Rais Samia akikupa mualiko Ikulu wa dakika 5 utamshauri nini kama kijana wa kitanzania?

Rais Samia akikupa mualiko Ikulu wa dakika 5 utamshauri nini kama kijana wa kitanzania?

1-FUNGUA NCHI KIBIASHARA (WEKA FREE PORT) CHUKUA ONLY 5% NDIO KODI YAKO.
KWA BIDHAA ZINAZOINGINZWA NCHINI.
A-UTAPATA FAIDA KWA NCHI ZA MPAKANI WATAKUJA KUNUNUA VITU BONGO .
B-INVESTOR WATAONGEZEKA SABABU YA 5% YAKO ULOEKA.
C-MZUNGUKO WA PESA UTAKUWA MKUBWA SANA BENKI ZETU ZITAFANYA KAZI SANA PAMOJA BERAU.
D-NCHI ZOTE ZA JIRANI ITAKUWA INAETEGEMEA TZ KWA SABABU YA SISI TUNA BAHARI SO PORT YETU LAZIMA IWE YA KISASA.
2-ENERGY NDIO HUO UMEME TUWE NAYO YA KUTOSHA.
3-BARABARA ZA KISASA NA ZIWE PANA MPAKA MIKOANI .
4-USALMA WA RAIA PAMOJA NA MALI ZAO (SECURITY NI MUHIMU SANA)
5-MAFISADI ,WALA RUSHWA,WIZI NA MAJAMBAZI USIWAPE NAFASI YA KUWEPO TZ.
6-UTALII WA NDANI NA WA NJE UBORESHWE.
#Hii nchi Mungu katupendelea inataka viongozi waadilifu tu.

Hizi ndio katika mbinu zinazoifanya Dubai kujuulikana dunia mzima.
Mambo ni mengi si muandishi mzuri .
Namuomba anialike Raisi Samia nina dondoo za kutosha yeye mwenyewe atafurahi.
ushauri utamfikia chief
 
Nitatumia huo mda kumshauri anipe siku nzima ya kumshauri
Kwa sababu naamini dakika 5 haziwezi kufua dafu
Lakini kama hatokubali ushauri wangu huo wa kunipa mda zaidi wa kumshauri nitamuomba awe anafuatilia kijiwe changu cha kumshauri mtandaoni ambacho nitaenda kucreate baada ya kutoka hapo Magogoni
Nadhani dakika 5 zitakuwa zimeisha

Lakini akikubali ushauri wa kunisikiliza kwa siku nzima ni story ndefu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Nitatumia huo mda kumshauri anipe siku nzima ya kumshauri
Kwa sababu naamini dakika 5 haziwezi kufua dafu
Lakini kama hatokubali ushauri wangu huo wa kunipa mda zaidi wa kumshauri nitamuomba awe anafuatilia kijiwe changu cha kumshauri mtandaoni ambacho nitaenda kucreate baada. ya kutoka hapo Magogoni
Nadhani dakika 5 zitakuwa zimeisha

Lakini akikubali ushauri wa kunisikiliza kwa siku nzima ni story ndefu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
weka summary wa hicho kijiwe cha ushauri
 
Naomba raisi mtukufu nipe kwanza huo mwaliko nitafurahia sana,jambo la kumshauri ni Siri yangu mimi siyo mtu mropokaji kihivyo
 
Nini hatma ya mitaji tuliowekeza kwenye viwanda ambavyo wakati wa COVID vilishindwa kutulipa pesa zetu? Kwa ushauri kuwe na mfuko maalum wa kufufua viwanda hivi kwa mfumo wa bail out programme, ambapo serikali itoe long term loans kwa riba nafuu ili viwanda hivi virudi katika uzalishaji. Mimi yangu ni hayo tu. Otherwise, mambo mengine Mama apewe maua yake.
 
