OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Chawa la KijaniASANTE MAMA
TUNAKUPENDA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa la KijaniASANTE MAMA
TUNAKUPENDA
Hapo hamna hamna kila mchezaji hakosi 20-25mAisee watu wanaoga mihelaa. Kama nawaona vile wachezaji watakavyo gegeda mbususu za warembo
Ndo maana hizo milioni 700 zikapatikanaanajua watu wanalipa "TZS elfu hamsini 50,000/=", Wakilazwa muhimbili..?
Rais ana fungu liso hesabiwa kwa ajili ya mambo mbalimbaliMjiulize hizi pesa anazogawa bila aibu hadharani je ni kiasi gani anajichotea kisiri siri
namashaka huyu mzanzibar kila wiki anajichotea trillion moja anaweka kwenye account yake
Shida na wasiwasi wanguu hizo hela zitawafikia wacheazjiWakuu,
Kama lilivyotolewa gari kule Arusha kwa sheikh 'akafanyie shughuli zake', sasa ni zimetoka kwa stars, sasa hivi kura zinanunuliwa kwa hela tu, hakuna purukushani za kukamatwa wakikimbia na mabox!
====
Baada ya Tanzania kufuzu AFCON 2025 zitakazo chezwa Morocco, Rais Samia ametangaza kuwapatia zawadi ya Milioni 700 kama pongezi.
Mapema jana Rais Samia alitangaza mchezo wa leo utakuwa bure kwa kuwanunuliwa watazamaji wote viingilio.
Rais Samia pia alitoa ndege ya kupeleka timu ya Taifa CONGO DRC ambapo Taifa Stars ilicheza na Ethiopia na kushinda mchezo huo.
Nimecheka sanaaMjiulize hizi pesa anazogawa bila aibu hadharani je ni kiasi gani anajichotea kisiri siri
namashaka huyu mzanzibar kila wiki anajichotea trillion moja anaweka kwenye account yake
Stars wanapambania taifa kwenye msitari wa mbele wa michezo,acha wale matunda ya jasho laoNdo maana hizo milioni 700 zikapatikana
Basi sawaStars wanapambania taifa kwenye msitari wa mbele wa michezo,acha wale matunda ya jasho lao
takudunda kaa mbali ninahasira!Ndo maana hizo milioni 700 zikapatikana
sitakiAnakupa hi
View attachment 3156375
Huu ni mfano......yapo matumizi mengine ya fedha ukiyajua kichwa kitakuuma.Wakuu,
Kama lilivyotolewa gari kule Arusha kwa sheikh 'akafanyie shughuli zake', sasa ni zimetoka kwa stars, sasa hivi kura zinanunuliwa kwa hela tu, hakuna purukushani za kukamatwa wakikimbia na mabox!
====
Baada ya Tanzania kufuzu AFCON 2025 zitakazo chezwa Morocco, Rais Samia ametangaza kuwapatia zawadi ya Milioni 700 kama pongezi.
Mapema jana Rais Samia alitangaza mchezo wa leo utakuwa bure kwa kuwanunuliwa watazamaji wote viingilio.
Rais Samia pia alitoa ndege ya kupeleka timu ya Taifa CONGO DRC ambapo Taifa Stars ilicheza na Ethiopia na kushinda mchezo huo.