Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #61
Peleka ujinga wako huko.kwa hiyo Nchi inaongozwa na Wewe?Hivi Tz tuna Rais? Yaani tunaweza kusimama mbele za watu na kujitapa. 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Peleka ujinga wako huko.kwa hiyo Nchi inaongozwa na Wewe?Hivi Tz tuna Rais? Yaani tunaweza kusimama mbele za watu na kujitapa. 😀
Atakuwa raisi wa ngapi na awamu ya ngapi pleaseMwaka kesho atakuwa na kampeni kuzunguka nchi nzima kuomba kura kwa watanzania wamchague kuwaongoza, tunamtakia afya njema na nguvu tele kuweza kufanya kampeni vema
Majukumu ya Katibu binafsi ni yepiAnaitwa Waziri Rajabu ni Katibu binafsi wa Rais Samia
Funga mdomo watu wana njaa hawana ajira wewe unabwabwaja tu. Toka hapaKazi iliyopo na inayofanyika na kufanywa na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge ni kuwaletea maendeleo watanzania,ni kuwainua na kuwakwamua kiuchumi Watanzania,ni kuhakikisha rasilimali zetu zinatumika katika kuboresha maisha ya watanzania .Mama anafanya kazi ya kuhakikisha watanzania wanapata milo mitatu iliyo bora mezani pao.Mama yupo kazini kuleta matumaini na tabasamu katika nyuso na mioyo ya mamilioni ya watanzania.hiyo ndio kazi kubwa aliyonayo Mama yetu Mpendwa Tumaini la watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Endelea kulialia na kuchagua kazi huku ukibweteka tu kama jingaFunga mdomo watu wana njaa hawana ajira wewe unabwabwaja tu. Toka hapa
umesikia wapi?Mwaka kesho atakuwa na kampeni kuzunguka nchi nzima kuomba kura kwa watanzania wamchague kuwaongoza, tunamtakia afya njema na nguvu tele kuweza kufanya kampeni vema
Ninachowaza litokee kuhusu hili kusanyiko, ngoja nikatubu tuNdugu zangu Watanzania,
Ukimuangalia Rais Samia Unagundua ya kuwa Muda wote amejaa ari,nguvu na hamasa kubwa sana ya kufanya kazi. Unaona muda wote akiwa na morali na utayari wa kuwatumikia watanzania.unaona muda wote mawazo,akili,fikira na kiu yake ni kuwatumikia na kuwawazia watanzania.
Unaona Mungu akiendelea kumjalia afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania.yupo imara kila muda na mwenye nguvu Utafikiri kijana wa miaka 30.Huyu Mama na Rais ni Bahati sana kuwa naye na kuongozwa naye.yupo imara kiakili na kimwili.
Embu angalia Alivyoingia na kuelekea katika kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri ikulu ndogo ya Tunguu visiwani Zanzibar hii leo.Hatua zake na mwendo wake na hata muonekano wake ni wakuleta matumaini kwa watanzania.Ni wakuleta tabasamu katika maisha ya watanzania.unaona wazi kwa jicho la tatu kuwa Huyu ni kiongozi tuliyemhitaji watanzania kutuongozaView attachment 3135089
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kuna shida kubwa CCM kwasasa ni basi tu.
Ndiyo unegunduwa leo? Wewe itakuwa umetuzidi maana tafiti zimetoka siku nyingi sana.Watanganyika tuna matatizo ya kiakili
Kuchagua Uchawa kuwa ndiyo njia ya kukutoa kimaisha ndiyo akili? Uchawa ni kama uchangudoa tu. Mpuuzi sana wewe.Huna akili kabisa wewe
na matatizo makubwa, maana huwa hatujui nini hasa tunakihitaji kwanza !Watanganyika tuna matatizo ya kiakili
Shetani mkubwa sana weweNinachowaza litokee kuhusu hili kusanyiko, ngoja nikatubu tu
Mimi siyo chawaHivi lakini wewe Lucas, mkeo, watoto wako au mama yako anajua kwamba kuna mtu una-muabudu kama Mungu huku - kutwa kuchwa kusifia hata visivyosifika ? Wanajua kuwa ndugu yao akili zake zote kawekeza kwenye uchawa na kutukuza watu??
Acha kuleta masuala ya ukabila hapaTupate Rais Mchaga au Mhaya sasa ili vikao vya baraza la mawaziri viwe vinafanyika Machame ndani ndani huko, au Muleba pale..
😀😀😀😀😀😀😭Kazi iliyopo na inayofanyika na kufanywa na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge ni kuwaletea maendeleo watanzania,ni kuwainua na kuwakwamua kiuchumi Watanzania,ni kuhakikisha rasilimali zetu zinatumika katika kuboresha maisha ya watanzania .Mama anafanya kazi ya kuhakikisha watanzania wanapata milo mitatu iliyo bora mezani pao.Mama yupo kazini kuleta matumaini na tabasamu katika nyuso na mioyo ya mamilioni ya watanzania.hiyo ndio kazi kubwa aliyonayo Mama yetu Mpendwa Tumaini la watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.