Anipe mchongo wa kulamba asali kwanza. Mengine ni ziada tu
 
Awamu ya sita ya mama Samia tumeona mengi yakifanyika ikiwemo utekelezaji wa miradi ya umwangiliaji ya kilimo, BBT, Ruzuku ya mbolea, Afya, Ajira, Veta, kupandishwa madaraja kwa watumishi nk

Lakini pia zipo changamoto kadha wa kadha ambazo watanzania wanatamani wamfikishie Rais wao, nao wajione ni sehemu ya watanzania wanaofaidi matunda ya nchi hii!

Rais amekupa dakika tano tu umpongeze na umshauri kipi kiboreshwe ama kiongezeke kwenye utawala wake ili kila mtu ajivunie kuwa mtanzania, utazungumza nini?
"Pamoja na kelele nyingi kwamba mateso yapo lakini kila kukicha watu wanapanda ndege wanakwenda, na msingi unaowaongoza ni uleule kheri nife nikijaribu kuliko kukaa naangamia bila kujaribu kwa sababu ambazo hazina mashiko, na ndiyo maana serikali zetu zimeingia mikataba hii ili kuweka mazingira mazuri ya watu kwenda, yeyote anayetaka kwenda kufanya kazi nje afuate utaratibu kwa kupata uthibitisho wa hiyo ajira,"- Balozi Abdallah Kilima

#MkutanoIkulu
#EastAfricaTV
 
Awamu ya sita ya mama Samia tumeona mengi yakifanyika ikiwemo utekelezaji wa miradi ya umwangiliaji ya kilimo, BBT, Ruzuku ya mbolea, Afya, Ajira, Veta, kupandishwa madaraja kwa watumishi nk

Lakini pia zipo changamoto kadha wa kadha ambazo watanzania wanatamani wamfikishie Rais wao, nao wajione ni sehemu ya watanzania wanaofaidi matunda ya nchi hii!

Rais amekupa dakika tano tu umpongeze na umshauri kipi kiboreshwe ama kiongezeke kwenye utawala wake ili kila mtu ajivunie kuwa mtanzania, utazungumza nini?
Arejesha fedha za mauzo ya Bandari na fedha za mauzo ya Ngorongoro.
 
sio kweli. mama anajenga nchi , karibu kumshauri
Huenda anajenga ila mimi sijaona maana tunatofautiana uwezo wa kuona. Kuhusu kumshauri siwezi maana hatonielewa ila ikiwa lazima kumshauri nitamwambia arudishe bandari zetu na ajiuzulu apelekwe mahakamani ashitakiwe kwa matumizi mabaya ya ofisi na kufuga majizi.
 
Ningempongeza kwa kazi nzuri. Ningemshauri asimamie zile 4R kwa vitendo zaidi. Legacy yake iko kwenye hizo na benchmark isiwe awamu ya tano. She can do better than all the previous presidents.
 
Nitachomshauri ni kwamba
(1) Asiwaamini mawaziri wake kwamba wanauwezo wa kutumia akili zao kwa manufaa ya nchi, wengi kama sio wote wanaweka maslahi yao binafsi mbele.

(2) atawale kwa mkono wa chuma kama mtangulizi wake sababu hii nchi hamna kiongoz anaeweza kujiongoza.
 
Ningempongeza kwa kazi nzuri. Ningemshauri asimamie zile 4R kwa vitendo zaidi. Legacy yake iko kwenye hizo na benchmark isiwe awamu ya tano. She can do better than all the previous presidents.
very good chief, 4R ninini nami nizijue ?
 
Nitachomshauri ni kwamba
(1) Asiwaamini mawaziri wake kwamba wanauwezo wa kutumia akili zao kwa manufaa ya nchi, wengi kama sio wote wanaweka maslahi yao binafsi mbele.

(2) atawale kwa mkono wa chuma kama mtangulizi wake sababu hii nchi hamna kiongoz anaeweza kujiongoza.
ushauri mzuri sana chief
 
Atuangalie na sisi wasomi tusio na ajira kama akishindwa kutuajiri basi atukabidhi ardhi tijikite kwenye kilimo watupe mitaji pia atuweke miundo mbinu wezeshi pamoja na kutuandalia soko la nje. Tulime mazao ya biashara
 
Back
Top Bottom