chamilo nicolous
JF-Expert Member
- Mar 10, 2016
- 2,097
- 1,457
Kwa Sasa kila nchi katika Bara la Afrika inatamani Rais Samia angekuwa Rais wao Ila kwa bahati Nzuri mama Samia alizaliwa Tanzania Ni hivyo kuwa zawadi kwetu watanzaniaNchi hii mnaivuluga!!
Yaani Samia ni wakuiongoza hii nchi?? Unakuja na hoja za walamba asali kina Makamba + kikwete
Mmesharuhisiwa kufanya mikutano ya hadhara kwa Sasa ,Ndio mjuwa namna mama alivyo na moyo wa upendo kwa watanzania,Ndio sababu watanzania wanamtaja mama Samia Kuendelea kuwatumikia mpaka 2030Umataga-mataga mwishoni utataga.
Samahani kwa usumbufu chief, Umesahau kuweka picha yako.
Waliofungia mikutano ni CCMMmesharuhisiwa kufanya mikutano ya hadhara kwa Sasa ,Ndio mjuwa namna mama alivyo na moyo wa upendo kwa watanzania,Ndio sababu watanzania wanamtaja mama Samia Kuendelea kuwatumikia mpaka 2030
Na mtaishia kuwa vituko tu majukwaani maana hamna Cha kuwaeleza watanzania mkaeleweka kwa kuwa kazi zote mama ameshafanyaWaliofungia mikutano ni CCM
Walioruhusu mikutano ni CCM
Mwizi akirudisha mali aliyoiba hapongezwi bali anawajibishwa.
Umetumwa nini?? Kwa kukopa kopa na kuomba imba na kutishia watu wasihoji kuhusu Serikali kuendeshwa na mikopo???Kwa Sasa kila nchi katika Bara la Afrika inatamani Rais Samia angekuwa Rais wao Ila kwa bahati Nzuri mama Samia alizaliwa Tanzania Ni hivyo kuwa zawadi kwetu watanzania
Wasaka uteuzi mmeanza kuingia ubaridi mapema hadi unakua mpiga ramliNa mtaishia kuwa vituko tu majukwaani maana hamna Cha kuwaeleza watanzania mkaeleweka kwa kuwa kazi zote mama ameshafanya
Nyota njema HUONEKANA ASUBUHINi mapema mno !
Mbona umekuja mbio mbio kwa hasira na jazba,Tulia na Tuliza akili yako ndio uanze kuandikaNa mama yako atakuwa mama wa mtaa ama? Wakati mwingine bora kuwa mjinga kuliko mpumbavu
Nyota njema HUONEKANA ASUBUHI
Hayo yote yatafanyika kwa kadri Hali utakavyokuwa inakwenda,mazungumzo yenye Afya yatakuwa yanafanyika Kama alivyosema mh Rais wetuHilo litategemea na kazi na tija atakayoleta kwenye Taifa hili.
Ngoja tuone.
Tuone swala la Katiba kuandikwa, Tume huru ya uchunguzi, kukamilika kwa miradi ya umeme , Rail , barabara, maji n.k.
Ndugu zangu watanzania,
Nashindwa nianze na lipi juu ya kumuongelea Rais huyu shupavu, Hodari, Mahiri, mnyenyekevu,mwenye moyo wa upendo,huruma na ukarimu, Msikivu na mwenye Subira, madhubuti na Imara, mwenye msimamo na asiye yumba, mwenye Dira na muelekeo sahihi, mwenye Sera na ajenda za kugusa maisha ya watanzania, Aliyejitoa na kujitolea kuwatumikia watanzania wote, Mwenye upendo wa dhati na watanzania na Taifa lake na anayetumia muda wake mwingi kuzungumza na kuwatumikia watanzania.
