siasa kuingia kwenye michezo na wanamichezo kutumika kisiasa hatujali kuibomoa sekta hii?
====
Baada ya Tanzania kufuzu AFCON 2025 zitakazo chezwa Morocco, Rais Samia ametangaza kuwapatia zawadi ya Milioni 700 kama pongezi.
Mapema jana Rais Samia alitangaza mchezo wa leo utakuwa bure kwa kuwanunuliwa watazamaji wote viingilio.
Rais Samia pia alitoa ndege ya kupeleka timu ya Taifa CONGO DRC ambapo Taifa Stars ilicheza na Ethiopia na kushinda mchezo huo.
PIA SOMA
- Msigwa: Tutafanya kila kitu kinachohitajika kufuzu AFCON. Watanzania wasiikatie tamaa Taifa Stars
- News Alert: - Full Time Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024