Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
YAANI MPAKA USEMEEE...!!! YAANI HAPO BADOO..!!!Huyu mwehu watu wanaiba matrillion kwa mujibu wa CAG yeye anaangaika na mpira mjinga huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YAANI MPAKA USEMEEE...!!! YAANI HAPO BADOO..!!!Huyu mwehu watu wanaiba matrillion kwa mujibu wa CAG yeye anaangaika na mpira mjinga huyu
TuliaYAANI MPAKA USEMEEE...!!! YAANI HAPO BADOO..!!!
Nikutishe na nini? Kama nani? Kuwa na hekima aisee! Hata ukiachilia mbali kuwa ni rais,basi mheshimu kama mzazi.Vitisho kutoka TISS au😂😂😂
Match ijayo Samia awape Yanga Ndege waende Tanga😂Kwa heshima na taadhima tumezipokea kwa roho safi Mama [emoji120]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Tuishi humu kwanzaWacha weee
Nyie mama hua mnamualika kuja kula ubwabwa wakat hawapendi😂Ndio tukome tuache kiherehere na mama abdul, tufanye mambo yetu
Akson au?Tulia
Nikikuita mpumbavu nahisi sitokosea. Ukome kumhusisha Rais na upuuzi wa timu yako. Wenzako walisajili wew ulikuwa unaleta maigizo.Kwa matokeo ya Jana ya Simba kufungiwa goli Tano, Kuna jambo nyuma yake.
Baada ya mechi Rais Samia aliungana na wanaYanga wenzake kuwadhihaki WanaSimba.
Hii ni Jambo la Ajabu kwa kiongozi wa nchi kupongeza anguko la timu ya ndani ya nchi yake. Ingekua
Yanga ameifunga timu ya nje ya Nchi basi kusingekua na Shaka Rais kupongeza.
Lakini kitendo Cha Samia kutumia nafasi yake kuisaidia Yanga, haikubaliki.
Simba lazima Kuna jambo walifanyiwa wachezaji nje ya uwanja. Simba haikuwa ile iliyocheza na Al Ahly. Simba wote walikua wamechoka sana, wachezaji walikosa nguvu. Ilikua wazi kabisa Kunahali isiyo ya kawaida kwa wachezaji. Maamuzi ya refa nayo yanatia mashaka.
Ni wazi refa alikua na maagizo maalum ya kuhakikisha Rais Samia anafurahia matokeo. Kadi zilitolewa kimkakati ilo kudhoofisha Simba. Na hata goli la pili limefungwa baada ya MCHEZAJI wa Simba kuangushwa.
Hili tulikiona mapema. Rais Samia Ondok Iluku ukawe kiongozi Yanga. Haupaswi kuonesha Ushabiki wako wakati ni kiongozi wa wote. Msimu ulioisha ulitumia Mali za Serikali kuisaidia Yanga. Ulisafiri na Yanga na hata Kuna mashaka kuwa Kunapesa unazitoa kusaidia Usajili wa Yanga.
Hongera kwa kufanikisha Malengo yako. Sasa kwakua unayo mamlaka, Nakushauri uifute Simba ili ubaki na timu yako Yanga
Tulia mrembomwehu mamako we kima, mbwa unamtukana rais wetu? Namlaumu babako kutotumia condom kuzaliwa kenge lisilo na adabu
Yani hatupendi ila tunajipendekeza mara picha, mara nn, tucheze football tuachane na propaganda uchwaraNyie mama hua mnamualika kuja kula ubwabwa wakat hawapendi[emoji23]
Una hoja usipuuzwe. Ila sijui ukweli wake.Kwa matokeo ya Jana ya Simba kufungiwa goli Tano, Kuna jambo nyuma yake.
Baada ya mechi Rais Samia aliungana na wanaYanga wenzake kuwadhihaki WanaSimba.
Hii ni Jambo la Ajabu kwa kiongozi wa nchi kupongeza anguko la timu ya ndani ya nchi yake. Ingekua
Yanga ameifunga timu ya nje ya Nchi basi kusingekua na Shaka Rais kupongeza.
