Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #121
amewahi kugomea ushauri wako?Siwezi kushauri mtu asiyeshaurika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
amewahi kugomea ushauri wako?Siwezi kushauri mtu asiyeshaurika.
vp umejisalili Ajira portal na Taesa?Atuangalie na sisi wasomi tusio na ajira kama akishindwa kutuajiri basi atukabidhi ardhi tijikite kwenye kilimo watupe mitaji pia atuweke miundo mbinu wezeshi pamoja na kutuandalia soko la nje. Tulime mazao ya biashara
Huko kote nipo. Nasubiria ajira za ACCOUNTING AND TAXATIONvp umejisalili Ajira portal na Taesa?
hukuomba BBT ?
Huo ushauri mwingine aliopewa kashaufanyia kazi Hadi ubaki huo atakaopewa kwa dakika 5?dont underestimate ureself chief
ushauri mzuri sana chiefMimi nitamshauri yafuatayo kiongozi
1.Uwepo wa NISHATI ya UMEME wa uhakika, hili ataweza kwa kupunguza kasi ya ujenzi wa SGR hasa toka Tabora kwenda huko kwingine,hela yake apeleke Stigler hydropower
2.Atupatie KATIBA MPYA ILIYO BORA na TUME HURU ya Uchaguzi
3.Aingilie utendaji wa huu mradi wa mabasi yaendayo haraka,DART, kwani Mawaziri wake wameshindwa kabisa...Na namna bora ni kuhusisha SEKTA BINAFSI..Dar ndio Tanzania Mama yetu mpendwa!
Nitamshauri kuwa viongozi wako wengi wanatembea Bara la ulaya na wanaona usafiri wa umma ni matreni ya mijini ambayo akinunua ma 4 tu yanatosha kuhudumia mkoa wa Dsm lakini haya mabasi ambayo yana nunuliwa kila mwezi yana kufa hawaoni kuwa ni hasara na nikiro kwa wana nchi.Awamu ya sita ya mama Samia tumeona mengi yakifanyika ikiwemo utekelezaji wa miradi ya umwangiliaji ya kilimo, BBT, Ruzuku ya mbolea, Afya, Ajira, Veta, kupandishwa madaraja kwa watumishi nk
Lakini pia zipo changamoto kadha wa kadha ambazo watanzania wanatamani wamfikishie Rais wao, nao wajione ni sehemu ya watanzania wanaofaidi matunda ya nchi hii!
Rais amekupa dakika tano tu umpongeze na umshauri kipi kiboreshwe ama kiongezeke kwenye utawala wake ili kila mtu ajivunie kuwa mtanzania, utazungumza nini?
KATIBA MPYA
Nitamsifia kwa hatua alizoanza kuchukua kwa mchakato wa katiba mpya, hata kama kiduchu.very good, utamsifia kwa yapi lkn?
Alianza kwa kutuonesha kumbe hakua na magufuli kitu kimoja. Jaribio lake kufungua milango kwa ubeberu limepingwa kwa nguvu sana hadi inaonekana kwa yeye kuanza kurudi kwenye njia ya kizalendo. Binafsi ningemshauri kwamba njia sahihi ni kufuata njia ya kizalendo. Kulenga kutegemea nguvu ya ndani na kujenga usawa kwa raia.Awamu ya sita ya mama Samia tumeona mengi yakifanyika ikiwemo utekelezaji wa miradi ya umwangiliaji ya kilimo, BBT, Ruzuku ya mbolea, Afya, Ajira, Veta, kupandishwa madaraja kwa watumishi nk
Lakini pia zipo changamoto kadha wa kadha ambazo watanzania wanatamani wamfikishie Rais wao, nao wajione ni sehemu ya watanzania wanaofaidi matunda ya nchi hii!
Rais amekupa dakika tano tu umpongeze na umshauri kipi kiboreshwe ama kiongezeke kwenye utawala wake ili kila mtu ajivunie kuwa mtanzania, utazungumza nini?
very good chief, 4R ninini nami nizijue ?
thechanzo.com