Kwa mfano France akiibiwa ilo kombe inakuaje?Kombe la dunia original lipo kwa bingwa wa dunia wa football ambaye kwa sasa ni France,kisheria Fifa hawana uwezo wa kulichukua kombe hilo toka kwa France mpaka pale watakapovuliwa ubingwa,hilo kombe linalotembezwa kwa sasa ni mfano tuu siyo kombe halisi.
Kombe la dunia original lipo kwa bingwa wa dunia wa football ambaye kwa sasa ni France,kisheria Fifa hawana uwezo wa kulichukua kombe hilo toka kwa France mpaka pale watakapovuliwa ubingwa,hilo kombe linalotembezwa kwa sasa ni mfano tuu siyo kombe halisi.
Unataka kusema Hilo NI TOY.?
haya tuambie Hilo kombe lililokuja Tanzania limetengenezwa na madini gani!?
Neno zuri alilotumia Gentamicin ni replica,ukisema toy inamaanisha kitu cha kuchezea watoto.
Sema we jamaa ndiyo maana huwa unachezea sana ban, hujawahi jibugi post zako bila kejeli na vidharau [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nasubiri mnibishie.
Watakaokubishia watakuwa ni hakina Rage!Nasubiri mnibishie.
Kutuonyesha jinsi Watanzania tulivyo Mapopoma Tuliotukuka.Halafu what a motive behind ya kulipokea hilo kombe?
Zinazoongoza kuwa na Wapumbavu wengi Afrika.Linatembezwa nchi zipi?
'Evidence' kawaulize TFF, BMT, Wizara na 'Mama' yenu aliyelipokea kwa 'Bashasha' zote akidhani ni 'Original' wakati kumbe amedanganywa ( Wamedanganywa )Lete evidence POPOMA
Ningeshangaa sana kana Fools niliokuwa nawangojea na nawatamani kama Wewe msingejitokeza.Nabisha, naomba ulete ushahidi wa hili!
Kombe la dunia linalotembezwa ni Og, kwa taarifa yako nadhani hujui hili!
Lile kombe wanalopewa wachezaji kwenye fainali ndiyo replica sasa, Og huwa linaingizwa uwanjani siku ya kwanza kabisa ya ufunguzi wa fainali na mechi ya mwishi ya fainali, baada ya hapo linarudi kuifadhiwa makao makuu ya Fifa na halitoki pale hadi wakati wa tour kama ilivyo hivi sasa.
Mwisho wa mashindano wachezaji wanaoshinda wanapewa Og pale uwanjani wanalishika na kusherea nalo ushindi, baada ya hapo wanapewa replica ambayo imetengenezwa na madini ya shaba then ikafunikwa na gold kwa juu, ambalo ndio hukaa nalo na og kuchukuliwa kwenda kuhifadhia makao makuu ya Fifa.
So kama ulikuwa hujui ni kwamba hata hao mabingwa watetezi hawako na kombe la dunia Original.
Wakati wa tout kama ilivyo sasa basi kombe Og linazungushwa dunia kwa baadhi ya nchi na si zote.
Kama una ushahidi usio na shaka pamoja na kuleta vyanzo kwamba hili linalozunguwa ni replica leta, otherwise wewe utakuwa ndiye popoma square kwa kuleta habari za kuokotq mtaani.
FIFA World Cup™ Trophy Tour by Coca-Cola kicks off global journey in Dubai
FIFA World Cup™ winners Iker Casillas and Kaká send original FIFA World Cup™ Trophy on global journey that will include all 32 qualifying countries for the first timewww.fifa.com
Unanichukia / Mnanichukia halafu bado tena 24/7 mnanifuatilia tu hapa JamiiForums.Huyo ni Popoma sana,anapenda sana attentions za kipumbavu.
Lakini pia huwa linaguswa na rais wa nchi tu na siyo mwengine ye yoteKombe la dunia original lipo kwa bingwa wa dunia wa football ambaye kwa sasa ni France,kisheria Fifa hawana uwezo wa kulichukua kombe hilo toka kwa France mpaka pale watakapovuliwa ubingwa,hilo kombe linalotembezwa kwa sasa ni mfano tuu siyo kombe halisi.
Mkuu usimfananishe Uhuru Kenyatta na Marais ( Viongozi ) wengine 'Hopeless' hasa Barani Afrika Kwetu.Uhuru alilipokea na akaongea nao ofisini dakika chache akaondoka, sisi hadi sherehe limefanyiwa na hotuba juu,
Sikumbuki ni lini umewahi kuwa na Akili hapa JamiiForums.Wewe hata hujui, France hana kombe original!
Hiyo sheria unayozungumzia kuwa Fifa hawana uwezo wa kulichikua kombe hilo kutoka France ni ipi?
Ilete tafadhali…
Kwa taarifa yako France alipewa pale uwanjani siku anashinda kombe Og, baada ya hapo lilichukuliwa akapewa replica ambayo lipo kwenye kabati lao, og ikarudi kwenye makao makuu ya Fifa, ndilo linazunguka hivi sasa!
Uwezo huo wa Kujua hilo autoe wapi?Kwa hiyo wewe unataka kutuaminisha kuwa mama alikuwa hajui siyo !
Hasa katika mambo ( Masuala ) yanayohitaji Akili sana.kumbe unapenda kubishana