Rais Samia aipongeza Yanga kwa ushindi mkubwa

Rais Samia aipongeza Yanga kwa ushindi mkubwa

Hahahaha uko sahihi kwa mara ya kwanza, simba ni wajinga sana. Unaruhusu mabao 5 kudadeki!
Rais, pamoja na kuwa nafasi yake ya u Rais, timu zote ni zake. Lakini ameshindwa kuficha mahaba yake kwa timu pendwa yake!
Sasa, tusubiri Simba itolewe makundi, na Yanga waendelee. Hizo ndege za ATC zitakuwa ni mali ya Yanga, kwa kuwapeleka kucheza huko nje!
 
Rais, pamoja na kuwa nafasi yake ya u Rais, timu zote ni zake. Lakini ameshindwa kuficha mahaba yake kwa timu pendwa yake!
Sasa, tusubiri Simba itolewe makundi, na Yanga waendelee. Hizo ndege za ATC zitakuwa ni mali ya Yanga, kwa kuwapeleka kucheza huko nje!
Mbona Samia ni Simba damu damu
 
Mwehu ni nani hapo? Aiseee,punguza bangi. Umejikwaa sana,tena sana. Unapaswa ufikilie zaidi ya mara mbili kabla hujaandika pumba unazoziandika. Vinginevyo,ipo siku utajuta.
Vitisho kutoka TISS au😂😂😂
 
Back
Top Bottom