Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake

Hivi hao wanawake wa kiislam wakifika huko mbinguni wanapewa nini??? Maana wanaume wanatunukiwa nguvu za kushughulikia mabikra 72 na mito ya pombe,,,,au hawa wakienda huko ndo wanakua hao ma bikra wanaopewa wanaume
Mkuu si nao wanapewa wanaume 72 mabikra au mimi ndo sielewi??
 
sawa jifanye humtambui
Kaa mbali na hiyo picha ya huyo mtu.
Jagina, naomba nikuulize swali. Sio kwa ubaya ni nahitaji knowledge tu so usinijubu kama kejeri.
 
Kaa mbali na hiyo picha ya huyo mtu.
Jagina, naomba nikuulize swali. Sio kwa ubaya ni nahitaji knowledge tu so usinijubu kama kejeri.
Huyo mtu kwani ni nani hata uniambie nikae mbali naye ??
 
Mimi kichwa maji wewe kichwa mvinyo unayajuwa yanayotolea afghanistani maana uko nakuona umevaa kilemba

Baki na hizo hekaya zenu zinazohalalisha ushoga
Huna hoja ndio maana unaleta Viroja.

Inaonekana wewe ndio shoga unafukunyuliwa huko nyuma ndio maana unaleta mada za ushoga zisizo na uhusiano wowote ule na mada.
 

Mashindano haya ya Kuhifadhi Quran yaende sambamba na Mashindano ya Kuhifadhi Hisabati, Kemia, Fizikia, Baiolojia, Jiografia, n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…