Ni kiongozi wa aina yake na mfano wa kuigwa Barani Afrika, Ni Hazina kwa Taifa letu, Ni msingi wa amani na umoja wa Taifa letu, Ni nguzo ya umoja wa kitaifa na mshikamano wetu,Ni mwamba usio tikisika na ngome iliyo imara,Ni Rais kweli kweli aliye jaliwa kalama ya uongozi na Mwenyezi MUNGU,Ni kiongozi mwenye hofu ya Mwenyezi MUNGU ,mwenye kuhubiri na kutenda haki kwa matendo.
Ni kiongozi anayetazamwa na watu wa vyama vyote,Dini zote,makabila yote,jinsia zote,Rangi zote,Rika zote na Kanda zote Kama kiongozi wao na mlezi wao,Kila mmoja anampenda na kumheshimu Rais Samia,kila mmoja anamuunga mkono na kusimama Naye katika nyakati zote, Rais Samia Ni kiongozi aliyeteka mioyo ya watanzania wote, Nikiongozi aliye na uungwaji mkono kutoka katika makundi yote.
Hii inatokana na ukweli kuwa Rais Samia amekuwa akiwasikiliza na kumsikiliza kila mtu,Sauti zote za watanzania na mtu mmoja mmoja Zina nafasi katika masikio ya Rais Samia na macho yake, kila mtu Anayo nafasi katika ujenzi wa Taifa letu na kila mmoja anajiona Anayo nafasi katika ustawi wa Taifa letu kwa kuwa Rais Samia ametoa nafasi hiyo kwa kila mmoja wetu mwenye uzalendo na Taifa letu kutoa mchango wake katika ujenzi wa Taifa letu.
Hatua ya Leo ya kuruhusu mikutano ya vyama vya siasa inatokana na dhamira yake njema katika ujenzi wa Taifa letu na kutambua mchango wa kila mmoja wetu kuijenga nchi yetu pamoja na kutaka kuona Taifa letu likiwa moja na kusonga mbele kwa pamoja bila kujari itikadi zetu za kisiasa, Rais Samia anahitaji kuona mafanikio tunayoyapata kiuchumi yanakuwa yetu sote na sote tujione kuwa sehemu ya mafanikio hayo na kuwa na mchango wetu katika kuyafikia.
Hataki kumuucha mtu nyuma Wala kumpuuza mtu au watu Wala kuzima sauti za watu fulani,anataka kusikia sauti za watu wote na maoni yao ili watu wawe na amani katika mioyo Yao, Hataki watu wajaze hasira na chuki katika mioyo Yao, Hataki watu wavimbe vifua vyao kwa vinyongo Bali anataka wazungunze kwa heshima, staha, uungwana, busara, upendo,uzalendo wa yale yaliyo ndani Yao na wanayofikiri kuwa yanaweza kuwa na mchango katika kulisukuma mbele gurudumu la maendeleo ya Taifa letu.
Ndio maana nasema kwa namna Rais Samia anavyokubalika na watu wote wa makabila yote,wa vyama vyote,Dini zote,Rika zote ,jinsia zote, makabila yote, hakika Anastahili kuitwa mama Wa Taifa letu. Anastahili na sioni Cha kuwa kikwazo ambacho unaweza kusema hiki kinamnyima fursa hiyo. Anastahili kwa kuwa ameonyesha uzalendo alio nao ndani ya moyo wake ambao muda wote amaelitaguliza mbele Taifa letu.
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Wewe ni chawa mlamba viatu kama siyo hiyo namba ya simu unaweka ya nini kama siyo kutafuta uteuzi?Mimi Ni mkulima na kilimo ndio kinachonifanya niishi kwa kujipatia chakula
Nitajie nchi ambazo hakuna Kodi na hawatozi Kodi na wamepiga hatua za kimaendeleoUmekula umevimbewa huna lolote, kwani sasa hivi aitwi mama? Umepewa nini hicho kinacho kufanya usahau maisha magumu raia wanayoyapitia? Ukasahau kodi za ajabu ajabu? Nyinyi mkishashiba ni kubwaga humu shibe zenu?ππππππππππ
Ndugu zangu watanzania,
Nashindwa nianze na lipi juu ya kumuongelea Rais huyu shupavu, Hodari, Mahiri, mnyenyekevu,mwenye moyo wa upendo,huruma na ukarimu, Msikivu na mwenye Subira, madhubuti na Imara, mwenye msimamo na asiye yumba, mwenye Dira na muelekeo sahihi, mwenye Sera na ajenda za kugusa maisha ya watanzania, Aliyejitoa na kujitolea kuwatumikia watanzania wote, Mwenye upendo wa dhati na watanzania na Taifa lake na anayetumia muda wake mwingi kuzungumza na kuwatumikia watanzania.
