Rais Samia aitumie Simba Day kutuambia kwanini alisaini Mkataba mbovu wa Bandari

Rais Samia aitumie Simba Day kutuambia kwanini alisaini Mkataba mbovu wa Bandari

Kama mpka Leo hujui ubovu wa mkataba jijue kuwa wew ni ZUZU jinga. Katibu mkuu wa ccm kwa kinafiki anasema serikali ipokee maoni ya wananchi hayo maoni ni yanini kama mkataba upo sawia?
Waswahili wana msemo wao kuwa asie jua maana haambiwi maana.
Kwa kuwa wew ni zuzu hata ukiambiwa maana haita kusaidia baki na ujinga wako.

I think na wewe hujui hata huo mkataba unafananaje

Tuambie wewe unavyoelewa hayo mambo ambayo unaona yanamapungufu

Very possible na wewe unafata mkumbo Tu hakuna unachojua

Screenshot and highlight hizo sehemu ambazo wewe unaona zinamapungufu makubwa


Sio unaleta makelele na ujuaji tu
 
I think na wewe hujui hata huo mkataba unafananaje

Tuambie wewe unavyoelewa hayo mambo ambayo unaona yanamapungufu

Very possible na wewe unafata mkumbo Tu hakuna unachojua

Screenshot and highlight hizo sehemu ambazo wewe unaona zinamapungufu makubwa


Sio unaleta makelele na ujuaji tu
Asiye jua maana haambiwi maana wahenga walisha sema nenda kamsikilize std 7 mwenzio Msukuma mtaelewana siwezi toa elimu yangu niliyo ipta kwa gharama kubwa kwa zuzu kama wewe.
 
Asiye jua maana haambiwi maana wahenga walisha sema nenda kamsikilize std 7 mwenzio Msukuma mtaelewana siwezi toa elimu yangu niliyo ipta kwa gharama kubwa kwa zuzu kama wewe.

Huna lolote hakuna kitu unakijua

Unadandia Tu hoja bila kujua undani wake

Unaleta mambo ya wahenga 2023, ? Kweli Wewe ni Jinga kabisa
 
Samia ameshindwa kutupa majibu ya kwanini walisaini ule mkataba wa hovyo wa bandari, sasa kwa kuthibitisha hilo, ameamua kutumia "cheap popularity" ili kutafuta "political sympathy" toka kwa watanganyika.

Huyu analazimisha kushangiliwa kwa sababu ya nafasi yake, na uwepo wake kwenye eneo husika, kisha wajinga wanataka wajidanganye yule msaliti ana support ya watanganyika.

Atambue, kuongoza nchi sio kutumia matamasha kutafuta sympathy, bali kuongoza nchi ni kutulia ofisini kutatua kero za wale unaowaongoza, sio kukimbia maswali yao, kisha unaibukia Simba Day!.

- Watanganyika hatuhitaji usanii kwenye mambo ya msingi, kama ofisi imemshinda ampishe mwingine.

Kwa jambo nyeti kama lile la bandari, kutuambia ametuzibia masikio, kisha anakuwa na muda wa kuhudhuria matamasha kama hayo, inaonesha dhahiri vile tulivyo na kiongozi empty, asiyejielewa, wala hajui anapoelekea wala kutupeleka kama taifa, hasara tupu.
Atoe ,Majibu sio KAZI yake ,KAZI ya wanasheria

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Hivi ni kipengere kipi kibovu kwenye mkataba? yaani kinasemaje?
Kugusa bandari za Tanganyika pekee na zile za Zanzibar haziguswi kwny huu mkataba,viongoz na wewe mwenyewe hamuoni kuwa huo Ni ubov Tisha wa mkataba??
 
Bosi hakuna lingine unawaza zaidi ya mkataba wa bandari?

Huo mkataba usipokuwepo ww kama ww na family yako unaadhirika na nini au ukiwepo unaadhirika na nini?

Tuambie faida ambazo ulikuwa unapata wakati hakuna huu mkataba

Na ambazo utazikosa huu mkataba ukiwepo
Wameshikiwa akili

Wakilala wakiamka bandari bandari bandari!
Wamekuwa majinga flani hv
 
Samia ameshindwa kutupa majibu ya kwanini walisaini ule mkataba wa hovyo wa bandari, sasa kwa kuthibitisha hilo, ameamua kutumia "cheap popularity" ili kutafuta "political sympathy" toka kwa watanganyika.

Huyu analazimisha kushangiliwa kwa sababu ya nafasi yake, na uwepo wake kwenye eneo husika, kisha wajinga wanataka wajidanganye yule msaliti ana support ya watanganyika.

