Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ALisha jua kwenye Yanga na Simba ndiko kumejaa wajinga wa nchi hii na kuwalubuni ni dakika 0 tuRais wa JMT Dr Samia Suluhu Hassan ametuma Salamu za Pongezi kwa timu ya Yanga baada ya kuifunga Simba SC 5-1
Rais Samia amesema Mpira ni burudani na vilabu vya Simba na Yanga vinatuburudisha
Mlale Unono [emoji3]
Mshaanza nongwa.Mbona Simba iliposhinda 2-1 hakupongeza. Ajiweke Tu wazi kama Kikwete kuwa yeye ni Uto.
Hakuna cha unazi yuko kwenye Mision, anajua anacho fanyaHuyu mama ni mnazi mwenzetu kabisa wa Jangwani huyu
Mashalaaaaah....
Makasiriko mpirani 😂😂🔥Moderator Toa huu ujinga kwenye hili jukwaa..
Huko Yanga na Simba ndiko kwenye asilimia 87 ya wajinga na Mazezeta wa nchi hiiHuyu mwehu watu wanaiba matrillion kwa mujibu wa CAG yeye anaangaika na mpira mjinga huyu
Swala la bandar lipo pale paleRais wa JMT Dr Samia Suluhu Hassan ametuma Salamu za Pongezi kwa timu ya Yanga baada ya kuifunga Simba SC 5-1
Rais Samia amesema Mpira ni burudani na vilabu vya Simba na Yanga vinatuburudisha
Mlale Unono 😀
Kabsa huyu mama ni mjanja amekamata akili za mazezeta kama johnthebaptistHuko Yanga na Simba ndiko kwenye asilimia 87 ya wajinga na Mazezeta wa nchi hii
Huko kwenye mpira ndiko wanakopatikana wapumbavu wa taifa hili,Huyu mwehu watu wanaiba matrillion kwa mujibu wa CAG yeye anaangaika na mpira mjinga huyu
Hii timu imejaza wachezaji wengi wazee wasio na uwezo wa kupambana ndani ya dakika zote 90 za mchezo, hasa pale wanapokutana na timu zenye wachezaji wengi vijana na wanyumbulifu kama Azam,Yanga, nk.Simba ni mbovu tuache ubishi
Mkuu kabsa huyu mama anajua hili ndo maana amepashikilia vilivyoHuko kwenye mpira ndiko wanakopatikana wapumbavu wa taifa hili,
Leo ndio mnajua!Simba ni mbovu tuache ubishi
Mbona ghafla?! 😂😂😂😂😂-🐼Mkuu kabsa huyu mama anajua hili ndo maana amepashikilia vilivyo
Huna akili.Mbona ghafla?! 😂😂😂😂😂-🐼
😂😂😂😂😂 - 🐼Huna akili.
Ila acha ujinga, unamtukana Rais wa nchi!!! Wewe ni mjinga tuHuyu mwehu watu wanaiba matrillion kwa mujibu wa CAG yeye anaangaika na mpira mjinga huyu
Pole mkuu, ila ni aibu kubwa kwenuMwambieni Maza afurahi for now iko siku tutawapiga Saba.
Hii Presha hii leo bila tablets sijui kama nitalala.
Kijana mdogo rais wa nchi ni nan?Atueleze majizi kwenye report ya CAG yapo wap?Ila acha ujinga, unamtukana Rais wa nchi!!! Wewe ni mjinga tu
Hahahaha uko sahihi kwa mara ya kwanza, simba ni wajinga sana. Unaruhusu mabao 5 kudadeki!Salamu zake tunazipokea yanga kwa shukrani zote
Ila simba wakicheza na yanga wasilete wacheza netiboli kwenye mpira wa miguu wanadhalilisha mpira wa miguu awape onyo simba .Simba kufungwa magoli matano huo mchezo wa netiboli wa wanawake sio wanaume
Simba wakiona kuwa kuna mechi na yanga walete kikosi cha wacheza mpira wa miguu sio netiboli