Ni kiongozi wa aina yake na mfano wa kuigwa Barani Afrika, Ni Hazina kwa Taifa letu, Ni msingi wa amani na umoja wa Taifa letu, Ni nguzo ya umoja wa kitaifa na mshikamano wetu,Ni mwamba usio tikisika na ngome iliyo imara,Ni Rais kweli kweli aliye jaliwa kalama ya uongozi na Mwenyezi MUNGU,Ni kiongozi mwenye hofu ya Mwenyezi MUNGU ,mwenye kuhubiri na kutenda haki kwa matendo.
Ni kiongozi anayetazamwa na watu wa vyama vyote,Dini zote,makabila yote,jinsia zote,Rangi zote,Rika zote na Kanda zote Kama kiongozi wao na mlezi wao,Kila mmoja anampenda na kumheshimu Rais Samia,kila mmoja anamuunga mkono na kusimama Naye katika nyakati zote, Rais Samia Ni kiongozi aliyeteka mioyo ya watanzania wote, Nikiongozi aliye na uungwaji mkono kutoka katika makundi yote.
Hii inatokana na ukweli kuwa Rais Samia amekuwa akiwasikiliza na kumsikiliza kila mtu,Sauti zote za watanzania na mtu mmoja mmoja Zina nafasi katika masikio ya Rais Samia na macho yake, kila mtu Anayo nafasi katika ujenzi wa Taifa letu na kila mmoja anajiona Anayo nafasi katika ustawi wa Taifa letu kwa kuwa Rais Samia ametoa nafasi hiyo kwa kila mmoja wetu mwenye uzalendo na Taifa letu kutoa mchango wake katika ujenzi wa Taifa letu.
Hatua ya Leo ya kuruhusu mikutano ya vyama vya siasa inatokana na dhamira yake njema katika ujenzi wa Taifa letu na kutambua mchango wa kila mmoja wetu kuijenga nchi yetu pamoja na kutaka kuona Taifa letu likiwa moja na kusonga mbele kwa pamoja bila kujari itikadi zetu za kisiasa, Rais Samia anahitaji kuona mafanikio tunayoyapata kiuchumi yanakuwa yetu sote na sote tujione kuwa sehemu ya mafanikio hayo na kuwa na mchango wetu katika kuyafikia.
Hataki kumuucha mtu nyuma Wala kumpuuza mtu au watu Wala kuzima sauti za watu fulani,anataka kusikia sauti za watu wote na maoni yao ili watu wawe na amani katika mioyo Yao, Hataki watu wajaze hasira na chuki katika mioyo Yao, Hataki watu wavimbe vifua vyao kwa vinyongo Bali anataka wazungunze kwa heshima, staha, uungwana, busara, upendo,uzalendo wa yale yaliyo ndani Yao na wanayofikiri kuwa yanaweza kuwa na mchango katika kulisukuma mbele gurudumu la maendeleo ya Taifa letu.
Ndio maana nasema kwa namna Rais Samia anavyokubalika na watu wote wa makabila yote,wa vyama vyote,Dini zote,Rika zote ,jinsia zote, makabila yote, hakika Anastahili kuitwa mama Wa Taifa letu. Anastahili na sioni Cha kuwa kikwazo ambacho unaweza kusema hiki kinamnyima fursa hiyo. Anastahili kwa kuwa ameonyesha uzalendo alio nao ndani ya moyo wake ambao muda wote amaelitaguliza mbele Taifa letu.
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627