Rais Samia aitwe na kutambuliwa kama Mama wa Taifa

Rais Samia aitwe na kutambuliwa kama Mama wa Taifa

Mnamjaza misifa mpaka anaona aibu huyo mama yenu.
 
Mnamjaza misifa mpaka anaona aibu huyo mama yenu.
Kwa Kazi kubwa aliyoifanya mh Rais Anastahili pongezi,Ndio maana kwa Sasa Kuna nchi zinatamani angekuwa Rais wao ili wafaidike na upeo wake mkubwa na maono yake
 
Mama yetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani Hana Deni kwetu wakulima tunalomdai mpaka muda huu maana kazi aliyotufanyia ninkubwa ambayo imeachwa Alama ya furaha katika mioyo yetu,Utolewaji wa Ruzuku ya Billion Mia moja hamsini katika mbolea ilipelekea Bei ya mbolea sokoni kushuka Bei,mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu,Hatua hiyo ilileta shangwe Nderemo na Vifijo kwetu wakulima na kumshukuru Sana Rais wetu kwa kutujali wakulima.

Ukija suala la Bei ya mazao yetu nalo lilikuwa Ni zuri Sana msimu uliopita Tena tangia wakati wa mavuno mkulima alipata Bei ya mazao yake kwa Bei nzuri na hivyo kumfanya kufaidika na jasho lake,Tofauti na miaka mingine ambapo walio kimvulini ndio walifaidika na jasho la mkulima na kumuacha mkulima akiwa mbavu tupu kwa kukondeshwa na jembe analolibeba mabegani muda wote huku akinyeshewa na mvua nakupigwa jua
Umeelewa nilichongea siongelei ruzuku sawa yaweza kuwa imetolewa whatever hiyo ni kwa upande wa serikali

Wakulima wenyewe wanasemaje kwa hatua hizo usiletee porojo za Serikali ilichofanya za bajeti nataka comment za wakulima wenyewe kwa hatua hizo za serikali je kwao wanazionaje sio za comment zako za kisiasa za kujikomba kama zako za kutafuta fursa za kisiasa na kuweka namba ya simu

Tuje eneo lako kama wewe mkulima tuhoji wakulima eneo ulipo kama hatua za Serikali wako happy nazo?

Uko wapi tuje kuhoji wakulima? Taja eneo uliko

Raisi ujue hana mpango wa kupokea pongezi za kijinga zisizo na udhibitisho grassroots

Uraisi ni taasisi .Tuambie uko wapi.watu waje wahoji wakulima wa huko uliko kuwa wanaonaje hatua zinazochukukiwa na serikali?
taja eneo uliko
 
Hadi afanye beyond our expectations.

Actually that is what we call success
 
Chawa Lucas Mwashambwa
JamiiForums3817054.jpg
 
Back
Top Bottom