Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Shushia maji ya kunywa Mtani maana hali si hali kabisa Ndugu yangu [emoji847]Huna akili
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shushia maji ya kunywa Mtani maana hali si hali kabisa Ndugu yangu [emoji847]Huna akili
SawaShushia maji ya kunywa Mtani maana hali si hali kabisa Ndugu yangu [emoji847]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Toa upumbavu wako hapa mpira usikutoe akili kiasi hikoHuyu mwehu watu wanaiba matrillion kwa mujibu wa CAG yeye anaangaika na mpira mjinga huyu
Tulia ww chawaToa upumbavu wako hapa mpira usikutoe akili kiasi hiko
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
'aibu' ya muda tu hii, timu nyingi zimewahi kupitia hili ikiwemo 'Utopolo'.Pole mkuu, ila ni aibu kubwa kwenu
Ni aibu kubwa sana kwenu, poleni mkuu'aibu' ya muda tu hii, timu nyingi zimewahi kupitia hili ikiwemo 'Utopolo'.
Ndiyo, ila acha upumbavuUpo kishabik tu hapa fala ww
Utaumia sana, Kwana Rais hana Hisia kwamba asipende Team?..Kwa matokeo ya Jana ya Simba kufungiwa goli Tano, Kuna jambo nyuma yake.
Baada ya mechi Rais Samia aliungana na wanaYanga wenzake kuwadhihaki WanaSimba.
Hii ni Jambo la Ajabu kwa kiongozi wa nchi kupongeza anguko la timu ya ndani ya nchi yake. Ingekua Yanga ameifunga timu ya nje ya Nchi basi kusingekua na Shaka Rais kupongeza.
Lakini kitendo Cha Samia kutumia nafasi yake kuisaidia Yanga, haikubaliki.
Simba lazima Kuna jambo walifanyiwa wachezaji nje ya uwanja. Simba haikuwa ile iliyocheza na Al Ahly. Simba wote walikua wamechoka sana, wachezaji walikosa nguvu. Ilikua wazi kabisa Kunahali isiyo ya kawaida kwa wachezaji.
Maamuzi ya refa nayo yanatia mashaka.
Ni wazi refa alikua na maagizo maalum ya kuhakikisha Rais Samia anafurahia matokeo.
Kadi zilitolewa kimkakati ilo kudhoofisha Simba. Na hata goli la pili limefungwa baada ya MCHEZAJI wa Simba kuangushwa.
Hili tulikiona mapema.
Rais Samia Ondok Iluku ukawe kiongozi Yanga.
Haupaswi kuonesha Ushabiki wako wakati ni kiongozi wa wote.
Msimu ulioisha ulitumia Mali za Serikali kuisaidia Yanga. Ulisafiri na Yanga na hata Kuna mashaka kuwa Kunapesa unazitoa kusaidia Usajili wa Yanga.
Hongera kwa kufanikisha Malengo yako.
Sasa kwakua unayo mamlaka, Nakushauri uifute Simba ili ubaki na timu yako Yanga
Mbona Kikwete hamkumsema??Kwa matokeo ya Jana ya Simba kufungiwa goli Tano, Kuna jambo nyuma yake.
Baada ya mechi Rais Samia aliungana na wanaYanga wenzake kuwadhihaki WanaSimba.
Hii ni Jambo la Ajabu kwa kiongozi wa nchi kupongeza anguko la timu ya ndani ya nchi yake. Ingekua Yanga ameifunga timu ya nje ya Nchi basi kusingekua na Shaka Rais kupongeza.
Lakini kitendo Cha Samia kutumia nafasi yake kuisaidia Yanga, haikubaliki.
Simba lazima Kuna jambo walifanyiwa wachezaji nje ya uwanja. Simba haikuwa ile iliyocheza na Al Ahly. Simba wote walikua wamechoka sana, wachezaji walikosa nguvu. Ilikua wazi kabisa Kunahali isiyo ya kawaida kwa wachezaji.
