Rais Samia aitwe na kutambuliwa kama Mama wa Taifa

Mnamjaza misifa mpaka anaona aibu huyo mama yenu.
 
Mnamjaza misifa mpaka anaona aibu huyo mama yenu.
Kwa Kazi kubwa aliyoifanya mh Rais Anastahili pongezi,Ndio maana kwa Sasa Kuna nchi zinatamani angekuwa Rais wao ili wafaidike na upeo wake mkubwa na maono yake
 
Umeelewa nilichongea siongelei ruzuku sawa yaweza kuwa imetolewa whatever hiyo ni kwa upande wa serikali

Wakulima wenyewe wanasemaje kwa hatua hizo usiletee porojo za Serikali ilichofanya za bajeti nataka comment za wakulima wenyewe kwa hatua hizo za serikali je kwao wanazionaje sio za comment zako za kisiasa za kujikomba kama zako za kutafuta fursa za kisiasa na kuweka namba ya simu

Tuje eneo lako kama wewe mkulima tuhoji wakulima eneo ulipo kama hatua za Serikali wako happy nazo?

Uko wapi tuje kuhoji wakulima? Taja eneo uliko

Raisi ujue hana mpango wa kupokea pongezi za kijinga zisizo na udhibitisho grassroots

Uraisi ni taasisi .Tuambie uko wapi.watu waje wahoji wakulima wa huko uliko kuwa wanaonaje hatua zinazochukukiwa na serikali?
taja eneo uliko
 
Hadi afanye beyond our expectations.

Actually that is what we call success
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…