Anatafuta kuungwa mkono kupitia Kwenye football hooliganism, Kwa hili la Bandari haitasaidia.Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Rais Samia kajificha siku nyingi sana pamoja na sakata hili la bandari. Simba day itaonekana mubashara Tanzania na dunia nzima na mamilioni ya watu watakuwa wanafutilia tukio hilo.
Kabla ya Utambulisho wa wachezaji Rais atumie siku hiyo kutuambia nini kimemsukuma hadi kusaini mkataba mbovu namna ile wa kimangungo labda tutamwelewa.
Pia soma: Rais Samia mgeni rasmi Simba Day, Agosti 6, 2023
Kawaulize Samia, wasira , kitenge, kitila, chongolo na takataka zingine watakupa jibu sahihiHivi ni kipengere kipi kibovu kwenye mkataba? yaani kinasemaje?
Sure. Ila uzuri siku hizi watu wako hatua moja mbele huwadanganyi.Anatafuta kuungwa mkono kupitia Kwenye football hooliganism, Kwa hili la Bandari haitasaidia.
Cheap politics Kwa wanasiasa wenye kubabaisha
Waiting.......
Muulize huyu hapa ana majibuHivi ni kipengere kipi kibovu kwenye mkataba? yaani kinasemaje?
kweri=kweli. Unarara bure na unakura bure; namkumbuka afande Chacha JKT.🤣Hee nawe na GT kweri
Akikujibu nishtueHivi ni kipengere kipi kibovu kwenye mkataba? yaani kinasemaje?
Kwa hiyo wewe hujui kipengele chenye shida unasubiri kulishwa maneno na watu? Jinga kabisaMuulize huyu hapa ana majibu
View attachment 2708355
Samia ni mnafki na kibri kimemjaa!Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Rais Samia kajificha siku nyingi sana pamoja na sakata hili la bandari. Simba day itaonekana mubashara Tanzania na dunia nzima na mamilioni ya watu watakuwa wanafutilia tukio hilo.
Kabla ya Utambulisho wa wachezaji Rais atumie siku hiyo kutuambia nini kimemsukuma hadi kusaini mkataba mbovu namna ile wa kimangungo labda tutamwelewa.
Pia soma: Rais Samia mgeni rasmi Simba Day, Agosti 6, 2023
Mbona utopolo walijikomba Ikulu na hukulalamika😂Simba kwa hili ni kujikomba
Mkataba wa kukodisha ufipa ndio sio wa kitapeli?😁Sio mkataba mbovu,
Ni mkataba wa kitapeli[emoji26]
Mkuu hilo mbona limeishaAnatafuta kuungwa mkono kupitia Kwenye football hooliganism, Kwa hili la Bandari haitasaidia.
Cheap politics Kwa wanasiasa wenye kubabaisha
Bandari ni jambo la kitaifa sijui hicho unachoongea je kinamaslahi kwa watanzania woteMkataba wa kukodisha ufipa ndio sio wa kitapeli?😁
Yaani Kwenye Simba Day Mtuletee Utopolo Wenu. Tuache na Mama yetu tujivinjari Simba Day na hayo mambo mngeyafanya kwenye Yanga Day. Cc tayari tumeisha elewa lengo la Serikali ni kuwaletea Maendeleo Wananchi na Kufurahia good tym.Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Rais Samia kajificha siku nyingi sana pamoja na sakata hili la bandari. Simba day itaonekana mubashara Tanzania na dunia nzima na mamilioni ya watu watakuwa wanafutilia tukio hilo.
Kabla ya Utambulisho wa wachezaji Rais atumie siku hiyo kutuambia nini kimemsukuma hadi kusaini mkataba mbovu namna ile wa kimangungo labda tutamwelewa.
Pia soma: Rais Samia mgeni rasmi Simba Day, Agosti 6, 2023
Ungesom kwanza mkataba vipengere vyenye utata husingeandika uharo huuBosi hakuna lingine unawaza zaidi ya mkataba wa bandari?
Huo mkataba usipokuwepo ww kama ww na family yako unaadhirika na nini au ukiwepo unaadhirika na nini?
Tuambie faida ambazo ulikuwa unapata wakati hakuna huu mkataba
Na ambazo utazikosa huu mkataba ukiwepo
Anaye unga mkono mkataba huu wakitapeli kuna mawili anamaslahi binafsi au ni mwendawazimuYaani Kwenye Simba Day Mtuletee Utopolo Wenu. Tuache na Mama yetu tujivinjari Simba Day na hayo mambo mngeyafanya kwenye Yanga Day. Cc tayari tumeisha elewa lengo la Serikali ni kuwaletea Maendeleo Wananchi na Kufurahia good tym.
NB : Serikali ilitoa Maelekezo Wenye Ushauri Wapeleke kwenye kamati lakini Kwasababu Kuna Watu wanamuelewa yule raia wa Uturuki kuliko Watanzania ndiyo maana hauelewi hata kinachoendelea
Bandari itakodishwa kwa maslahi mapana ya nchi na huna lolote la kufanya.Bandari ni jambo la kitaifa sijui hicho unachoongea je kinamaslahi kwa watanzania wote
Ungesom kwanza mkataba vipengere vyenye utata husingeandika uharo huu
Hee nawe na GT kweri
Samia ameshindwa kutupa majibu ya kwanini walisaini ule mkataba wa hovyo wa bandari, sasa kwa kuthibitisha hilo, ameamua kutumia "cheap popularity" ili kutafuta "political sympathy" toka kwa watanganyika.
Huyu analazimisha kushangiliwa kwa sababu ya nafasi yake, na uwepo wake kwenye eneo husika, kisha wajinga wanataka wajidanganye yule msaliti ana support ya watanganyika.
Atambue, kuongoza nchi sio kutumia matamasha kutafuta sympathy, bali kuongoza nchi ni kutulia ofisini kutatua kero za wale unaowaongoza, sio kukimbia maswali yao, kisha unaibukia Simba Day!.
- Watanganyika hatuhitaji usanii kwenye mambo ya msingi, kama ofisi imemshinda ampishe mwingine.
Kwa jambo nyeti kama lile la bandari, kutuambia ametuzibia masikio, kisha anakuwa na muda wa kuhudhuria matamasha kama hayo, inaonesha dhahiri vile tulivyo na kiongozi empty, asiyejielewa, wala hajui anapoelekea wala kutupeleka kama taifa, hasara tupu.
Kama mpka Leo hujui ubovu wa mkataba jijue kuwa wew ni ZUZU jinga. Katibu mkuu wa ccm kwa kinafiki anasema serikali ipokee maoni ya wananchi hayo maoni ni yanini kama mkataba upo sawia?Ww umesoma au umeadisiwa? Unafata mkumbo Tu
Lete hapa hivyo vipengele ambavyo ww kwa akili zako sio za kuambiwa no zako mwenyewe unaona vina utata