Lakini kitendo Cha Samia kutumia nafasi yake kuisaidia Yanga, haikubaliki.
Simba lazima Kuna jambo walifanyiwa wachezaji nje ya uwanja. Simba haikuwa ile iliyocheza na Al Ahly. Simba wote walikua wamechoka sana, wachezaji walikosa nguvu. Ilikua wazi kabisa Kunahali isiyo ya kawaida kwa wachezaji. Maamuzi ya refa nayo yanatia mashaka.
Ni wazi refa alikua na maagizo maalum ya kuhakikisha Rais Samia anafurahia matokeo. Kadi zilitolewa kimkakati ilo kudhoofisha Simba. Na hata goli la pili limefungwa baada ya MCHEZAJI wa Simba kuangushwa.
Hili tulikiona mapema. Rais Samia Ondok Iluku ukawe kiongozi Yanga. Haupaswi kuonesha Ushabiki wako wakati ni kiongozi wa wote. Msimu ulioisha ulitumia Mali za Serikali kuisaidia Yanga. Ulisafiri na Yanga na hata Kuna mashaka kuwa Kunapesa unazitoa kusaidia Usajili wa Yanga.
Hongera kwa kufanikisha Malengo yako. Sasa kwakua unayo mamlaka, Nakushauri uifute Simba ili ubaki na timu yako Yanga
Ya nini uhangaike na wavuta bangi!? Tatizo la mda tu. Humu wahusika wamo. Hekima atafunzwa tu,na adabu atashikishwamwehu mamako we kima, mbwa unamtukana rais wetu? Namlaumu babako kutotumia condom kuzaliwa kenge lisilo na adabu
vipi ile penati yanga aliyonyimwa na refa,nayo yalikuwa ni maagizo. Ingawa mama Samia alichofanya kuipongeza Yanga sijapenda., Aachane na ushabiki wa hizi timu ataishia kulaumiwa tuKwa matokeo ya Jana ya Simba kufungiwa goli Tano, Kuna jambo nyuma yake.
Baada ya mechi Rais Samia aliungana na wanaYanga wenzake kuwadhihaki WanaSimba.
Hii ni Jambo la Ajabu kwa kiongozi wa nchi kupongeza anguko la timu ya ndani ya nchi yake. Ingekua
Yanga ameifunga timu ya nje ya Nchi basi kusingekua na Shaka Rais kupongeza.
Lakini kitendo Cha Samia kutumia nafasi yake kuisaidia Yanga, haikubaliki.
Simba lazima Kuna jambo walifanyiwa wachezaji nje ya uwanja. Simba haikuwa ile iliyocheza na Al Ahly. Simba wote walikua wamechoka sana, wachezaji walikosa nguvu. Ilikua wazi kabisa Kunahali isiyo ya kawaida kwa wachezaji. Maamuzi ya refa nayo yanatia mashaka.
Ni wazi refa alikua na maagizo maalum ya kuhakikisha Rais Samia anafurahia matokeo. Kadi zilitolewa kimkakati ilo kudhoofisha Simba. Na hata goli la pili limefungwa baada ya MCHEZAJI wa Simba kuangushwa.
Hili tulikiona mapema. Rais Samia Ondok Iluku ukawe kiongozi Yanga. Haupaswi kuonesha Ushabiki wako wakati ni kiongozi wa wote. Msimu ulioisha ulitumia Mali za Serikali kuisaidia Yanga. Ulisafiri na Yanga na hata Kuna mashaka kuwa Kunapesa unazitoa kusaidia Usajili wa Yanga.
Hongera kwa kufanikisha Malengo yako. Sasa kwakua unayo mamlaka, Nakushauri uifute Simba ili ubaki na timu yako Yanga
Mshike huyo [emoji2772] hatoki mtu,Mbona Simba iliposhinda 2-1 hakupongeza. Ajiweke Tu wazi kama Kikwete kuwa yeye ni Uto.
Unampangia sasaMbona Simba iliposhinda 2-1 hakupongeza. Ajiweke Tu wazi kama Kikwete kuwa yeye ni Uto.