Hawezi kukitaja anabwabwaja tuHivi ni kipengere kipi kibovu kwenye mkataba? yaani kinasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kukitaja anabwabwaja tuHivi ni kipengere kipi kibovu kwenye mkataba? yaani kinasemaje?
Hata mjinga akikaa kimya huonekana ana busara lakini wewe zuzu kweli kweli.Hawezi kukitaja anabwabwaja tu
Kufatafata mkumbo sio jambo zuri.Kama umeshindwa kuelewa kwa wana CCM wenzio wenye upeo kama profesa Tibaijuka, Profesa Shivaji, Jaji Sinde Warioba wewe huwezi kuelemika kawasikilize vilaza wenzio akina msukuma na Kibajaji.
Vipengele wanasomewa wenye akili sio zuzu kama wewe ni kupoteza muda kama Magufuli alivyo sema ninyi ni vichaa sasa kichaa ana ufahamu gani hata umsomee kitu cha maana.Kufatafata mkumbo sio jambo zuri.
Ona sass unavyojizungushazungusha..
Si useme hivyo vipengele!?
Huna ujualo wewe.
Sio lazima ipoe kwa wote kwani ye pesa apendwe na kila mtu?Sijui nyie. Sisi wengine mioyo yetu imepooowwwa
kipengeLe sio kipengeReHivi ni kipengere kipi kibovu kwenye mkataba? yaani kinasemaje?
Mbn mapovu mengi wazee ,,chakujua ni Mda wa huo mkatab na vipengele vinavyodaiwa vibovu vinasemaje Kwan km kusainiwa umesha sainiwa na kujifunza tumesha jifunzSio mkataba mbovu,
Ni mkataba wa kitapeli[emoji26]
Mm naongeza winoo apaaHivi ni kipengere kipi kibovu kwenye mkataba? Yaani kinasemaje?
[emoji23]Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Rais Samia kajificha siku nyingi sana pamoja na sakata hili la bandari. Simba day itaonekana mubashara Tanzania na dunia nzima na mamilioni ya watu watakuwa wanafutilia tukio hilo.
Kabla ya Utambulisho wa wachezaji Rais atumie siku hiyo kutuambia nini kimemsukuma hadi kusaini mkataba mbovu namna ile wa kimangungo labda tutamwelewa.
Pia soma: Rais Samia mgeni rasmi Simba Day, Agosti 6, 2023