Mohammed Khatibu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2018
- 1,170
- 1,617
Mama anaupiga mwingi..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekuwa una plan nzuri hata kwenye fedha zako namna hiyo ungekuwa mbali zaidi ya hapo.Hiii ni shule iliyokamilika kila kitu kuanzia madarasa, maabara, Ofisi namabweni....
Badala ya kuwapa achague eneo ijengewe shule kali ya advance (girls au Boys tupu) ipewe jina la TaifaStars High School.
Mimi ni pro- Goverment lakini kwenye hili limenitia ukwasi huwezi kuwa una msiba umeweka daftari nje watu kuchangia halafu wewe unaenda kutoa mchango wa harusi kabla ya kumaliza msiba. Inaweza kuwa nia ni nzuri lakini timing ni mbaya sana. Nimeamini mtu akikwambia sina pesa sio kwamba hana ila anayo yenye vipaumbele vingine.Kariakoo tuna changa kwa lipa namba
Anazingatia goli la MamaShule hazina madawati
Hospital hamna dawa
Chawa wa MamaHospital gani Haina dawa!?..hazina dawa au huna hela ya kununua dawa!?
Tena kwa siku mojaanajua watu wanalipa "TZS elfu hamsini 50,000/=", Wakilazwa muhimbili..?
Magu alikataa hii kauliNani anasema Tanzania ni nchi masikini?
Hata kama umesoma ila elimu haijakukomboaUngekuwa una plan nzuri hata kwenye fedha zako namna hiyo ungekuwa mbali zaidi ya hapo.
Punguzeni ushauri kila sector inahitaji hamasa haiwezakani kufanya unavyowaza wewe, sector ya michezo ni ajira hizo pesa hao watajenga zitarudi kwa watu,watafanya mahitaji zitarudi kwa watu.
Mbali na hapo hamasa hii ikisababisha tukapata professionals watakaoenda kucheza elite leagues huko watalipwa mapesa ambayo yataleta uwekezaji wao ambapo mamia yatapata ajira kupitia wachezaji hao, ulishawaza uwekezaji wa Mikel Obi pale Lagos?
Acheni ujuaji mwingi.
Mmmmh dada inaonekana unanifahamu hi sanaaa aseee......Ungekuwa una plan nzuri hata kwenye fedha zako namna hiyo ungekuwa mbali zaidi ya hapo.
unafaa kuwa chawa!Tena kwa siku moja
Bila shaka unaandika ukiwa kitandani MilembeWakuu,
Kama lilivyotolewa gari kule Arusha kwa sheikh 'akafanyie shughuli zake', sasa ni zimetoka kwa stars, sasa hivi kura zinanunuliwa kwa hela tu, hakuna purukushani za kukamatwa wakikimbia na mabox!
Pia soma: Siasa kuingia kwenye michezo na wanamichezo kutumika kisiasa hatujali kuibomoa sekta hii?
====
View attachment 3156603
Baada ya Tanzania kufuzu AFCON 2025 zitakazo chezwa Morocco, Rais Samia ametangaza kuwapatia zawadi ya Milioni 700 kama pongezi.
Mapema jana Rais Samia alitangaza mchezo wa leo utakuwa bure kwa kuwanunuliwa watazamaji wote viingilio.
Rais Samia pia alitoa ndege ya kupeleka timu ya Taifa CONGO DRC ambapo Taifa Stars ilicheza na Ethiopia na kushinda mchezo huo.
PIA SOMA
- Msigwa: Tutafanya kila kitu kinachohitajika kufuzu AFCON. Watanzania wasiikatie tamaa Taifa Stars
- News Alert: - Full Time Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
Wewe elimu iliyekukomboa unaendelaje hapo United Nations HQHata kama umesoma ila elimu haijakukomboa
Sawa sawa Bi mdogoMmmmh dada inaonekana unanifahamu hi sanaaa aseee......
By the way hamasa ni namna unavyoamua kuiweka na kuitafsiri bimkubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Aisee watu wanaoga mihelaa. Kama nawaona vile wachezaji watakavyo gegeda mbususu za warembo