Maamuzi ya refa nayo yanatia mashaka.
Ni wazi refa alikua na maagizo maalum ya kuhakikisha Rais Samia anafurahia matokeo.
Kadi zilitolewa kimkakati ilo kudhoofisha Simba. Na hata goli la pili limefungwa baada ya MCHEZAJI wa Simba kuangushwa.
Hili tulikiona mapema.
Rais Samia Ondok Iluku ukawe kiongozi Yanga.
Haupaswi kuonesha Ushabiki wako wakati ni kiongozi wa wote.
Msimu ulioisha ulitumia Mali za Serikali kuisaidia Yanga. Ulisafiri na Yanga na hata Kuna mashaka kuwa Kunapesa unazitoa kusaidia Usajili wa Yanga.
Hongera kwa kufanikisha Malengo yako.
Sasa kwakua unayo mamlaka, Nakushauri uifute Simba ili ubaki na timu yako Yanga
Kazi iendelee 👇Baaada ya Derby ya Leo Mheshimiwa Rais wa Nchi Samia suluhu hassan ametoa pongezi zake kwa Team ya Yanga kwa ushindi Mkubwa.
Hii ni kupitia Account yake ya Mtandao wa (x)
View attachment 2805045
Alikua Mbowe siku ya Kule Rwanda Leo Samia.
Simba iliyocheza na Al Ahliy ipi?Kwa matokeo ya Jana ya Simba kufungiwa goli Tano, Kuna jambo nyuma yake.
Baada ya mechi Rais Samia aliungana na wanaYanga wenzake kuwadhihaki WanaSimba.
Hii ni Jambo la Ajabu kwa kiongozi wa nchi kupongeza anguko la timu ya ndani ya nchi yake. Ingekua Yanga ameifunga timu ya nje ya Nchi basi kusingekua na Shaka Rais kupongeza.
Lakini kitendo Cha Samia kutumia nafasi yake kuisaidia Yanga, haikubaliki.
Simba lazima Kuna jambo walifanyiwa wachezaji nje ya uwanja. Simba haikuwa ile iliyocheza na Al Ahly. Simba wote walikua wamechoka sana, wachezaji walikosa nguvu. Ilikua wazi kabisa Kunahali isiyo ya kawaida kwa wachezaji.
Maamuzi ya refa nayo yanatia mashaka.
Ni wazi refa alikua na maagizo maalum ya kuhakikisha Rais Samia anafurahia matokeo.
Kadi zilitolewa kimkakati ilo kudhoofisha Simba. Na hata goli la pili limefungwa baada ya MCHEZAJI wa Simba kuangushwa.
Hili tulikiona mapema.
Rais Samia Ondok Iluku ukawe kiongozi Yanga.
Haupaswi kuonesha Ushabiki wako wakati ni kiongozi wa wote.
Msimu ulioisha ulitumia Mali za Serikali kuisaidia Yanga. Ulisafiri na Yanga na hata Kuna mashaka kuwa Kunapesa unazitoa kusaidia Usajili wa Yanga.
Hongera kwa kufanikisha Malengo yako.
Sasa kwakua unayo mamlaka, Nakushauri uifute Simba ili ubaki na timu yako Yanga
Mimi nimeanza kuifuatilia Simba tokea tokea 1978 na nilikuwa active sana hadi 1994 baadae maisha yakanifanya kuwa bize na kuacha kufuatilia sana.Simba ameshinda mechi 6 kati 7, ubovu wake uko wapi?
Utasema Yanga anapiga Mkewe eti?Pole mkuu, ila ni aibu kubwa kwenu
Kufungwa ni sehemu ya mchezo hata Man city anapigwa nyingi tu.Mimi nimeanza kuifuatilia Simba tokea tokea 1978 na nilikuwa active sana hadi 1994 baadae maisha yakanifanya kuwa bize na kuacha kufuatilia sana.
Ila kipigo cha jana ni ubovu wa Mabeki wa SIMBA unaziacha move watu wanajiingilia kama kwao.