Pre GE2025 Rais Samia akiitumia Busara na Hekima ya Kimbingu akaachana na ubinadamu, atakubaliana namm kua "Umakamo/Urais wake ulichaguliwa Kwa mpito tu!!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kina lipumbavu limoja limsukule la lumumba unapomuongelea his goddess samia kwa namna hiyo unalifedhehesha sana mpaka linalia huko lilipo.
 
Kila mwenye sikio na Asikiye haya Ambayo Bwana anena na Kanisa
 
Hivi unafikiri ni yeye? Hapana
Ni Mr Mo
Mr: Bakhresa
Mr. Rostam Aziz
Mr Kishimba
Mr. Jakaya Kikwete

Wale wote waliompiga vita JPM ndiyo kipenzi wa ushungi. Wala msiogope. Muda unafika.

Tunaingia na kuondoka
Sasa ushungi umeingiaje hapo? Ndio tuseme mnamchukia sababu ya ushungi wake?
Na kwa hili nitampigia kura wapuuzi nyie mnakera sana. Badala ya kuongelea mtu unaingiza masuala ya kiimani. Msimsimange sababu ya ushungi wake
 
Hahaaha kwa formula hii hata kubali
 
Kwa sasa sijui kama atakuelewa,kaonja utamu halafu umwambie aache siyo kweli kabisa.
 
Walio tuletea hili furushi la mchanga ni kiboko, yaani sijui waliwaza nini hawa watu.
Nguvu iliyo mwek hapo ikiamua akae hadi 20250 itakuwa. Na nguvu hiyo hiyo inaweza kumwamrisha kwa namna ya ajabu akaishia mwaka huu na kumwachia mgombea mwenza awe NDIYE. amini hiki ninacho kuambia
 
Tuchote busara kutoka kwa Mwl. J.K. Nyerere
 

Attachments

  • 5777675-245a16d1a646e1c5265c1678e4e73a60.mp4
    1.4 MB
Nguvu iliyo mwek hapo ikiamua akae hadi 20250 itakuwa. Na nguvu hiyo hiyo inaweza kumwamrisha kwa namna ya ajabu akaishia mwaka huu na kumwachia mgombea mwenza awe NDIYE. amini hiki ninacho kuambia
Kama alivyosema huyu.
 

Attachments

  • 5811771-84b12f6d5ff81d807821a183416ac2ed.mp4
    648.4 KB
Mama yupo mpaka 2035,akitoka nchi tunampa Abdul,upo hapo!?? Cha msingi muwe na pain killer za kutosha kupooza maumivu,maana Abdul ndio Rais ajaye 2035. au Ridhiwan
Mnampa Abdul mkiwa na nani?....Acha kuwaza kwa njia ya matako!
 
Mnampa Abdul mkiwa na nani?....Acha kuwaza kwa njia ya matako!
Acha matusi wewe mwanamke, Abdul ni Mtanzania lazima tumpe Nchi 2035 baada ya Samia, jiandaeni kunywa mipanado kwa wingi kupooza maumivu
 
Bahati mbaya tulionayo watanzania ni kukosa uwezo wa kubadili kilichopo hata kama haturidhiki nacho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…