Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
We huna akili, why kikao kisifanyikie Dodoma? we ni mjinga sn hata kikifanyikia chooni lazima utashangilia.Ndio Maana nasemaga kuwa hujitambui kabisa wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We huna akili, why kikao kisifanyikie Dodoma? we ni mjinga sn hata kikifanyikia chooni lazima utashangilia.Ndio Maana nasemaga kuwa hujitambui kabisa wewe.
Huyu siyo chawa ni shetani tupuAkiingia nayo ni story 😄 🤣 😂 😆 😄 Lucas Mwashambwa kwanini umekuwa chawa promax?
Ungeacha wenye akili Timamu na wanaojitambua wajadili hoja.We huna akili, why kikao kisifanyikie Dodoma? we ni mjinga sn hata kikifanyikia chooni lazima utashangilia.
Acha kushangilia ujinga, gharama za kuwapeleka mawaziri na wasaidizi wao ni zaidi ya 500M, hapo ni sawa na madawati mangapi?Uwe na adabu dogo
Umeleta hoja ya kijinga snUngeacha wenye akili Timamu na wanaojitambua wajadili hoja.
CCM ni kusanyiko la shetani kabisaKuna shida kubwa CCM kwasasa ni basi tu.
Tangia lini na wewe ukawa na akili ya kutambua hoja?Umeleta hoja ya kijinga sn
Tuambie gharama ambazo zimetumika kuwapeleka Zanzibar Mawaziri na wasaidizi wao, kwanini asingesubiri arudi wafanyie Dodoma?Tangia lini na wewe ukawa na akili ya kutambua hoja?
Unawaza madawati tu ndio akili yako ilipoishia .ndio maana huwa nasema wewe ni toto tu. ndio maana unafikiri wote ni watoto wenzio wakujadili masuala unayojadili na wanafunzi wenzakoAcha kushangilia ujinga, gharama za kuwapeleka mawaziri na wasaidizi wao ni zaidi ya 500M, hapo ni sawa na madawati mangapi?
Mtakie wewe na familia ako mimi usinihusishe simtakiMwaka kesho atakuwa na kampeni kuzunguka nchi nzima kuomba kura kwa watanzania wamchague kuwaongoza, tunamtakia afya njema na nguvu tele kuweza kufanya kampeni vema
Wewe huna akili, sisi wananchi tunachangishwa madawatiUnawaza madawati tu ndio akili yako ilipoishia .ndio maana huwa nasema wewe ni toto tu. ndio maana unafikiri wote ni watoto wenzio wakujadili masuala unayojadili na wanafunzi wenzako
Mjumbe wa luciferHuyu siyo chawa ni shetani tupu
Sina chuki nampenda na kumheshimu rais ila siwezi sifia kila analofanya tofauti na chawa weweMimi siyo chawa ndugu yangu mtanzania uliyejaa chuki binafsi
Sahihi kabisaMjumbe wa lucifer
Nani mwenye akili Timamu anayeweza kukushikisha wewe mambo ya muhimu wakati hujitambui?Wewe huna akili, sisi wananchi tunachangishwa madawati
Mimi sisifii bali naongea ukweliSina chuki nampenda na kumheshimu rais ila siwezi sifia kila analofanya tofauti na chawa wewe
Huyo ni shetani tupuSina chuki nampenda na kumheshimu rais ila siwezi sifia kila analofanya tofauti na chawa wewe