Rais Samia aipa Taifa Stars Milioni 700 kufuzu AFCON

Rais Samia aipa Taifa Stars Milioni 700 kufuzu AFCON

Mjiulize hizi pesa anazogawa bila aibu hadharani je ni kiasi gani anajichotea kisiri siri
namashaka huyu mzanzibar kila wiki anajichotea trillion moja anaweka kwenye account yake
Rais ana fungu liso hesabiwa kwa ajili ya mambo mbalimbali
 
Wakuu,

Kama lilivyotolewa gari kule Arusha kwa sheikh 'akafanyie shughuli zake', sasa ni zimetoka kwa stars, sasa hivi kura zinanunuliwa kwa hela tu, hakuna purukushani za kukamatwa wakikimbia na mabox!

====



Baada ya Tanzania kufuzu AFCON 2025 zitakazo chezwa Morocco, Rais Samia ametangaza kuwapatia zawadi ya Milioni 700 kama pongezi.

Mapema jana Rais Samia alitangaza mchezo wa leo utakuwa bure kwa kuwanunuliwa watazamaji wote viingilio.

Rais Samia pia alitoa ndege ya kupeleka timu ya Taifa CONGO DRC ambapo Taifa Stars ilicheza na Ethiopia na kushinda mchezo huo.
Shida na wasiwasi wanguu hizo hela zitawafikia wacheazji

Mnakumbuka wale madogoo walifanikiwa kufuzu...wahaidiwa
Mwishoo wakaenda Tanga mmoja akagoma akaandika kwenye mtandaoooo

Tff wakasema zikoo mbon kufingizwa lwenye acc

Tujifunze kwa hiliii
 
Mjiulize hizi pesa anazogawa bila aibu hadharani je ni kiasi gani anajichotea kisiri siri
namashaka huyu mzanzibar kila wiki anajichotea trillion moja anaweka kwenye account yake
Nimecheka sanaa
 
Ni kwamba hizi ni zake au anatumia zetu kwa kutupangia matumizi ? La kwanza naweza kumpa Heko ila kama ni la pili naweza kumwambia acha kufuja pesa zetu...;
 
takudunda kaa mbali ninahasira!
Anakupa hi
Screenshot_20241119-203114_X.jpg
 
CAPT HIZI PESA MSICHEZE NAZOOO FATILIENI MAPEMAAAA SHIRIKISHOO HALINA ...NA HELAAA USHAURI TU
 
Wakuu,

Kama lilivyotolewa gari kule Arusha kwa sheikh 'akafanyie shughuli zake', sasa ni zimetoka kwa stars, sasa hivi kura zinanunuliwa kwa hela tu, hakuna purukushani za kukamatwa wakikimbia na mabox!

====



Baada ya Tanzania kufuzu AFCON 2025 zitakazo chezwa Morocco, Rais Samia ametangaza kuwapatia zawadi ya Milioni 700 kama pongezi.

Mapema jana Rais Samia alitangaza mchezo wa leo utakuwa bure kwa kuwanunuliwa watazamaji wote viingilio.

Rais Samia pia alitoa ndege ya kupeleka timu ya Taifa CONGO DRC ambapo Taifa Stars ilicheza na Ethiopia na kushinda mchezo huo.
Huu ni mfano......yapo matumizi mengine ya fedha ukiyajua kichwa kitakuuma.

Hongereni Taifa Stars kwa kufuzu
 
Back
Top Bottom