LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
swali tata! Kwani we huoni muelekeo wa siasa za chama?umesikia wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
swali tata! Kwani we huoni muelekeo wa siasa za chama?umesikia wapi?
rais wa awamu ya sita, awamu ya kwanza, awamu ya pili ni 2030 mpaka 2035. labda aamue kuishia awamu mmoja tu. hii awamu inayoisha mwaka kesho haihesabiki kama ni awamu yakeAtakuwa raisi wa ngapi na awamu ya ngapi please
mwaka kesho ndiyo mama anatakiwa kuanza awamu yake ya kwanza hadi 2030, kisha amalize mihula miwili 2035. Hapa anamalizia awamu ya rais wa tano, awamu zake bado hazijaanzaAtakuwa raisi wa ngapi na awamu ya ngapi please
Tanganyika ndio kitu gani hicho.Kikao cha baraza la mawaziri la Tanganyika kinafanyika Zanzibar chini ya Mzanzibari! Watanganyika safari hii tumepatikana.
Hayo ni mawazo yako lakini kwa mujibu wa Katiba muda aliotumikia unahesabika kuwa ni awamu kamili labda wabadilishe Katiba au waamue kuvunja Katiba. Pascal Mayalla hebu mpe darasa kijana.mwaka kesho ndiyo mama anatakiwa kuanza awamu yake ya kwanza hadi 2030, kisha amalize mihula miwili 2035. Hapa anamalizia awamu ya rais wa tano, awamu zake bado hazijaanza
Kula chuma hichoTanganyika ndio kitu gani hicho.
Ngoja litimie kwanza ndiyo utubu mkuu. Kitu kama radi hivi itapendeza sana.Ninachowaza litokee kuhusu hili kusanyiko, ngoja nikatubu tu
nec ya chama chake ilimpitisha lini, alishindanishwa na kina nani ndani ya chama chake, alipigiwa kura na nani? Katiba haisemi kuwa huu ni muhula wake wa kwanza au wa pili. Muhula wake wa kwanza unatakiwa uanze mwaka kesho. Labda muhula wa pili aseme hatagombea kwa kuwa hii miaka minne aijazie huko mbeleni ionekane ni mihula miwili! Sasa mbona itakuwa haijakamilika miaka? Itakuwa ni miaka tisa badala ya kumi iliyokamilika mihula miwili.Hayo ni mawazo yako lakini kwa mujibu wa Katiba muda aliotumikia unahesabika kuwa ni awamu kamili labda wabadilishe Katiba au waamue kuvunja Katiba.
Katiba imefafanua vizuri juu ya jambo hili sasa kulibishia unajidhalilisha tu mkuu, bahati mbaya hapa nilipo sina Katiba ningeinukuu kama ilivyo kwani inajibu hizo hoja zako.Ni vizuri kubishana kwa jambo unalolielewa ili usijivue nguo hadharani.nec ya chama chake ilimpitisha lini, alishindanishwa na kina nani ndani ya chama chake, alipigiwa kura na nani? Katiba haisemi kuwa huu ni muhula wake wa kwanza au wa pili. Muhula wake wa kwanza unatakiwa uanze mwaka kesho. Labda muhula wa pili aseme hatagombea kwa kuwa hii miaka minne aijazie huko mbeleni ionekane ni mihula miwili! Sasa mbona itakuwa haijakamilika miaka? Itakuwa ni miaka tisa badala ya kumi iliyokamilika mihula miwili.
Hakuna siku umewahi kuwa na akili.Ngoja litimie kwanza ndiyo utubu mkuu. Kitu kama radi hivi itapendeza sana.
Hivi na wewe una akili kichwani ya kuweza kuielewa hata katiba?Katiba imefafanua vizuri juu ya jambo hili sasa kulibishia unajidhalilisha tu mkuu.
Lucas ukitaka kujilinganisha na mimi kwa siasa za nchi hii na za CCM ni kama kulinganisha mlima Kilimanjaro na kichuguu wewe ukiwa kichuguu. Usione nakujibu kihuni ni kwa vile nakuona una akiherere tu cha kutaka uteuzi ilhali wewe bado ni mchanga sana na zaidi ya yote wewe ni mshamba tu.Hivi na wewe una akili kichwani ya kuweza kuielewa hata katiba?
Wewe ni chawa tu akili yako kisoda inatosha kusifia tu ili utupiwe makombo na hao unaowasifia wanakuona kama kinyesi tu.Hakuna siku umewahi kuwa na akili.
Siku hizi machawa ndio waandishi wa Rais....kweli urahisi umekuwa rahisi sana...Ndugu zangu Watanzania,
Ukimuangalia Rais Samia Unagundua ya kuwa Muda wote amejaa ari,nguvu na hamasa kubwa sana ya kufanya kazi. Unaona muda wote akiwa na morali na utayari wa kuwatumikia watanzania.unaona muda wote mawazo,akili,fikira na kiu yake ni kuwatumikia na kuwawazia watanzania.
Unaona Mungu akiendelea kumjalia afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania.yupo imara kila muda na mwenye nguvu Utafikiri kijana wa miaka 30.Huyu Mama na Rais ni Bahati sana kuwa naye na kuongozwa naye.yupo imara kiakili na kimwili.
Embu angalia Alivyoingia na kuelekea katika kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri ikulu ndogo ya Tunguu visiwani Zanzibar hii leo.Hatua zake na mwendo wake na hata muonekano wake ni wakuleta matumaini kwa watanzania.Ni wakuleta tabasamu katika maisha ya watanzania.unaona wazi kwa jicho la tatu kuwa Huyu ni kiongozi tuliyemhitaji watanzania kutuongozaView attachment 3135089
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Eti chawa na mshamba Lucas Mwashambwa ndiye ripota wa shughuli za Rais, aibu kubwa hii.Siku hizi machawa ndio waandishi wa Rais....kweli urahisi umekuwa rahisi sana...
hebu eleza kwa kifupi tu, katiba inasemaje kama makamu wa rais atakuwa rais, lets say kama mama angechukua madaraka ikiwa imebaki muda wa miaka miwili kumalizika kwa muhula wa mtangulizi wake. Hiyo miaka miwili itajumuishwa kuwa ni awamu yake? Katiba ninayo ila sijafungua nisome ibara hiyo kuhusu makamu wa rais anapokuwa rais pindi rais aondokapo madarakani kama ilivyotokea. Tuelimishane, hii miaka minne ni awamu ya rais samia kwa mujibu wa katiba?Katiba imefafanua vizuri juu ya jambo hili sasa kulibishia unajidhalilisha tu mkuu, bahati mbaya hapa nilipo sina Katiba ningeinukuu kama ilivyo kwani inajibu hizo hoja zako.Ni vizuri kubishana kwa jambo unalolielewa ili usijivue nguo hadharani.