Rais Samia aipa Taifa Stars Milioni 700 kufuzu AFCON

Rais Samia aipa Taifa Stars Milioni 700 kufuzu AFCON

Hiii ni shule iliyokamilika kila kitu kuanzia madarasa, maabara, Ofisi namabweni....

Badala ya kuwapa achague eneo ijengewe shule kali ya advance (girls au Boys tupu) ipewe jina la TaifaStars High School.
Ungekuwa una plan nzuri hata kwenye fedha zako namna hiyo ungekuwa mbali zaidi ya hapo.

Punguzeni ushauri kila sector inahitaji hamasa haiwezakani kufanya unavyowaza wewe, sector ya michezo ni ajira hizo pesa hao watajenga zitarudi kwa watu,watafanya mahitaji zitarudi kwa watu.

Mbali na hapo hamasa hii ikisababisha tukapata professionals watakaoenda kucheza elite leagues huko watalipwa mapesa ambayo yataleta uwekezaji wao ambapo mamia yatapata ajira kupitia wachezaji hao, ulishawaza uwekezaji wa Mikel Obi pale Lagos?

Acheni ujuaji mwingi.
 
Ndio maana mimi siku hizi sishangilii hiyo timu yenu ya Taifa...ikishinda anasifiwa MTU MMOJA tu..asubuhi, mchana na usiku...ni Mama mama mama
 
Kariakoo tuna changa kwa lipa namba
Mimi ni pro- Goverment lakini kwenye hili limenitia ukwasi huwezi kuwa una msiba umeweka daftari nje watu kuchangia halafu wewe unaenda kutoa mchango wa harusi kabla ya kumaliza msiba. Inaweza kuwa nia ni nzuri lakini timing ni mbaya sana. Nimeamini mtu akikwambia sina pesa sio kwamba hana ila anayo yenye vipaumbele vingine.
 
FB_IMG_17319202721546026.jpg
 
Ungekuwa una plan nzuri hata kwenye fedha zako namna hiyo ungekuwa mbali zaidi ya hapo.

Punguzeni ushauri kila sector inahitaji hamasa haiwezakani kufanya unavyowaza wewe, sector ya michezo ni ajira hizo pesa hao watajenga zitarudi kwa watu,watafanya mahitaji zitarudi kwa watu.

Mbali na hapo hamasa hii ikisababisha tukapata professionals watakaoenda kucheza elite leagues huko watalipwa mapesa ambayo yataleta uwekezaji wao ambapo mamia yatapata ajira kupitia wachezaji hao, ulishawaza uwekezaji wa Mikel Obi pale Lagos?

Acheni ujuaji mwingi.
Hata kama umesoma ila elimu haijakukomboa
 
Ungekuwa una plan nzuri hata kwenye fedha zako namna hiyo ungekuwa mbali zaidi ya hapo.
Mmmmh dada inaonekana unanifahamu hi sanaaa aseee......

By the way hamasa ni namna unavyoamua kuiweka na kuitafsiri bimkubwa.
 
Wakuu,

Kama lilivyotolewa gari kule Arusha kwa sheikh 'akafanyie shughuli zake', sasa ni zimetoka kwa stars, sasa hivi kura zinanunuliwa kwa hela tu, hakuna purukushani za kukamatwa wakikimbia na mabox!

Pia soma: Siasa kuingia kwenye michezo na wanamichezo kutumika kisiasa hatujali kuibomoa sekta hii?

====

View attachment 3156603


Baada ya Tanzania kufuzu AFCON 2025 zitakazo chezwa Morocco, Rais Samia ametangaza kuwapatia zawadi ya Milioni 700 kama pongezi.

Mapema jana Rais Samia alitangaza mchezo wa leo utakuwa bure kwa kuwanunuliwa watazamaji wote viingilio.

Rais Samia pia alitoa ndege ya kupeleka timu ya Taifa CONGO DRC ambapo Taifa Stars ilicheza na Ethiopia na kushinda mchezo huo.

PIA SOMA
- Msigwa: Tutafanya kila kitu kinachohitajika kufuzu AFCON. Watanzania wasiikatie tamaa Taifa Stars

- News Alert: - Full Time Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
Bila shaka unaandika ukiwa kitandani Milembe
 
Back
Top Bottom