hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Kama mpka Leo hujui ubovu wa mkataba jijue kuwa wew ni ZUZU jinga. Katibu mkuu wa ccm kwa kinafiki anasema serikali ipokee maoni ya wananchi hayo maoni ni yanini kama mkataba upo sawia?
Waswahili wana msemo wao kuwa asie jua maana haambiwi maana.
Kwa kuwa wew ni zuzu hata ukiambiwa maana haita kusaidia baki na ujinga wako.
I think na wewe hujui hata huo mkataba unafananaje
Tuambie wewe unavyoelewa hayo mambo ambayo unaona yanamapungufu
Very possible na wewe unafata mkumbo Tu hakuna unachojua
Screenshot and highlight hizo sehemu ambazo wewe unaona zinamapungufu makubwa
Sio unaleta makelele na ujuaji tu