Rais Samia aitumie Simba Day kutuambia kwanini alisaini Mkataba mbovu wa Bandari

Rais Samia aitumie Simba Day kutuambia kwanini alisaini Mkataba mbovu wa Bandari

Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Rais Samia kajificha siku nyingi sana pamoja na sakata hili la bandari. Simba day itaonekana mubashara Tanzania na dunia nzima na mamilioni ya watu watakuwa wanafutilia tukio hilo.

Kabla ya Utambulisho wa wachezaji Rais atumie siku hiyo kutuambia nini kimemsukuma hadi kusaini mkataba mbovu namna ile wa kimangungo labda tutamwelewa.

Pia soma: Rais Samia mgeni rasmi Simba Day, Agosti 6, 2023
Anatafuta kuungwa mkono kupitia Kwenye football hooliganism, Kwa hili la Bandari haitasaidia.
Cheap politics Kwa wanasiasa wenye kubabaisha
 
Anatafuta kuungwa mkono kupitia Kwenye football hooliganism, Kwa hili la Bandari haitasaidia.
Cheap politics Kwa wanasiasa wenye kubabaisha
Sure. Ila uzuri siku hizi watu wako hatua moja mbele huwadanganyi.
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Rais Samia kajificha siku nyingi sana pamoja na sakata hili la bandari. Simba day itaonekana mubashara Tanzania na dunia nzima na mamilioni ya watu watakuwa wanafutilia tukio hilo.

Kabla ya Utambulisho wa wachezaji Rais atumie siku hiyo kutuambia nini kimemsukuma hadi kusaini mkataba mbovu namna ile wa kimangungo labda tutamwelewa.

Pia soma: Rais Samia mgeni rasmi Simba Day, Agosti 6, 2023
Samia ni mnafki na kibri kimemjaa!
 
Anatafuta kuungwa mkono kupitia Kwenye football hooliganism, Kwa hili la Bandari haitasaidia.
Cheap politics Kwa wanasiasa wenye kubabaisha
Mkuu hilo mbona limeisha
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Rais Samia kajificha siku nyingi sana pamoja na sakata hili la bandari. Simba day itaonekana mubashara Tanzania na dunia nzima na mamilioni ya watu watakuwa wanafutilia tukio hilo.

Kabla ya Utambulisho wa wachezaji Rais atumie siku hiyo kutuambia nini kimemsukuma hadi kusaini mkataba mbovu namna ile wa kimangungo labda tutamwelewa.

Pia soma: Rais Samia mgeni rasmi Simba Day, Agosti 6, 2023
Yaani Kwenye Simba Day Mtuletee Utopolo Wenu. Tuache na Mama yetu tujivinjari Simba Day na hayo mambo mngeyafanya kwenye Yanga Day. Cc tayari tumeisha elewa lengo la Serikali ni kuwaletea Maendeleo Wananchi na Kufurahia good tym.

NB : Serikali ilitoa Maelekezo Wenye Ushauri Wapeleke kwenye kamati lakini Kwasababu Kuna Watu wanamuelewa yule raia wa Uturuki kuliko Watanzania ndiyo maana hauelewi hata kinachoendelea
 
Bosi hakuna lingine unawaza zaidi ya mkataba wa bandari?

Huo mkataba usipokuwepo ww kama ww na family yako unaadhirika na nini au ukiwepo unaadhirika na nini?

Tuambie faida ambazo ulikuwa unapata wakati hakuna huu mkataba

Na ambazo utazikosa huu mkataba ukiwepo
Ungesom kwanza mkataba vipengere vyenye utata husingeandika uharo huu
 
Yaani Kwenye Simba Day Mtuletee Utopolo Wenu. Tuache na Mama yetu tujivinjari Simba Day na hayo mambo mngeyafanya kwenye Yanga Day. Cc tayari tumeisha elewa lengo la Serikali ni kuwaletea Maendeleo Wananchi na Kufurahia good tym.
NB : Serikali ilitoa Maelekezo Wenye Ushauri Wapeleke kwenye kamati lakini Kwasababu Kuna Watu wanamuelewa yule raia wa Uturuki kuliko Watanzania ndiyo maana hauelewi hata kinachoendelea
Anaye unga mkono mkataba huu wakitapeli kuna mawili anamaslahi binafsi au ni mwendawazimu
 
Ungesom kwanza mkataba vipengere vyenye utata husingeandika uharo huu

Ww umesoma au umeadisiwa? Unafata mkumbo Tu

Lete hapa hivyo vipengele ambavyo ww kwa akili zako sio za kuambiwa no zako mwenyewe unaona vina utata
 
Hee nawe na GT kweri
Samia ameshindwa kutupa majibu ya kwanini walisaini ule mkataba wa hovyo wa bandari, sasa kwa kuthibitisha hilo, ameamua kutumia "cheap popularity" ili kutafuta "political sympathy" toka kwa watanganyika.

Huyu analazimisha kushangiliwa kwa sababu ya nafasi yake, na uwepo wake kwenye eneo husika, kisha wajinga wanataka wajidanganye yule msaliti ana support ya watanganyika.

Atambue, kuongoza nchi sio kutumia matamasha kutafuta sympathy, bali kuongoza nchi ni kutulia ofisini kutatua kero za wale unaowaongoza, sio kukimbia maswali yao, kisha unaibukia Simba Day!.

- Watanganyika hatuhitaji usanii kwenye mambo ya msingi, kama ofisi imemshinda ampishe mwingine.

Kwa jambo nyeti kama lile la bandari, kutuambia ametuzibia masikio, kisha anakuwa na muda wa kuhudhuria matamasha kama hayo, inaonesha dhahiri vile tulivyo na kiongozi empty, asiyejielewa, wala hajui anapoelekea wala kutupeleka kama taifa, hasara tupu.
Ww umesoma au umeadisiwa? Unafata mkumbo Tu

Lete hapa hivyo vipengele ambavyo ww kwa akili zako sio za kuambiwa no zako mwenyewe unaona vina utata
Kama mpka Leo hujui ubovu wa mkataba jijue kuwa wew ni ZUZU jinga. Katibu mkuu wa ccm kwa kinafiki anasema serikali ipokee maoni ya wananchi hayo maoni ni yanini kama mkataba upo sawia?
Waswahili wana msemo wao kuwa asie jua maana haambiwi maana.
Kwa kuwa wew ni zuzu hata ukiambiwa maana haita kusaidia baki na ujinga wako.
 
Back
Top Bottom