Atambue, kuongoza nchi sio kutumia matamasha kutafuta sympathy, bali kuongoza nchi ni kutulia ofisini kutatua kero za wale unaowaongoza, sio kukimbia maswali yao, kisha unaibukia Simba Day!.

- Watanganyika hatuhitaji usanii kwenye mambo ya msingi, kama ofisi imemshinda ampishe mwingine.

Kwa jambo nyeti kama lile la bandari, kutuambia ametuzibia masikio, kisha anakuwa na muda wa kuhudhuria matamasha kama hayo, inaonesha dhahiri vile tulivyo na kiongozi empty, asiyejielewa, wala hajui anapoelekea wala kutupeleka kama taifa, hasara tupu.
Pole yako weee
Unawaza bandari tu masikini mpk nakuona unavyozeeka vibaya.
Kalagabaho, peoples are busy na Simba Day, hayo ya bandari baki nayo huku huku mitandaoni usiwaharibie watu Simba Day yao
 
Samia ameshindwa kutupa majibu ya kwanini walisaini ule mkataba wa hovyo wa bandari, sasa kwa kuthibitisha hilo, ameamua kutumia "cheap popularity" ili kutafuta "political sympathy" toka kwa watanganyika.

Huyu analazimisha kushangiliwa kwa sababu ya nafasi yake, na uwepo wake kwenye eneo husika, kisha wajinga wanataka wajidanganye yule msaliti ana support ya watanganyika.

Atambue, kuongoza nchi sio kutumia matamasha kutafuta sympathy, bali kuongoza nchi ni kutulia ofisini kutatua kero za wale unaowaongoza, sio kukimbia maswali yao, kisha unaibukia Simba Day!.

- Watanganyika hatuhitaji usanii kwenye mambo ya msingi, kama ofisi imemshinda ampishe mwingine.

Kwa jambo nyeti kama lile la bandari, kutuambia ametuzibia masikio, kisha anakuwa na muda wa kuhudhuria matamasha kama hayo, inaonesha dhahiri vile tulivyo na kiongozi empty, asiyejielewa, wala hajui anapoelekea wala kutupeleka kama taifa, hasara tupu.
Unataka hutaki Mama ndo keshaamua na huna la kumfanya.
Ikikuuma sana jinyonge au hama nchi lkn hakuna wa kusikiliza gubu lako
 
Huna lolote hakuna kitu unakijua

Unadandia Tu hoja bila kujua undani wake

Unaleta mambo ya wahenga 2023, ? Kweli Wewe ni Jinga kabisa
Mwenzio Mwenye akili kama zako Wasira aliwaambia Watu wa Chato wamzomee Tundu Lissu cha ajabu Watu wamepuuza na wakamsikiliza Tundu Lissu mwanzo mwisho na kumpigia makofi kwa kuwapa darasa adhimu na la kizalendo.
Halafu unataka mimi nipoteze muda kukuelimisha zuzu kama Wasira wewe.
 
Asiye jua maana haambiwi maana wahenga walisha sema nenda kamsikilize std 7 mwenzio Msukuma mtaelewana siwezi toa elimu yangu niliyo ipta kwa gharama kubwa kwa zuzu kama wewe.
Huna lolote.
Unafata mkumbo tu.
Si uweke hivyo vipengele
 
Huna lolote hakuna kitu unakijua

Unadandia Tu hoja bila kujua undani wake

Unaleta mambo ya wahenga 2023, ? Kweli Wewe ni Jinga kabisa
Kakimbia kwa manenonya kizamaaani, eti asiyejua maana
 
Mwenzio Mwenye akili kama zako Wasira aliwaambia Watu wa Chato wamzomee Tundu Lissu cha ajabu Watu wamepuuza na wakamsikiliza Tundu Lissu mwanzo mwisho na kumpigia makofi kwa kuwapa darasa adhimu na la kizalendo.
Halafu unataka mimi nipoteze muda kukuelimisha zuzu kama Wasira wewe.
Usikimbie swali.
We si ndo umejifanya eti wajua vipengele vibovu, si uweke tu kelele za nini sasa
 
Huna lolote.
Unafata mkumbo tu.
Si uweke hivyo vipengele
Kama umeshindwa kuelewa kwa wana CCM wenzio wenye upeo kama profesa Tibaijuka, Profesa Shivaji, Jaji Sinde Warioba wewe huwezi kuelemika kawasikilize vilaza wenzio akina msukuma na Kibajaji.
 
Back
Top Bottom