Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ila wewe kichaa Mungu akusameheNani mwenye akili Timamu anayeweza kukushikisha wewe mambo ya muhimu wakati hujitambui?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wewe kichaa Mungu akusameheNani mwenye akili Timamu anayeweza kukushikisha wewe mambo ya muhimu wakati hujitambui?
Bara imekuwa kama mkoa ndani ya Zanzibar, hatuna akili kabisa aseeHatma ya Watanganyika ipo mikononi mwa Wazanzibar 😔 Aisee noma sana!
Yaani wewe huo uso was samiah kwenye picha ndio description ya andiko lako hapa jamvini!!?Ndugu zangu Watanzania,
Ukimuangalia Rais Samia Unagundua ya kuwa Muda wote amejaa ari,nguvu na hamasa kubwa sana ya kufanya kazi. Unaona muda wote akiwa na morali na utayari wa kuwatumikia watanzania.unaona muda wote mawazo,akili,fikira na kiu yake ni kuwatumikia na kuwawazia watanzania.
Unaona Mungu akiendelea kumjalia afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania.yupo imara kila muda na mwenye nguvu Utafikiri kijana wa miaka 30.Huyu Mama na Rais ni Bahati sana kuwa naye na kuongozwa naye.yupo imara kiakili na kimwili.
Embu angalia Alivyoingia na kuelekea katika kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri ikulu ndogo ya Tunguu visiwani Zanzibar hii leo.Hatua zake na mwendo wake na hata muonekano wake ni wakuleta matumaini kwa watanzania.Ni wakuleta tabasamu katika maisha ya watanzania.unaona wazi kwa jicho la tatu kuwa Huyu ni kiongozi tuliyemhitaji watanzania kutuongozaView attachment 3135089
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hatuna sisi ni Mkoa ndani ya ZanzibarHivi Tz tuna Rais? Yaani tunaweza kusimama mbele za watu na kujitapa. 😀
Kama tu mwenye dhamana ya shughuli ya uchaguzi wa Rais ni Mkwe wa Rais unadhani halo kuna nini Mkuu!? 😔 😟 🙁Bara imekuwa kama mkoa ndani ya Zanzibar, hatuna akili kabisa asee
Tushituke aseeKama tu mwenye dhamana ya shughuli ya uchaguzi wa Rais ni Mkwe wa Rais unadhani halo kuna nini Mkuu!? 😔 😟 🙁
Mama mkwe ni mgombea Uraisi halafu Mkwe ndo anasimamia shughuli nzima! Uwiih 😃Tushituke asee
Huwezi ukaelewa kama huna jicho la tatu.Yaani wewe huo uso was samiah kwenye picha ndio description ya andiko lako hapa jamvini!!?
Mi namuona kama mtu anaesikilizia jambo fulani aidha la maumivu au hisia zisizo sawa kabisa!!
Ile clip akikohoa Iko wapi!!?waliiondoa faster!na tafsiri za kuiondoa sio nzuri Kwa sisi tunaompenda mwenyekiti!!
Rais Kivuli.Huyu jamaa wa kulia anaitwa nani?
Inasikitisha sana . JW wanatuangusha sana WatanganyikaMambo ya Tanganyika yanaenda kuamuliwa na kupangwa nchi ya znji...
Ikuku ndio NiniIlikuwa Ikuku ndogo Chato sasa ni Zenji - sawa.
Huna akili kabisa weweInasikitisha sana . JW wanatuangusha sana Watanganyika
Wewe ni msemàji wà samia au wa ikulu?Ndugu zangu Watanzania,
Ukimuangalia Rais Samia Unagundua ya kuwa Muda wote amejaa ari,nguvu na hamasa kubwa sana ya kufanya kazi. Unaona muda wote akiwa na morali na utayari wa kuwatumikia watanzania.unaona muda wote mawazo,akili,fikira na kiu yake ni kuwatumikia na kuwawazia watanzania.
Unaona Mungu akiendelea kumjalia afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania.yupo imara kila muda na mwenye nguvu Utafikiri kijana wa miaka 30.Huyu Mama na Rais ni Bahati sana kuwa naye na kuongozwa naye.yupo imara kiakili na kimwili.
Embu angalia Alivyoingia na kuelekea katika kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri ikulu ndogo ya Tunguu visiwani Zanzibar hii leo.Hatua zake na mwendo wake na hata muonekano wake ni wakuleta matumaini kwa watanzania.Ni wakuleta tabasamu katika maisha ya watanzania.unaona wazi kwa jicho la tatu kuwa Huyu ni kiongozi tuliyemhitaji watanzania kutuongozaView attachment 3135089
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kazi ipoNdugu zangu Watanzania,
Ukimuangalia Rais Samia Unagundua ya kuwa Muda wote amejaa ari,nguvu na hamasa kubwa sana ya kufanya kazi. Unaona muda wote akiwa na morali na utayari wa kuwatumikia watanzania.unaona muda wote mawazo,akili,fikira na kiu yake ni kuwatumikia na kuwawazia watanzania.
Unaona Mungu akiendelea kumjalia afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania.yupo imara kila muda na mwenye nguvu Utafikiri kijana wa miaka 30.Huyu Mama na Rais ni Bahati sana kuwa naye na kuongozwa naye.yupo imara kiakili na kimwili.
Embu angalia Alivyoingia na kuelekea katika kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri ikulu ndogo ya Tunguu visiwani Zanzibar hii leo.Hatua zake na mwendo wake na hata muonekano wake ni wakuleta matumaini kwa watanzania.Ni wakuleta tabasamu katika maisha ya watanzania.unaona wazi kwa jicho la tatu kuwa Huyu ni kiongozi tuliyemhitaji watanzania kutuongozaView attachment 3135089
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
MtanzaniaWewe ni msemàji wà samia au wa ikulu?
Kazi iliyopo na inayofanyika na kufanywa na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge ni kuwaletea maendeleo watanzania,ni kuwainua na kuwakwamua kiuchumi Watanzania,ni kuhakikisha rasilimali zetu zinatumika katika kuboresha maisha ya watanzania .Mama anafanya kazi ya kuhakikisha watanzania wanapata milo mitatu iliyo bora mezani pao.Mama yupo kazini kuleta matumaini na tabasamu katika nyuso na mioyo ya mamilioni ya watanzania.hiyo ndio kazi kubwa aliyonayo Mama yetu Mpendwa Tumaini la watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.Kazi ipo