Acha upumbavu mkuuKabsa huyu mama ni mjanja amekamata akili za mazezeta kama johnthebaptist
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upumbavu mkuuKabsa huyu mama ni mjanja amekamata akili za mazezeta kama johnthebaptist
AahaàaaMakolo FC punguza Makasiriko 😂🔥
Mkuu wewe una stress ila hujui. Pole mkuuKijana mdogo rais wa nchi ni nan?Atueleze majizi kwenye report ya CAG yapo wap?
Upo kishabik tu hapa fala wwAcha upumbavu mkuu
Soma ulichoandika halaf rudi shuleKm ww unavyowashwa na pilipili ya Shamba
Maza ni SImba atakuwa ameumia snRais wa JMT Dr Samia Suluhu Hassan ametuma Salamu za Pongezi kwa timu ya Yanga baada ya kuifunga Simba SC 5-1
Rais Samia amesema Mpira ni burudani na vilabu vya Simba na Yanga vinatuburudisha
Source: X
Mlale Unono 😀
Rais, pamoja na kuwa nafasi yake ya u Rais, timu zote ni zake. Lakini ameshindwa kuficha mahaba yake kwa timu pendwa yake!Hahahaha uko sahihi kwa mara ya kwanza, simba ni wajinga sana. Unaruhusu mabao 5 kudadeki!
Simba ameshinda mechi 6 kati 7, ubovu wake uko wapi?Ngome ya Simba ni ya hovyo,watu wanapenya hivyo?
Simba ni Heche wa Hapo Ufipa stMaza ni SImba atakuwa ameumia sn
Mbona Samia ni Simba damu damuRais, pamoja na kuwa nafasi yake ya u Rais, timu zote ni zake. Lakini ameshindwa kuficha mahaba yake kwa timu pendwa yake!
Sasa, tusubiri Simba itolewe makundi, na Yanga waendelee. Hizo ndege za ATC zitakuwa ni mali ya Yanga, kwa kuwapeleka kucheza huko nje!
Haya bhanaSimba ni Heche wa Hapo Ufipa st
Kuna mechi hazinunuliki 😂Simba ameshinda mechi 6 kati 7, ubovu wake uko wapi?
Yanga akishinda Simba anasema ni bahasha sasa jana ikawaje?Kuna mechi hazinunuliki 😂
Kwa heshima na taadhima tumezipokea kwa roho safi Mama [emoji120]Baaada ya Derby ya Leo Mheshimiwa Rais wa Nchi Samia suluhu hassan ametoa pongezi zake kwa Team ya Yanga kwa ushindi Mkubwa.
Hii ni kupitia Account yake ya Mtandao wa (x)
View attachment 2805045
Alikua Mbowe siku ya Kule Rwanda Leo Samia.
Jana Uchawi na Fedha ziliwekwa pembeni ukachezwa MpiraYanga akishinda Simba anasema ni bahasha sasa jana ikawaje?
Sema wachezaji wa Simba wengi hawajitumi ukweli ni wavivu sn, Simba mechi nyingi anashinda kwa bahati snJana Uchawi na Fedha ziliwekwa pembeni ukachezwa Mpira
Rais Samia: Mpira Burudani
Siyo bahati ananunua!Sema wachezaji wa Simba wengi hawajitumi ukweli ni wavivu sn, Simba mechi nyingi anashinda kwa bahati sn
Mwehu ni nani hapo? Aiseee,punguza bangi. Umejikwaa sana,tena sana. Unapaswa ufikilie zaidi ya mara mbili kabla hujaandika pumba unazoziandika. Vinginevyo,ipo siku utajuta.Huyu mwehu watu wanaiba matrillion kwa mujibu wa CAG yeye anaangaika na mpira mjinga huyu
Wacha weeeSema wachezaji wa Simba wengi hawajitumi ukweli ni wavivu sn, Simba mechi nyingi anashinda kwa bahati sn
Vitisho kutoka TISS au😂😂😂Mwehu ni nani hapo? Aiseee,punguza bangi. Umejikwaa sana,tena sana. Unapaswa ufikilie zaidi ya mara mbili kabla hujaandika pumba unazoziandika. Vinginevyo,ipo siku utajuta.